Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu mpendwa mteja
Tunakuomba radhi sana pamoja na hayo tunakujulisha kuwa kuna kipindi cha mvua hivyo hitilagu zikiwa nyingi tunahudumia kwa kwanza kutoa taarifa wa kwanza kufanyiwa kazi
Tatizo ni umaskini jeuri wetu! Tuwapatie mkataba mpya IPTL, Symbion, mgao utaisha!Mgao upo jamani, hali ya maji mtera, kidatu, kihansi si nzuri na production imeshuka sana. Private sector ndiyo hivyo tena serikali imeipiga kibuti, hakuna Symbion wala IPTL. Nchi haina reserved power sources, load kila siku inaongezeka na vituo vingi vya thermal (Gasi na mafuta) na kile cha Nyakato-Mwanza vinazalisha chini ya uwezo wake sababu ya ukosefu wa vipuri. Tuna kazi kubwa kweli.
Vipi Arusha hali ikoje uko??
ShukraniKama mtaalamu wa Mambo ya technology leo nimekuja na Ushauri Huu kwa Tanzania electrical supply company(TANESCO)
Umeme sio luxury miaka hii, Umeme ni hitaji la lazima la binadamu kwa sasa yani basic need, Tunahitaji Umeme kusonga mbele kuendesha Viwanda,Kuhifadhi vyakula na Asilimia kubwa ya biashara kama sio zote zinahitaji umeme, Tunahitaji umeme kuwasiliana,Tunahitaji umeme Kuwa updated Yani umeme ni hitaji ambalo tunalihitaji moja kwa moja bila Ubabaishaji. Shirika letu TANESCO linazalisha wastani wa MW 1740 Kwa sasa kupitia Thermal na Hydro na Heavy fuel Oil, MW hizi si toshelezi sana ila zinatufaa huku tukisubiri project kubwa kama za singinda Wind na ingine uko ruvuma ya hydro. Umeme unapitia stage tatu mpaka kumfikia end user yani consumer kuna Generation, Transmission na Distribution kati ya hao watatu mwenye shida sana ni Distributor watu wa Generation na Transmission wako firm sana kuanzia miundombinu, Nikisema Transmission hapa nazungumzia Grid yani interconnection kati ya mikoa na mikoa kupitia msongo wa kuanzia 66kv mpaka 220Kv, Hao unaona ata usafirishaji wao wa energy hii hutumia Metal tower kitaalamu tunaita Pylons hizi nguzo za Chuma ni very strong na ni ngumu kupata Breakdown kwenye hizi grid.
Distributor hapa ndio unawaface zaidi wale local tanesco wa wilaya wao wanachukua power kutoka ktk substation na kutupa sisi end user hawa wana miundo mbinu mibovu mno Line zao huanzia 33 na 11 Kv na ni za mbao, kweli kabisa tunasafirisha umeme na nguzo za mbao??? Unafukia mbao kwenye udongo nini unategemea ni bora tuingie gharama kubwa ya Kujenga nguzo za Zege kwa line za 11 na 33kv kwanza pia 11kv kwa sasa tuziache hazina efficiency tutumie 33kv tupu kwa local feeders na Ziwe structured na concrete yani Zege Hii itaondoa Temporary breakdown na replacement tunazofanya frequently kwenye Wooden pole,
33kv zikishakuwa scattered kwenye lets mkoa au wilaya basi LV line tutumie Insulated cable na mtaani zikatize Metal Pole yani Viguzo vidongo vya Chuma kwa ajili ya kubeba LT cables huku tukiangalia future ya underground ambapo ndio inatumika ktk developed countries kwa miji iliyopangika basi tuanze ku implement Underground system kabisa nakumbuka former Minister of Energy and minerals Hon Sospepter muhongo alisema kufikia kipindi fulani hatutaona cable hata moja Juu kwa Dar es salam all electrical system will be undergrounded hii alitamka waziri alietoka hivo hali iendelezwe na aliyopo sasa.
Naomba mawazo yenu kwa tatizo hili: natumia unit 8 kutwa.
Nina frigdge moja ndogo, taa energy saver kama 5 zinawaka saa 12 a day, tv mbili zinatumika kama saa 5 a day, . Nadhani unit 8 a day huu ni umeme mwingi ninao tumia.
Tatizo linaweza likawa wapi? Nimeleta fundi akacheki wiring akasema iko vizuri.
Ushauri tafadhali.
Asante
Ahsante, nimepata3668 1699 2368 4386 6322
Umeme wako
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
MAENDELEO YA MATENGENEZO YA DHARURA KITUO CHA KUZALISHA UMEME CHA KINYEREZI I
Tunawataarifu Wateja kuwa Wataalamu wetu bado wanaendelea na kazi Kituo cha kuzalisha umeme kwa gesi asilia cha Kinyerezi I.
Tutaendelea kutoa taarifa zaidi.
Tunawaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.
Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka.
Toa taarifa kupitia namba za simu zifuatazo
Kituo cha miito ya simu Makao Makuu 0222194400 na 0768 985100
Tovuti: www.tanesco.co.tz
Mitandao ya Kijamii
www.facebook/tanescoyetultd /twitter.com/tanescoyetu
Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
31/10/2017