Matumizi yako kwa mwezi ni wastani wa unit 227 hivyo hauwezi kuwe kwenye kundi la huyo anayenunua umeme kwa bei tofauti na wewe
Umakawia mufa gani na namba yako ya mita ni ngapiHabari ya kazi
Tatizo langu ni kuwa umeme unapokatika ukirudi kwa majirani unawahi kurudi mie ndio nakuwa wa mwisho inaweza pita hata dakika ndio unarudi kwangu tatizo ni nini hapo?
Pia imetokea kama Mara mbili Mara ya kwanza umeme ulikatika kwangu tu wakati unit zipo za kutosha nikaingiwa na hofu baada kama ya saa moja ukakata na kwa jirani uliporudi ukarudi kote.
Mara ya pili ulikatika kwangu tu ila kwa majirani ukawepo naomba kujua tatizo na suluhisho
Ni wewe mwenyewe? Eneo gani namba ya simu na namba ya taarifa tafadhaliHabari! Nina malalamiko! Hapa nilipo hatuna umeme since saa kumi jioni sasa hivi ni saa nne na dk 39 na ni sehemu tu ya eneo, mitaa ya jirani ina umeme! Tumetoa taarifa Tanesco lakini ni kama wamekua wanatudanganya toka saa moja wanasema mafundi wako njiani mpaka sasa! Its better muwe wazi bwana kama haiwezekani mseme haiwezekani mtu ajue anavyojipanga kuliko kutoa false hopes na kudanganya watu wazima!
Mtakuwa mpo kundi la matumizi tofauti tunaomba namba yakomya mita tafadhali
Tarif 4 matumizi chini ya unit 75 kwa mwezi unit moja ni tsh 100 jumlishai kodi 18% ewaura 1% na umeme vijijini 3%Naomba ufafanue hayo makundi na kiasi.. mfano mtu aweke elfu 5 kwa kila kundi atapata units ngapi?
Mxieew wapumbavu kabisa nyieKuna hitilafu imetokea tunaifanyia kazi mpendwa mteja
Namba yangu ya mita ni 24212170070Umakawia mufa gani na namba yako ya mita ni ngapi
Asanteni kwa kupokeaTumepokea taarifa kwa utendaji mpendwa mteja wetu