radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,440
- 32,260
Matumizi yako kwa mwezi ni wastani wa unit 227 hivyo hauwezi kuwe kwenye kundi la huyo anayenunua umeme kwa bei tofauti na wewe
Sasa haiwezekan kuturekebeshia mana hapo hamna mwenye kipato istoshe huyo anamtumiz mengi mafrij mawili masaa 24 yanapiga kazi bado bado vifaa vya vingine vya umeme