King Tembo
Senior Member
- Aug 29, 2017
- 124
- 68
Sawa mkuu nimekuelewaTunaomba maelezo kwa kina mpendwa mteja, hata kwa inbox
mta : 54150797014Ndugu mkuu
Umetuma taarifa nusu tukakuomba zaidi hautoa
Namba ya mita
Namba ya simu
Wa tsh ngapi
Tarehe
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKOMkoa Wa Mbeya, wilaya ya Mbarali, kijiji cha Rujewa, kitongoji cha Mlimani tuna wiki mbili sasa hivi mtaa huu hauna umeme. Hatuelewi tatizo ni nini na hakuna taarifa yoyote tuliyopewa.
mnanivunja moyo tangu asubuhi nafuatilia token tu!!Tumepokea
Kwahiyo hata pale LA STANZA hakuna umeme? Daah...sasa sebuleni ndio patakuwaje na hili giza na joto.Kiukwel nmechefukwa,yaan huku kwetu goba,yaan kiila,siku jion lazma wakate umeme,..mbona haya mambo ya mgao yalipitwa na wakat?hiv tanesco mpewe nin?yaan umeme utafkir tunaomba?daah