TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
LUKU ipo vizuri na wateja wetu wanafurahia huduma tafadhali nunua na ufurahie huduma ya umeme
Upande wa voda

MUAMALA HAUJAFANIKIWA
Samahani, kuna tatizo la kiufundi. Jaribu tena badae.
 
Nyumba yetu ina siku ya 4.. Haina umeme, tumewapgia simu emergency kimara tanesco kila sku wanasema wanakuja lakini wapi, tulikua tuna vyakula kwenye fridge, vyote vimeharbika, hii hasara anayeifaidia nani, hv tukitumia vishoka tutKua tunakosea kweli
 
Nyumba yetu ina siku ya 4.. Haina umeme, tumewapgia simu emergency kimara tanesco kila sku wanasema wanakuja lakini wapi, tulikua tuna vyakula kwenye fridge, vyote vimeharbika, hii hasara anayeifaidia nani, hv tukitumia vishoka tutKua tunakosea kweli
Eneo gani
Namba ya simu
Namba ya taarifa
Tunaomba hizo taarifa tafadhali
 
Tumepokea taarifa kwa hatua zaidi mpendwa mteja
Mna maneno mazuri, ila utendaji mbovu, taarifa zangu zipo kimara sku ya 4 na leo tena nmeenda, lakini mpaka mda huu hakuna fundi aliyepita huku, kama mnahisi mna mafundi wachache kwa nn msiajiri watu, huku mtaani watu wengi hawana ajira na wamesomea umeme, siku ya 4 leo nalala na giza, tumewakosea nn jaman
 
Mna maneno mazuri, ila utendaji mbovu, taarifa zangu zipo kimara sku ya 4 na leo tena nmeenda, lakini mpaka mda huu hakuna fundi aliyepita huku, kama mnahisi mna mafundi wachache kwa nn msiajiri watu, huku mtaani watu wengi hawana ajira na wamesomea umeme, siku ya 4 leo nalala na giza, tumewakosea nn jaman
Tutakufikia mpendwa mteja wetu
 
Hv nyie Ndugu zetu wa Tanesco hii Wilaya ya Temeke mbona mnatulaza na Giza karibia kila siku? Kuna Mgawo au tatizo ni nn hasa? Hadi nimewaza kuwa inawezekana Switch ya Temeke ndo huwa mnatundikia Makoti yenu Mkiwa kazini hadi inaelemewa na uzito mana si kwa adha hii tunayoipata!
 
Tatizo naomba vgezo Vya kuwepo huko kwenye unit 75 ni VP mkuu
 
Mkuu ,,tatizo langu ni kuhusu huu umeme WA tarifu 4,,KWA mwezi natumia unit 12,,inamaana KWA hzo 74 unit ninazopata natumia miezi mi4,,swali KWA nini nikinunua au MTU yuko na hiyo tarfu umeme WA zaidi au pungufu ya 9800 anakuwa amefanya kosa na anatolewa KWA hiyo tariif?
 
e3I
8fc895a11cb743d98844016a681f7c32.jpg

 
Mkuu ,,tatizo langu ni kuhusu huu umeme WA tarifu 4,,KWA mwezi natumia unit 12,,inamaana KWA hzo 74 unit ninazopata natumia miezi mi4,,swali KWA nini nikinunua au MTU yuko na hiyo tarfu umeme WA zaidi au pungufu ya 9800 anakuwa amefanya kosa na anatolewa KWA hiyo tariif?
Ili abakai hapo alipaswa kununua umeme wa tsh 9150 kwa mwezi yaani unit 7t akizidi hapo anatolewa
 
Back
Top Bottom