Tanesco acheni zarau basi, Temeke nzima hakuna umeme shida nini?? Mbona mpo kimya hamtangazi??
WILAYA MZIMA YA TEMEKE HAKUNA UMEME, SIJUI PANDE ZINGINE, NAOMBA KUJUA KUNA SHIDA GANI, SIWEZI KULALA GIZANI
**** hitilafu kidogo tunaifanyia kazi mpendwa mteja
 
Kwanini mmekata umeme muda huu ebu tuelezeni tungekuwa ulaya tayari kuna kesi .uncle magu tafadhali na hii nayo ni jipu tumbua baba afu ukimalia tuibinafsishe kabisa
 
Kwanini mmekata umeme muda huu ebu tuelezeni tungekuwa ulaya tayari kuna kesi .uncle magu tafadhali na hii nayo ni jipu tumbua baba afu ukimalia tuibinafsishe kabisa
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwanini mmekata umeme muda huu ebu tuelezeni tungekuwa ulaya tayari kuna kesi .uncle magu tafadhali na hii nayo ni jipu tumbua baba afu ukimalia tuibinafsishe kabisa
Umeme utarejea muda mfupi ujao mpendwa mteja wetu
 
Tanzania ya viwanda bila umeme wa uhakika itakuwa ndoto otherwise tufungue viwanda vya kushona nguo mtaa ukiwa nazo 4 tayari unamiliki kiwanda
 
Tangia tarehe 10 Dec nimenunua umeme hela imekatwa sijatumiwa umeme tigo wanasema tuwasiliane na nyinyi hampokei
mita no 07037342412
simu no 0718040202
Kiasi 3000 tu
naomba ikiwezekana nitumiwe hapa hapa sababu medondosha sim ya tigo leo
 
Ivi kuna tatizo gani mbona sipewi majibu ama hela yangu ndo imepotea niambiwe tu
 
Kero yangu ni hizi namba zenu za Emergency hawa watu ukipiga hii simu yao inakua busy muda wote na hata kama haikua busy bac ukipiga haipokelewi!! sasa hii emergency gani?

e.g mimi naishi Tabata kimanga kuna siku umeme ulikatika kwetu baadhi ya nyumba unawaka!! nimepiga simu Tanesco Emergency Tabata simu ipo busy muda wote!! nimepiga ILala wameniambia niwapigie watu wa Tabata, nimejaribu kupiga tena ikaita mara kibao haipokelewi, nimepiga tena naambiwa ipo busy!!

naomba ufafanuzi juu ya hili hawa watu hizi simu huwa wanazitumia kwa kazi au kwa inshu binafsi?!
 
Habari.
Kwetu kuna shoti tangu jana usiku. Tumepiga emergency magomeni tangu 2 asubuhi lakini mpaka sasa hawajaja pamoja na kuwapigia simu mara mbili tena huku waya zenu zinatoa cheche mfululizo!
 
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Hello naitwa Justinian Barongo nauliza kuunganishishiwa umeme wa REA inachukua muda gani kufanya survey mpaka kuunganisha

Maana Nina nyumba ambayo tayari imefanyiwa mchoro mpaka kufunga wiring kwa kuzingatia vigezo stahiki na fomu niliwaachia Tanesco Bukoba toka Nov 21 2017,ila mpaka Leo sijapata majibu ya surveyor nikiuliza naambiwa mradi wa umeme REA Bukoba vijijini umesimama kwa sasa.

Rai yangu,nilijiongeza kwa kukamilisha kila hitaji Tanesco wanalotaka na naomba kuungnanishiwa umeme maana naamini ni haki yangu ya msingi

Eneo: Bukoba vijijini
Namba ya simu: 0784670549
Karibu : kituo cha bus kinaitwa stop
Jinsi ya kufika: unatoka bkb mjini-kyetema-katerero-kanazi- Ibwera- Kafunjo unakata kushoto-Nyakigando- mishenye kijiji

Mkoa: Kagera
Wilaya: Bukoba Vijijini
Kata: Butelankuzi ukiwa barabarani u naona ziwa Ikimba
Kijiji: Mishenye

Jirani: Dionise,shamba liko barabarani

Thanks
 
Tumepokea kwa ukafatiliaji mkju
 
Habari.
Kwetu kuna shoti tangu jana usiku. Tumepiga emergency magomeni tangu 2 asubuhi lakini mpaka sasa hawajaja pamoja na kuwapigia simu mara mbili tena huku waya zenu zinatoa cheche mfululizo!
tumetoka kuwapigia sasa hivi wanadai hawana taarifa yoyote! Hivi mnataka kusubiria mpaka madhara makubwa zaidi yatokee ndio mchukue hatua??

Mna huduma za kipuuzi kabisa nyinyi!
 
tumetoka kuwapigia sasa hivi wanadai hawana taarifa yoyote! Hivi mnataka kusubiria mpaka madhara makubwa zaidi yatokee ndio mchukue hatua??

Mna huduma za kipuuzi kabisa nyinyi!

MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
tumetoka kuwapigia sasa hivi wanadai hawana taarifa yoyote! Hivi mnataka kusubiria mpaka madhara makubwa zaidi yatokee ndio mchukue hatua??

Mna huduma za kipuuzi kabisa nyinyi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…