Hakuna taarifa yoyote ya TANESCO...na umeme umekatwa tokea asubuhi mpaka ucku huu...maeoneo yoote ya Sinza Kijiweni/Lion
 
Kama unaamini kuna tz ya viwanda umekwisha hukumsikia kaijage aliposema hata mashine ya kukamua juice ya muwa kwa kuzungusha na mkono tayar umeanzisha kiwanda?
 
Kumekucha haina umeme toka Jana. Kuna maeneo makaburini nao hawana Leo siku nzima!
 
Sasa nini maana ya nchi yetu kuitwa ulimwengu wa tatu..?
 
Hakuna taarifa yoyote ya TANESCO...na umeme umekatwa tokea asubuhi mpaka ucku huu...maeoneo yoote ya Sinza Kijiweni/Lion
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] poleni sana jamani
 
Nadhani taarifa kwa njia ya TV ilitolewa kati ya jana au juzi kama nakumbuka vizuri...


Cc: mahondaw
 
Nanunua luku kwa mpesa saa hizi usiku huu saa kumi kasoro lakini mtandao unasema mwamala haujakamilika yaani kuna error please try again later. Kuna tatizo gani?
 
Nanunua luku kwa mpesa saa hizi usiku huu saa kumi kasoro lakini mtandao unasema mwamala haujakamilika yaani kuna error please try again later. Kuna tatizo gani?
Nunua sasa utapata mkuu
 
Nyie Tanesco huku kigamboni mlivyokata saizi umeme ndio hadi usiku tena kama jana?
 
Tanesco mumetufanya nn tena kigamboni tunajiandaa kutoka tunapiga pasi, umeme mumekata......munatunyanyasa bana
 
Habari zenu Tanesco,nimefungiwa mita nyumbani mwezi wa kumi na moja mwaka jana,katika zile unit 50 za mkopo nimeenda jana kulipa lakini nashangaa wameniweka tarriff 1 badala ya tariiff 4,inakuwaje hapo nikitaka kuhama tarriff
 
Boresheni ufungaji wa miundo mbinu yenu...hasa nguzo na wire. Yaan nguzo mnasimika baada ya miezi 3-4 inalala...
 
Habari zenu Tanesco,nimefungiwa mita nyumbani mwezi wa kumi na moja mwaka jana,katika zile unit 50 za mkopo nimeenda jana kulipa lakini nashangaa wameniweka tarriff 1 badala ya tariiff 4,inakuwaje hapo nikitaka kuhama tarriff
Upo eneo eneo gani na wilaya yako? Mijini wote wanafungiwa umeme kwenye tarif 1 na vijijini tarif 4
 
Upo eneo eneo gani na wilaya yako? Mijini wote wanafungiwa umeme kwenye tarif 1 na vijijini tarif 4
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA................................

2.SIMU...............................

3.MKOA.............................

4.WILAYA..........................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................

*Zingatia*
-kama ni manunuzi ya umeme onyesha mtandao na ujumbe unauopata ukinunuaumeme

-Kama ni kushindwa kuingiza umeme onyesha unachokiona kwenye mita yako unapoweka umeme

-Kama umeshatoa taarifa ofisi yeyote onyesha namba ya taarifa uliyopewa


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Asante kwa ufafanuzi wa masuala kadhaa. Mojawapo ya vitu ambavyo watu wa benki mbalimbali wanahitaji kama utambulisho wa makazi unapotaka kufungua akaunti ni bili ya malipo ya umeme.

Naomba kujua kama bado mnazitoa na ninawezaje kuipata. Asante kwa ushirikiano!
 
Mita za LUKU hazina bili bali risit ukinunua kwenye vituo utapatiwa kama una mita ya zamani utapatiwa anka au bili yako
 
Hii leo si bure itakuwa mmetumwa nyie TANESCO toka saa saba ya usiku mnakata umeme Tabata. Si bure itakuwa mnashirikiana na vibaka wafanye yao kwenye giza. Kama kuna mgao tangazeni basi watu wajipange
 
Kwangu mimi ni kelo tunayopata wakazi gongo la mboto kata ya ulongoni A ni jambo la ajabu kila ifikapo saa mbili usiku umeme unakatika bila sababu maalumu as if mitambo huwa Inapumzishwa suala la nishati ya umeme ni nyeti sana katika Suala la maendeleo ni miaka 3 iliyopita China wametimiza miaka Mia umeme haujakatika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…