TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Temeke ni kila siku
Taarifa muhimu nchi yetu tunaijua hata tusipokuwa na umeme mwezi hakuna shida la msingi watupe taarifa tu tujipange....mambo mengine huwezi kulazima kama umeme hautoshi hautoshi tu
 
Tanesco ni wiki sasa hapa Dar mnakata umeme aidha asubuhi mpaka jioni au mnakata ikifika saa moja usiku mpaka saa sita usiku.

Kama kuna mgao wa umeme basi toeni taarifa wanainchi tujue ili tujiandae na huo mgao kwa kuweka bajeti ya mafuta ya majenereta yetu.
Watoe taarifa kwani wanakuogopa.
 
Habari zenu tanesco,napenda kuuliza mie nimefungiwa umeme mwezi uliopita,na wameniambia nina unit 50 za mkopo,je wameniambia kwa mara ya kwanza niende kununua katika ofisi zao,je natakiwa kwenda na kiasi gani kwa ajili ya kulipia izo unit 50
 
Habari zenu tanesco,napenda kuuliza mie nimefungiwa umeme mwezi uliopita,na wameniambia nina unit 50 za mkopo,je wameniambia kwa mara ya kwanza niende kununua katika ofisi zao,je natakiwa kwenda na kiasi gani kwa ajili ya kulipia izo unit 50
17500 kulipa unit 50
 
Jamani mimi najirani yangu anatatizo la LUKU na ameripoti mbezi beach tangu tarehe 20 January na mafundi wakakagua na kumwandikia kuwa LUKU inatakiwa iwe replaced kwani inatatizo.

Kila simu ikipigwa anaambiwa tunawajulisha wausika na namba ya kuripoti tunayo wakiitaji nitawapa anaomba msaada.Ni eneo la mbezi beach shule ya Kiramuu.Simu ya tanesco inayopigwa ni 0788 230 657 emergency ila hajashughulikiwa.

Tunaomba msaada jamani
 
Jamani mimi najirani yangu anatatizo la LUKU na ameripoti mbezi beach tangu tarehe 20 January na mafundi wakakagua na kumwandikia kuwa LUKU inatakiwa iwe replaced kwani inatatizo.Kila simu ikipigwa anaambiwa tunawajulisha wausika na namba ya kuripoti tunayo wakiitaji nitawapa anaomba msaada.Ni eneo la mbezi beach shule ya Kiramuu.Simu ya tanesco inayopigwa ni 0788 230 657 emergency ila hajashughulikiwa.Tunaomba msaada jamani
Tinaomba namba yake ya taarifa na namba ya simu
 
Mimi nipo wilaya ya Tunduru naamini TANESCO ndio wasimamizi wa mradi wa REA .

Nilihitaji kufungiwa Mita ktk Kijiji cha muhuwesi kwa Nyumba ya mama ila nilipoenda kulipa mara ya kwanza Walisema mtaa haupo kwenye ramani. Na cha kushangaza zaidi waliweka nguzo ktk mtaa wetu na kutoa nilipoenda ofisi za TANESCO wilaya meneja aliniambia kama nipo ndani ya Mita 45 hadi 75 natakiwa kulipia tsh150000 Ili nipate Mita Na viongozi wa nchi wanasema umeme wa REA kila mwananchi apata kwa tsh 27000 je kuna ukweli na hizi kauli za viongozi?

Na kama si kweli amuoni kuwa kuna mgawanyiko kati yenu na wananchi kupitia kauli za viongozi? Na mnanisaidiaje nipate umeme
 
Ipo tarrif 1 matumizi ya nyumbani
Inavyoonyesha matumizi kwa mwezi kwenye hii mita hayazidi unit 50.Inakuwaje bado iko kwenye tariff 1 wakati inatakiwa iwe tariff 4.Kwa kuijiridhisha angalia matumizi ya kila mwezi kwa mwaka mzima wa 2017.
.
 
Inavyoonyesha matumizi kwa mwezi kwenye hii mita hayazidi unit 50.Inakuwaje bado iko kwenye tariff 1 wakati inatakiwa iwe tariff 4.Kwa kuijiridhisha angalia matumizi ya kila mwezi kwa mwaka mzima wa 2017.
.
Mita namba 24213512213
 
Tafadhali hakikisheni mnapata magari makubwa yakazi maana huku kwetu tmk yombo tanesco walikuwa wanashida sana ya magari mpk kifikia mafundi sometime kutembea kwa miguu mpk wananchi tunawaonea huruma tunawakodia bajaji, mara wakaletewa gari ya green lkn ni kadogo kwa ajili ya meneja tuu hakafai kitu mara tena likaja lingine jeupe nalo ni dogo halifai kitu.

Hebu kuweni serious mnajua shirika ni la kazi mnaleta vigari vidogo seriously?

Waambieni viongozi wenu wawe serious hayo magari mabovu muyauze mnunue pamba mpya, igeni hata kenya.

mbona kama hii meseji ni ya mtu wa Tanesco, lkn sio mbaya hata internal customer ni mteja pia!
 
Mimi nipo wilaya ya Tunduru naamini TANESCO ndio wasimamizi wa mradi wa REA . Nilihitaji kufungiwa Mita ktk Kijiji cha muhuwesi kwa Nyumba ya mama ila nilipoenda kulipa mara ya kwanza Walisema mtaa haupo kwenye ramani. Na cha kushangaza zaidi waliweka nguzo ktk mtaa wetu na kutoa nilipoenda ofisi za TANESCO wilaya meneja aliniambia kama nipo ndani ya Mita 45 hadi 75 natakiwa kulipia tsh150000 Ili nipate Mita Na viongozi wa nchi wanasema umeme wa REA kila mwananchi apata kwa tsh 27000 je kuna ukweli na hizi kauli za viongozi? Na kama si kweli amuoni kuwa kuna mgawanyiko kati yenu na wananchi kupitia kauli za viongozi? Na mnanisaidiaje nipate umeme
Tumekusikia mpendwa mteja
Tunaomba namba ya simu na jina uliloombea umeme tufatilie na kujua usahihi wa taarifa unazosema
 
Mimi nipo wilaya ya Tunduru naamini TANESCO ndio wasimamizi wa mradi wa REA . Nilihitaji kufungiwa Mita ktk Kijiji cha muhuwesi kwa Nyumba ya mama ila nilipoenda kulipa mara ya kwanza Walisema mtaa haupo kwenye ramani. Na cha kushangaza zaidi waliweka nguzo ktk mtaa wetu na kutoa nilipoenda ofisi za TANESCO wilaya meneja aliniambia kama nipo ndani ya Mita 45 hadi 75 natakiwa kulipia tsh150000 Ili nipate Mita Na viongozi wa nchi wanasema umeme wa REA kila mwananchi apata kwa tsh 27000 je kuna ukweli na hizi kauli za viongozi? Na kama si kweli amuoni kuwa kuna mgawanyiko kati yenu na wananchi kupitia kauli za viongozi? Na mnanisaidiaje nipate umeme
Tumekusikia mpendwa mteja
Tunaomba namba ya simu na jina uliloombea umeme tufatilie na kujua usahihi wa taarifa unazosema
 
Mimi nipo wilaya ya Tunduru naamini TANESCO ndio wasimamizi wa mradi wa REA . Nilihitaji kufungiwa Mita ktk Kijiji cha muhuwesi kwa Nyumba ya mama ila nilipoenda kulipa mara ya kwanza Walisema mtaa haupo kwenye ramani. Na cha kushangaza zaidi waliweka nguzo ktk mtaa wetu na kutoa nilipoenda ofisi za TANESCO wilaya meneja aliniambia kama nipo ndani ya Mita 45 hadi 75 natakiwa kulipia tsh150000 Ili nipate Mita Na viongozi wa nchi wanasema umeme wa REA kila mwananchi apata kwa tsh 27000 je kuna ukweli na hizi kauli za viongozi? Na kama si kweli amuoni kuwa kuna mgawanyiko kati yenu na wananchi kupitia kauli za viongozi? Na mnanisaidiaje nipate umeme
Tumekusikia mpendwa mteja
Tunaomba namba ya simu na jina uliloombea umeme tufatilie na kujua usahihi wa taarifa unazosema
 
Inavyoonyesha matumizi kwa mwezi kwenye hii mita hayazidi unit 50.Inakuwaje bado iko kwenye tariff 1 wakati inatakiwa iwe tariff 4.Kwa kuijiridhisha angalia matumizi ya kila mwezi kwa mwaka mzima wa 2017.
.
Hii haitokei bila wewe kuleta maombi kwa maandishi kwa kuw ukizidi unit 75 unapigwa penalt hivyo lazima ujizatiti kwa maandishi
 
Vp kuhusu kununua umeme wa luku kuna kiwango maalum yaani maximum limit. Au ni uwezo wa mtu tu ktk manunuzi?
 
Tumekusikia mpendwa mteja
Tunaomba namba ya simu na jina uliloombea umeme tufatilie na kujua usahihi wa taarifa unazosema
mimi nimewaambia kuwa nimeomba kipindi REA wanaweka nguzo wakasema mtaa hauko kwenye ramani na Nimefika mpaka ofisi za wilaya meneja Kaniambia hayo majibu no 0620244186 jina DANFORD MHEBUKA
 
Back
Top Bottom