Taratibu ni zote kama ambavyo ukifungiwa mita ya kwanza sharti isiwe na deni na kama sio yako upate idhini na mmilikiNaomba kujua taratibu za kuongeza mita kwenye Nyumba yenye mita mfano Mimi MPANGAJI nahitaji mita kwenye Chumba changu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sitoi no kila siku mnachukuwa namba zangu na hakuna la maana linalofanyika leo imebidi nikafanye kazi zangu Dar.
Hao jamaa ni kuungana na kuing'oa nguzo kisha kuwapelekea ofisini kwao.Nimeripoti tatizo la nguzo kutaka kuanguka watu wa emergency wakaja kuona na kuthibitisha kweli nguzo imeshikiliwa na waya mmoja wa umeme unaoingia kwenye moja ya nyumba zilizo chukulia umeme kwenye hiyo nguzo. Mafundi walikuja kuona wakasema wanaenda kufuata nguzo Ila hii ni wiki ya tatu hajarudi. Nimepiga simu customer care wanasema hamna nguzo wakati wiki hii niliona mafundi wenu walikuja kucheki transformer wakiwa na nguzo, nimeambiwa kuwa hizo nguzo ni za wateja wapya kwahiyo Sisi wa zamani hatuna thamani.
Mnataka kutuunguzia nyumba aisee maana hii nguzo muda wowote itaanguka.
Hili tatizo lipo kinondoni mkwajuni, sasa iweje watu wanalipia umeme halafu msema nguzo hamna na hamjui lini zitawasili na bila shaka sidhani hata kama mnaweka rekodi ya sehemu zote zinazo hitaji nguzo ili zikija mkaweke
Mwisho waambieni customer care representatives wenu wajifunze kwa customer care wa mitandao ya simu. Yani wana huduma mbovu mbovu hamna mfano. Mtu unapiga simu anaongea na wewe Kama hataki, Tena ukipiga usiku ndio kabisaaa mwingine anakuwa busy kupiga stori na mwenzake
Numeshapatia mkuu PMTunaomba namba yako ya simu mkuu
Mbona baadhi ya maeneo hakuna umeme kama Kigamboni, Mbagala Kongowe, Kuna mgao wa kimya kimya?Tunaomba namba yako ya simu mkuu
Mbona toka jana.. Hadi ambapo unasema mmelifanyia kazi haujarudi?Kulikuwa na tatizo kidogo mkuu tumelifanyia kazi
Ni jukumu la mwananchi kuchangia gharama za huduma anayopata ili kupelekea wateja wengine kuhudumiwa vizuri zaidi, hata hivyo huduma nyingi zi epunguzwa bei ili kuwanufaisha wateja wengine mfano kufungiwa umeme miradi ya rea ni tsh 27000 tu, vijiji 177000 na mijini 321000 tofauti hapo awali ilikuwa zaidi ya laki nne
Tunashukuru kwa lugha hiyo uliyotumia. Nguzo ni moja ya kifaa kinachphitajika kumfungia umeme,waliopo ndani ya mita 30 hawalipii nguzo bali waliozidi hapo wanachangia nguzo,lau kama ungelukuwa unazingatia gharama za uwekezaji kwenye nishati nadhani ungetuelewa mapemaHayo majibu umekaririshwa? Mteja anakuuliza sababu yao kulipishwa gharama ya nguzo wakati kimsingi nguzo inamilikiwa na Tanesco wewe unajibu kama umekunywa! Toa maelezo ya kina sababu,Mtu anataka umeme wewe unamlipisha nguzo! Inaingia akilini or it would make sense akawa amewakopesha fedha za hiyo nguzo halafu akaweza kulipwa hiyo gharama kwa kupewa units za umeme kidogo kidogo kwa muda mtakaokubaliana lakini kulipia full cost ili hali nguzo ni mali ya Tanesco ni wizi wa mchana! Ujinga na kukosa kujua haki za msingi za Raia ndio mtaji wa Tanesco and it’s totally unfair and nobody from Tanesco or the Ministry of Energy has moral legitimacy to clarify this abnormality.
Tunashukuru kwa lugha hiyo uliyotumia. Nguzo ni moja ya kifaa kinachphitajika kumfungia umeme,waliopo ndani ya mita 30 hawalipii nguzo bali waliozidi hapo wanachangia nguzo,lau kama ungelukuwa unazingatia gharama za uwekezaji kwenye nishati nadhani ungetuelewa mapema
Tunashukuru sana kwa mapendekezo yako, haya yote tunayokueleza yapo kwenye kanununi za umeme pamoja na sheria ya umeme ya mwaka 2008 hivyo unaweza ukajiuliza swali dogo kabisa je umeme tunaopeleka maeneo mbalimbali ikiwewa vijijini kwa gharama kubwa ya uwekezaji kwa lengo la kuamsha uchumi wa maeneo hayo ingekuwa kampuni binafsi ingeweza? Shirika hili la Uma linalenga zaidi kuleta maendelea kupitia miradi yake pamoja na gharama kidogo tunazowatoza wananchi,Usijifiche kwenye lugha jibu swali hata hiyo gharama ya service line ya kawaida ndani ya mita 30 toa maelezo kwa nini wateja walipie kwa sababu ni mali ya Tanesco pamoja na mita. Mteja hawezi kulipishwa gharama na bado inakuwa ni mali ya Tanesco inaingia kwenye akili kweli ? Mteja anapaswa alipie umeme ambao ndio anatumia tu . Lazima mtoa huduma afikishe kwa mteja pasipo kumlaszimisha achangie hiyo kuchangia it’s not on the basis of willing buyer and willing seller ila tu kwa sababu ya monopoly you simply dictate the terms which are not negotiable. Katika uhalisia Tanesco walipaswa kuunganisha wateja wanajitokeza na hizo gharama should have been part of the cost of service. In fact gharama umeme wa Tanesco does not reflect the cost of service and that is the problem the cost is politically determined huku mkijidanganya kutoa huduma nzuri at a low cost hiyo kitu hakuna duniani. Hayo maswali usiyajibu kwa mihemko ya kutokujua jiongeze na jipange kutoa majibu yenye mashiko. Shirikisha Economists na wataalam wengine. You should take on board diversity of the readers na wala lugha isiwe issue hapa! Zamani before the advent of Luku wateja walikuwa wanalipia meter deposit and it was actually calculated as three months billing basing on the projected customer load sasa hii ya kulipia service ya kibaguzi sijui REA 27,000 na wengine 177,000 kwa vijijini what is the justification ligicaly? Elimu yahitajika and this is the forum!