hiki kizungu mkuti cha makundi ya tarif kila mteja anajibiwa kivyake vyake na mtu huyo huyo mmoja
Vigezo na masharti ni mteja anaetumia umeme chini ya unit 75 kwa mwezi
Ndani ya miezi 6 asivuke hiko kiwango
Yaani matumizi yake ni unit 60,59 na kushuka chini huyu anatakiwa awe kundi la matumizi madogo tarif 4
Tarif 1 ni yule anaevuka matumizi kutoka 75 kwenda 76 na kuendelea
Sisi wateja ndio tunafahamu hivyo
Kama utaratibu umebadilika si mseme tu
hizi ngonjera za serikalini zipo mbaka kule wizara ya afya
Watoto chini ya miaka mitano matibabu bure ukienda hospital dawa unakwenda kununua pharmacy hiyo bure yenu ni nini hapo?.