johnsonfrank
Member
- Oct 23, 2018
- 19
- 4
Hii namba ya Eng.Muyanja mkuu wa kanda ya Pwani na Dar.Tutakufungia umeme hauna haja ya kuwa na hofu wala kudhani tunahitaji chochote.hii ni haki yako na sisi ni wajibu wetu.upo kwenye orodha yetu
Ulilipa kwa jina gani ,namba ya simu na tarehe ngapi tafadhaliHaya ni majibu kutoka kituo cha umeme Mbagala.
Mara ya kwanza;Walinijib kuwa mita na waya vipo na watakuja kufunga mwisho wa mwezi wa 10.
Mara ya pili;Walinijib kuwa watakuja mwanzoni mwa mwezi wa 11 amabao ndo huu na kuniomba nirud na kuendelea kuwasubiri.
Mara ya tatu;Baaada ya kumpigia Meneja wa umeme Pwani na Dar akaniomba nirudi tena kwnye hicho kituo ili nionane na meneja lkn kufika pale walinizuia kuonana nae na kudai hilo jambo liko ndani ya uwezo wao na kuniomba nisubir tena mwezi huu.
Sasa huo ndo utendaji kazi wenu ulivyo na kwann ukweli kwenu ni tatizo.
Mimi tatizo langu ni meter ya Luku, umeme unkata kwa masaa kila jioni kwangu tu au nyumba mbili lakini meter ziko tatu kwenye nguzo moja na huyo mmoja haujawahi katika. Kwa nini kwangu au kwetu tu. Kama umeme mdogo iwe nyumba mbili tu? Line hii kuna nyumba tatu za jirani umeme haukatiki. Ni Songwe hapa.
*JINSI YA KUONDOA ERROR 77 KWENYE MITA ZINAZOANZA NA NAMBA 2421...*Naombeni msaada, nilikua nimezoea umeme kutokuisha kabisa kwenye luku maana kwa tariff 4 shiling 7500 tu zilikua zinanipatia umeme wa kutosheleza. Sasa kwa haya mabadiliko mliyotuletea huku Kilimanjaro ni tabu tupu, umeme umeisha jana mchana sikuwaza kama Jioni nikirudi kuweka mwingine ingenisumbua. Kila nilipotaka kuweka ninaambiwa error 77 nimewapigia mkanipa namna ya kuondoa hiyo error ila hakuna kilichofanikiwa nipo gizani na baadhi ya mambo kukwama, namba ya mita ni 24212097125
Kuna uhakiki wa wateja unaendelea hivyo wateja wote wanawekwa makundi yanayoendana na matumizi yaoNDUGU ZETU TANESCO KILIMANJARO HASA HAPA HIMO KUNA MABADILIKO MAKUBWA YAMETOKEA HASA KWA WENYEWE MITA ZA LUKU YAAN UNIT SASA ZINATOLEWA CHACHE SANAA PUNGUFU MARA 2 YA KAWAIDA.... WANANCHI WA KAWAIDA TUNAUMIA SANA...... NIMEJARIBU KUWAULIZA OFFICE YA TANESCO HAPA NAAMBIWA KUNA UKAGUZI WA MITA ZA LUKU......... NAOMBA KUJUA HILI ZOEZ NI KWEL AU KUNA UKIRITIMBA HAPA HIMO......
UFAFANUZI PLEASE!?!
WilayaWakuu naomba mnisaidie nakuwa kama niko kisiwani. Hata humu ndani mafundi washacheki hakuna tatizo la kiufundi. Shida ni nini? Nishaenda zaidi ya mara tatu Tanesco wansema umeme mdogo. Naona ni assumptions maana mimi naona majirani unawaka!!
Why kwangu tu? Na hapa nipo gizani!!!
Ndugu zangu Tanesco Yetu,Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.
Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;
1.ENEO HUSIKA
(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)
2.NAMBA YA SIMU
(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)
3.KARIBU NA NINI
(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)
4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO
(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)
5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI
(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)
6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME
(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)
7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI
(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)
TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.
ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO
Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;
LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO
Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani
Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO
Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu
HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA
Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219
Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330
Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461
Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098
Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361
Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386
Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110
Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779
Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8
Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590
Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090
Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330
Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061
Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672
Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180
Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728
Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2
Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133
Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868
Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120
Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668
Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200
IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makauu.
NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE
1. Ilala
0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.
2.Kinondoni Kusini (Magomeni)
0784271461/ 0715271461
3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)
0784 768584/ 0716 768584
4. Temeke
0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720
5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386
6. Mbeya
0759 777781/0787 023422
7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110
8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779
9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8
10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951
11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090
12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330
13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061
14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087
15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072
16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728
17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2
18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133
19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868
20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070
21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226
22. Katavi
0688345200
23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.
25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986
26. Njombe
0744703988
27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902
28. Iringa 0262702019/0739203015
29. Lindi
0752518247/0685692786
Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu
0768 985 100/0222194400
www.facebook.com/tanescoyetu
www.twitter.com/tanescoyetu
Tovuti
www.tanesco.co.tz
Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz
Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Habari ndugu.Ndugu zangu Tanesco Yetu,
Salaam.
Nina concern mbili.
1. Kuhusu upatikanaji wa Luku statement
Nimeenda Tanesco Wilaya ya Kigamboni pale Kisiwani kuhitaji kupata Luku statement ili niweze kufuatilia malipo yangu. Kwani Nimeona Kuna tatizo katika ununuzi wa Luku. Ninalipa Hela nyingi kununua umeme wakati matumizi yangu ni madogo sana. Kwa Mwezi mzima situmii unit 60.
Cha ajabu ni Kuwa na kilichonishangaza ni kuambiwa siwezi kupata statement hadi niandike barua ya kuomba hitaji langu kwa meneja. Hii Ilinishangaza Kidogo. Je huu ndio utaratibu wenu kwa Wilaya hii ya Kigamboni? Au ni utaratibu wa Nchi nzima? Na Kwanini mteja nilazimike kuandika barua ya maombi? Kwanini isiwe mkaiga Mfumo wa mabank kutoa statement bila usumbufu. Naomba ufafanuzi.
2. Pili ni Kuwa Tanesco Yetu mna utaratibu wa kumpandishia mtu kutoka matumizi madogo kwenda makubwa automatically akiwa anatumia umeme zaidi ya unit 75 kwa Mwezi bila hata kumjulisha. Lakini wakati huo huo mtu anayetumia umeme chini ya unit 75 kwa Mwezi hamshushi kutoka juu kuleta chini. Hapo mnahitaji mteja alalamike na kuandika kuomba kupelekwa matumizi madogo. Swali langu Kwanini inakuwa ngumu kwenu kufanya hivyo? Hamuoni kama mnawanyonya Wateja ambao matumizi yao ni madogo na nyie mnamlipisha kiwango cha daraja la juu.
Naomba kupata ufafanuzi wa mambo hayo mawili.
Yapo mazingira yanayaoweza kupelekea mteja abadilishwe kundi la matumizi.tunaomba namba yako ya mita na ya simu tukupatie ufafanuzi zaidiNdugu zangu Tanesco Yetu,
Salaam.
Nina concern mbili.
1. Kuhusu upatikanaji wa Luku statement
Nimeenda Tanesco Wilaya ya Kigamboni pale Kisiwani kuhitaji kupata Luku statement ili niweze kufuatilia malipo yangu. Kwani Nimeona Kuna tatizo katika ununuzi wa Luku. Ninalipa Hela nyingi kununua umeme wakati matumizi yangu ni madogo sana. Kwa Mwezi mzima situmii unit 60.
Cha ajabu ni Kuwa na kilichonishangaza ni kuambiwa siwezi kupata statement hadi niandike barua ya kuomba hitaji langu kwa meneja. Hii Ilinishangaza Kidogo. Je huu ndio utaratibu wenu kwa Wilaya hii ya Kigamboni? Au ni utaratibu wa Nchi nzima? Na Kwanini mteja nilazimike kuandika barua ya maombi? Kwanini isiwe mkaiga Mfumo wa mabank kutoa statement bila usumbufu. Naomba ufafanuzi.
2. Pili ni Kuwa Tanesco Yetu mna utaratibu wa kumpandishia mtu kutoka matumizi madogo kwenda makubwa automatically akiwa anatumia umeme zaidi ya unit 75 kwa Mwezi bila hata kumjulisha. Lakini wakati huo huo mtu anayetumia umeme chini ya unit 75 kwa Mwezi hamshushi kutoka juu kuleta chini. Hapo mnahitaji mteja alalamike na kuandika kuomba kupelekwa matumizi madogo. Swali langu Kwanini inakuwa ngumu kwenu kufanya hivyo? Hamuoni kama mnawanyonya Wateja ambao matumizi yao ni madogo na nyie mnamlipisha kiwango cha daraja la juu.
Naomba kupata ufafanuzi wa mambo hayo mawili.
Pia ili kuweza kupelekwa kuwa mteja mdogo ni lazma uombe ili kudhibitisha kuwa ni kweli unataka huduma hii kwa sababu endapo utakiuka masharti na vigezo Tanesco tunakupiga faini ya kuvunja makubaliano na baada ya muda mfumo wetu unakuondoa kwenye mteja mdogoHabari ndugu.
Pole sana kwa changamoto hio. Ndugu mteja unaweza kupata statement yako. Je tunaweza kujua unataka kuona manunuzi pamoja na kitu gani zaid mfano. Njia ya manunuzi iliotumika na muda na tarehe.
Je unataka kuona kwa kipindi gani hio statement (kuanzia lini hadi lini). Kutokana na ukubwa statement unaweza kututumia barua pepe yako na kesho mapena tutakutumia...
2. Tanesco hatupandishi matumizi wala manunuzi ya mteja..
Nashukuru kwa prompt response.Habari ndugu.
Pole sana kwa changamoto hio. Ndugu mteja unaweza kupata statement yako. Je tunaweza kujua unataka kuona manunuzi pamoja na kitu gani zaid mfano. Njia ya manunuzi iliotumika na muda na tarehe.
Je unataka kuona kwa kipindi gani hio statement (kuanzia lini hadi lini). Kutokana na ukubwa statement unaweza kututumia barua pepe yako na kesho mapena tutakutumia...
2. Tanesco hatupandishi matumizi wala manunuzi ya mteja..
Contact.centre@tanesco.co.tz tuma hapo na namba yako ya simu tutakupatia ufafanuzi yote hayoNashukuru kwa prompt response.
Nahitaji kuona njia ya manunuzi, jumla ya units zangu ninazonunua. Muda na tarehe kuanzia August 2017 hadi October 2018.
Msingi wa hoja ya Pili ambayo nadhani hukuielewa ni Kuwa mteja kama alikuwa anamatumizi madogo, halafu akawa anatumia umeme miezi mitatu mfululizo kuzidi units 75 automatically anapandishwa juu. Mfano, shilingi 5000/= hutoa unit 41 kwa mteja mwenye matumizi ya chini na unit 14 tu kwa mteja mwenye matumizi makubwa. Swali langu likawa Kwanini huyu anapokuwa anatumia matumizi madogo asishushwe automatically bila kuhitaji kuomba kwenu?
Asante. Email Nitakutumia na mita namba.