TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Tutakufungia umeme hauna haja ya kuwa na hofu wala kudhani tunahitaji chochote.hii ni haki yako na sisi ni wajibu wetu.upo kwenye orodha yetu
Hii namba ya Eng.Muyanja mkuu wa kanda ya Pwani na Dar.
0784277953 mpigie ueleze shida yako maana hawa ni wasumbufu wanataka rushwa tu.
 
Haya ni majibu kutoka kituo cha umeme Mbagala.

Mara ya kwanza;Walinijib kuwa mita na waya vipo na watakuja kufunga mwisho wa mwezi wa 10.

Mara ya pili;Walinijib kuwa watakuja mwanzoni mwa mwezi wa 11 amabao ndo huu na kuniomba nirud na kuendelea kuwasubiri.

Mara ya tatu;Baaada ya kumpigia Meneja wa umeme Pwani na Dar akaniomba nirudi tena kwnye hicho kituo ili nionane na meneja lkn kufika pale walinizuia kuonana nae na kudai hilo jambo liko ndani ya uwezo wao na kuniomba nisubir tena mwezi huu.

Sasa huo ndo utendaji kazi wenu ulivyo na kwann ukweli kwenu ni tatizo.
Ulilipa kwa jina gani ,namba ya simu na tarehe ngapi tafadhali
 
Kigoma mjini ni takribani wiki 3 sasa umeme unakatika kila siku kwa msaa 3 hadi 5. Kwanini hamtangazi kuna mgao ili watu wapange shughuli zao?
 
Mimi tatizo langu ni meter ya Luku, umeme unkata kwa masaa kila jioni kwangu tu au nyumba mbili lakini meter ziko tatu kwenye nguzo moja na huyo mmoja haujawahi katika. Kwa nini kwangu au kwetu tu. Kama umeme mdogo iwe nyumba mbili tu? Line hii kuna nyumba tatu za jirani umeme haukatiki. Ni Songwe hapa.
 
Wakuu naomba mnisaidie nakuwa kama niko kisiwani. Hata humu ndani mafundi washacheki hakuna tatizo la kiufundi. Shida ni nini? Nishaenda zaidi ya mara tatu Tanesco wansema umeme mdogo. Naona ni assumptions maana mimi naona majirani unawaka!!
Why kwangu tu? Na hapa nipo gizani!!!
 
NDUGU ZETU TANESCO KILIMANJARO HASA HAPA HIMO KUNA MABADILIKO MAKUBWA YAMETOKEA HASA KWA WENYEWE MITA ZA LUKU YAAN UNIT SASA ZINATOLEWA CHACHE SANAA PUNGUFU MARA 2 YA KAWAIDA.... WANANCHI WA KAWAIDA TUNAUMIA SANA...... NIMEJARIBU KUWAULIZA OFFICE YA TANESCO HAPA NAAMBIWA KUNA UKAGUZI WA MITA ZA LUKU......... NAOMBA KUJUA HILI ZOEZ NI KWEL AU KUNA UKIRITIMBA HAPA HIMO......


UFAFANUZI PLEASE!?!
 
Naombeni msaada, nilikua nimezoea umeme kutokuisha kabisa kwenye luku maana kwa tariff 4 shiling 7500 tu zilikua zinanipatia umeme wa kutosheleza. Sasa kwa haya mabadiliko mliyotuletea huku Kilimanjaro ni tabu tupu, umeme umeisha jana mchana sikuwaza kama Jioni nikirudi kuweka mwingine ingenisumbua. Kila nilipotaka kuweka ninaambiwa error 77 nimewapigia mkanipa namna ya kuondoa hiyo error ila hakuna kilichofanikiwa nipo gizani na baadhi ya mambo kukwama, namba ya mita ni 24212097125
 
Naombeni msaada, nilikua nimezoea umeme kutokuisha kabisa kwenye luku maana kwa tariff 4 shiling 7500 tu zilikua zinanipatia umeme wa kutosheleza. Sasa kwa haya mabadiliko mliyotuletea huku Kilimanjaro ni tabu tupu, umeme umeisha jana mchana sikuwaza kama Jioni nikirudi kuweka mwingine ingenisumbua. Kila nilipotaka kuweka ninaambiwa error 77 nimewapigia mkanipa namna ya kuondoa hiyo error ila hakuna kilichofanikiwa nipo gizani na baadhi ya mambo kukwama, namba ya mita ni 24212097125
*JINSI YA KUONDOA ERROR 77 KWENYE MITA ZINAZOANZA NA NAMBA 2421...*

*ERROR 77*

Hii ni error ambayo inapatikana kwenye mita tengano maarufu kama mita za rimoti au CIU ambazo zinafungwa juu ya nguzo na zinaanza na namba ya mita 2421.....

*NINI KINASABABISHA ERROR 77*

*Error 77* inamaanisha kuwa mita yako ya kwenye nguzo na rimoti yako hazina mawasiliano hivyo umeme hauwezi kuingia. Mara nyingi inatokea unapotaka kuweka umeme baada ya kuisha unit.

*JINSI YA KUTATUA ENDAPO ITATOKEA*

Unatakiwa kuhakikisha kuwa umeme kwenye mtaa wako upo na kama nyumba yako haina umeme yaani unit zimeisha weka betri zenye nguvu kwenye rimoti yako na kisha fata taratibu zifuatazo

[emoji841]Zima switch zote za nyumba yako, *hakikisha zote zimezimwa*

[emoji841]Washa switch moja tu ya ukutani na chomeka hiyo rimoti kisha bonyeza zero(0) ikifuatiwa na mita namba yako alafu tena zero(0) ikifuatiwa na mita namba yako kisha bonyeza ok au enter..

*Mfano mita namba yako ni 241234567 Utafanya ifuatavyo *024212345670241234567ENTER*

[emoji841]Baada ya kubonyeza ok itaakuandikia *GOOD* apo sasa weka umeme wako kama kawaida na utapata umeme.

*ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA ZA TANESCO*

*RUKSA KUSHARE NA NDUGU JAMAA NA MARAFIKI*
 
NDUGU ZETU TANESCO KILIMANJARO HASA HAPA HIMO KUNA MABADILIKO MAKUBWA YAMETOKEA HASA KWA WENYEWE MITA ZA LUKU YAAN UNIT SASA ZINATOLEWA CHACHE SANAA PUNGUFU MARA 2 YA KAWAIDA.... WANANCHI WA KAWAIDA TUNAUMIA SANA...... NIMEJARIBU KUWAULIZA OFFICE YA TANESCO HAPA NAAMBIWA KUNA UKAGUZI WA MITA ZA LUKU......... NAOMBA KUJUA HILI ZOEZ NI KWEL AU KUNA UKIRITIMBA HAPA HIMO......


UFAFANUZI PLEASE!?!
Kuna uhakiki wa wateja unaendelea hivyo wateja wote wanawekwa makundi yanayoendana na matumizi yao
 
Wakuu naomba mnisaidie nakuwa kama niko kisiwani. Hata humu ndani mafundi washacheki hakuna tatizo la kiufundi. Shida ni nini? Nishaenda zaidi ya mara tatu Tanesco wansema umeme mdogo. Naona ni assumptions maana mimi naona majirani unawaka!!
Why kwangu tu? Na hapa nipo gizani!!!
Wilaya

Eneo

Namba ya simu

Namba ya mita

Tatizo
 
Wilaya kinondoni

Eneo kawe mlalakuwa,karibu na golf course ya JWTZ

Namba ya simu 0699784611

Namba ya mita

Tatizo tunapata tatzo la under voltage mara kwa mara na nilishareport tanesco na technician wakaja warecommend phase balance ya nyumba lkn still bado tatizo lipooo halishii bado nna video nimerecord zA jinsi tatizo lilivyo ika hapa zimegoma maaana file ni kubwa sanaaa
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Ndugu zangu Tanesco Yetu,

Salaam.

Nina concern mbili.
1. Kuhusu upatikanaji wa Luku statement
Nimeenda Tanesco Wilaya ya Kigamboni pale Kisiwani kuhitaji kupata Luku statement ili niweze kufuatilia malipo yangu. Kwani Nimeona Kuna tatizo katika ununuzi wa Luku. Ninalipa Hela nyingi kununua umeme wakati matumizi yangu ni madogo sana. Kwa Mwezi mzima situmii unit 60.

Cha ajabu ni Kuwa na kilichonishangaza ni kuambiwa siwezi kupata statement hadi niandike barua ya kuomba hitaji langu kwa meneja. Hii Ilinishangaza Kidogo. Je huu ndio utaratibu wenu kwa Wilaya hii ya Kigamboni? Au ni utaratibu wa Nchi nzima? Na Kwanini mteja nilazimike kuandika barua ya maombi? Kwanini isiwe mkaiga Mfumo wa mabank kutoa statement bila usumbufu. Naomba ufafanuzi.

2. Pili ni Kuwa Tanesco Yetu mna utaratibu wa kumpandishia mtu kutoka matumizi madogo kwenda makubwa automatically akiwa anatumia umeme zaidi ya unit 75 kwa Mwezi bila hata kumjulisha. Lakini wakati huo huo mtu anayetumia umeme chini ya unit 75 kwa Mwezi hamshushi kutoka juu kuleta chini. Hapo mnahitaji mteja alalamike na kuandika kuomba kupelekwa matumizi madogo. Swali langu Kwanini inakuwa ngumu kwenu kufanya hivyo? Hamuoni kama mnawanyonya Wateja ambao matumizi yao ni madogo na nyie mnamlipisha kiwango cha daraja la juu.

Naomba kupata ufafanuzi wa mambo hayo mawili.
 
Ndugu zangu Tanesco Yetu,

Salaam.

Nina concern mbili.
1. Kuhusu upatikanaji wa Luku statement
Nimeenda Tanesco Wilaya ya Kigamboni pale Kisiwani kuhitaji kupata Luku statement ili niweze kufuatilia malipo yangu. Kwani Nimeona Kuna tatizo katika ununuzi wa Luku. Ninalipa Hela nyingi kununua umeme wakati matumizi yangu ni madogo sana. Kwa Mwezi mzima situmii unit 60.

Cha ajabu ni Kuwa na kilichonishangaza ni kuambiwa siwezi kupata statement hadi niandike barua ya kuomba hitaji langu kwa meneja. Hii Ilinishangaza Kidogo. Je huu ndio utaratibu wenu kwa Wilaya hii ya Kigamboni? Au ni utaratibu wa Nchi nzima? Na Kwanini mteja nilazimike kuandika barua ya maombi? Kwanini isiwe mkaiga Mfumo wa mabank kutoa statement bila usumbufu. Naomba ufafanuzi.

2. Pili ni Kuwa Tanesco Yetu mna utaratibu wa kumpandishia mtu kutoka matumizi madogo kwenda makubwa automatically akiwa anatumia umeme zaidi ya unit 75 kwa Mwezi bila hata kumjulisha. Lakini wakati huo huo mtu anayetumia umeme chini ya unit 75 kwa Mwezi hamshushi kutoka juu kuleta chini. Hapo mnahitaji mteja alalamike na kuandika kuomba kupelekwa matumizi madogo. Swali langu Kwanini inakuwa ngumu kwenu kufanya hivyo? Hamuoni kama mnawanyonya Wateja ambao matumizi yao ni madogo na nyie mnamlipisha kiwango cha daraja la juu.

Naomba kupata ufafanuzi wa mambo hayo mawili.
Habari ndugu.

Pole sana kwa changamoto hio. Ndugu mteja unaweza kupata statement yako. Je tunaweza kujua unataka kuona manunuzi pamoja na kitu gani zaid mfano. Njia ya manunuzi iliotumika na muda na tarehe.

Je unataka kuona kwa kipindi gani hio statement (kuanzia lini hadi lini). Kutokana na ukubwa statement unaweza kututumia barua pepe yako na kesho mapena tutakutumia...

2. Tanesco hatupandishi matumizi wala manunuzi ya mteja..
 
Ndugu zangu Tanesco Yetu,

Salaam.

Nina concern mbili.
1. Kuhusu upatikanaji wa Luku statement
Nimeenda Tanesco Wilaya ya Kigamboni pale Kisiwani kuhitaji kupata Luku statement ili niweze kufuatilia malipo yangu. Kwani Nimeona Kuna tatizo katika ununuzi wa Luku. Ninalipa Hela nyingi kununua umeme wakati matumizi yangu ni madogo sana. Kwa Mwezi mzima situmii unit 60.

Cha ajabu ni Kuwa na kilichonishangaza ni kuambiwa siwezi kupata statement hadi niandike barua ya kuomba hitaji langu kwa meneja. Hii Ilinishangaza Kidogo. Je huu ndio utaratibu wenu kwa Wilaya hii ya Kigamboni? Au ni utaratibu wa Nchi nzima? Na Kwanini mteja nilazimike kuandika barua ya maombi? Kwanini isiwe mkaiga Mfumo wa mabank kutoa statement bila usumbufu. Naomba ufafanuzi.

2. Pili ni Kuwa Tanesco Yetu mna utaratibu wa kumpandishia mtu kutoka matumizi madogo kwenda makubwa automatically akiwa anatumia umeme zaidi ya unit 75 kwa Mwezi bila hata kumjulisha. Lakini wakati huo huo mtu anayetumia umeme chini ya unit 75 kwa Mwezi hamshushi kutoka juu kuleta chini. Hapo mnahitaji mteja alalamike na kuandika kuomba kupelekwa matumizi madogo. Swali langu Kwanini inakuwa ngumu kwenu kufanya hivyo? Hamuoni kama mnawanyonya Wateja ambao matumizi yao ni madogo na nyie mnamlipisha kiwango cha daraja la juu.

Naomba kupata ufafanuzi wa mambo hayo mawili.
Yapo mazingira yanayaoweza kupelekea mteja abadilishwe kundi la matumizi.tunaomba namba yako ya mita na ya simu tukupatie ufafanuzi zaidi
 
Mpunguze kutukatia umeme uku mbagala bana
 
Habari ndugu.

Pole sana kwa changamoto hio. Ndugu mteja unaweza kupata statement yako. Je tunaweza kujua unataka kuona manunuzi pamoja na kitu gani zaid mfano. Njia ya manunuzi iliotumika na muda na tarehe.

Je unataka kuona kwa kipindi gani hio statement (kuanzia lini hadi lini). Kutokana na ukubwa statement unaweza kututumia barua pepe yako na kesho mapena tutakutumia...

2. Tanesco hatupandishi matumizi wala manunuzi ya mteja..
Pia ili kuweza kupelekwa kuwa mteja mdogo ni lazma uombe ili kudhibitisha kuwa ni kweli unataka huduma hii kwa sababu endapo utakiuka masharti na vigezo Tanesco tunakupiga faini ya kuvunja makubaliano na baada ya muda mfumo wetu unakuondoa kwenye mteja mdogo
 
Mimi ni wakala wa airtel money,
Nimemnunulia mteja umeme bahati mbaya ikakosewa namba ya simu token zikaenda kwa mtu mwingine.
Nimewapigia Airtel wakasema mpaka niwasiliane na tanesco
Hebu mnisaidie maana
 
Habari ndugu.

Pole sana kwa changamoto hio. Ndugu mteja unaweza kupata statement yako. Je tunaweza kujua unataka kuona manunuzi pamoja na kitu gani zaid mfano. Njia ya manunuzi iliotumika na muda na tarehe.

Je unataka kuona kwa kipindi gani hio statement (kuanzia lini hadi lini). Kutokana na ukubwa statement unaweza kututumia barua pepe yako na kesho mapena tutakutumia...

2. Tanesco hatupandishi matumizi wala manunuzi ya mteja..
Nashukuru kwa prompt response.

Nahitaji kuona njia ya manunuzi, jumla ya units zangu ninazonunua. Muda na tarehe kuanzia August 2017 hadi October 2018.

Msingi wa hoja ya Pili ambayo nadhani hukuielewa ni Kuwa mteja kama alikuwa anamatumizi madogo, halafu akawa anatumia umeme miezi mitatu mfululizo kuzidi units 75 automatically anapandishwa juu. Mfano, shilingi 5000/= hutoa unit 41 kwa mteja mwenye matumizi ya chini na unit 14 tu kwa mteja mwenye matumizi makubwa. Swali langu likawa Kwanini huyu anapokuwa anatumia matumizi madogo asishushwe automatically bila kuhitaji kuomba kwenu?

Asante. Email Nitakutumia na mita namba.
 
Mradi Wa Umeme vijijini ( REA) Eneo Mkokozi wilaya Mkuranga , tarehe 25/7/2018 niliipia mita 2 kwa majina ya Annastazia Bajagae.

Kwa makosa ninayoamini ni ya kibinadamu nilifungiwa mita 1, nikaelezwa kuwa wao wamepewa mita 1 na Hata hizo risiti 2 nilizonazo hawajui ni IPI iliyopewa mita hivyo wakanishauri nirudi TANESCO Mkuranga kutoa taarifa.

Nilifanya hivyo, na kuahidiwa tatizo langu kushughulikiwa kwa maana ya kufungiwa mita ya 2, nimevumilia nimepewa namba ya Simu lkn kila ukipiga jibu TUNASHUGHULIKIA. ( Kweli)

Hivi hata hili , mpaka nguvu ya ziada ( ziara za viongozi)
 
Nashukuru kwa prompt response.

Nahitaji kuona njia ya manunuzi, jumla ya units zangu ninazonunua. Muda na tarehe kuanzia August 2017 hadi October 2018.

Msingi wa hoja ya Pili ambayo nadhani hukuielewa ni Kuwa mteja kama alikuwa anamatumizi madogo, halafu akawa anatumia umeme miezi mitatu mfululizo kuzidi units 75 automatically anapandishwa juu. Mfano, shilingi 5000/= hutoa unit 41 kwa mteja mwenye matumizi ya chini na unit 14 tu kwa mteja mwenye matumizi makubwa. Swali langu likawa Kwanini huyu anapokuwa anatumia matumizi madogo asishushwe automatically bila kuhitaji kuomba kwenu?

Asante. Email Nitakutumia na mita namba.
Contact.centre@tanesco.co.tz tuma hapo na namba yako ya simu tutakupatia ufafanuzi yote hayo
 
Back
Top Bottom