Tunaomba namba yako ya simu tafadhaliMradi Wa Umeme vijijini ( REA) Eneo Mkokozi wilaya Mkuranga , tarehe 25/7/2018 niliipia mita 2 kwa majina ya Annastazia Bajagae.
Kwa makosa ninayoamini ni ya kibinadamu nilifungiwa mita 1, nikaelezwa kuwa wao wamepewa mita 1 na Hata hizo risiti 2 nilizonazo hawajui ni IPI iliyopewa mita hivyo wakanishauri nirudi TANESCO Mkuranga kutoa taarifa.
Nilifanya hivyo, na kuahidiwa tatizo langu kushughulikiwa kwa maana ya kufungiwa mita ya 2, nimevumilia nimepewa namba ya Simu lkn kila ukipiga jibu TUNASHUGHULIKIA. ( Kweli)
Hivi hata hili , mpaka nguvu ya ziada ( ziara za viongozi)
Tuma kwenye email hiiNashukuru kwa prompt response.
Nahitaji kuona njia ya manunuzi, jumla ya units zangu ninazonunua. Muda na tarehe kuanzia August 2017 hadi October 2018.
Msingi wa hoja ya Pili ambayo nadhani hukuielewa ni Kuwa mteja kama alikuwa anamatumizi madogo, halafu akawa anatumia umeme miezi mitatu mfululizo kuzidi units 75 automatically anapandishwa juu. Mfano, shilingi 5000/= hutoa unit 41 kwa mteja mwenye matumizi ya chini na unit 14 tu kwa mteja mwenye matumizi makubwa. Swali langu likawa Kwanini huyu anapokuwa anatumia matumizi madogo asishushwe automatically bila kuhitaji kuomba kwenu?
Asante. Email Nitakutumia na mita namba.
Asante nimetumaTuma kwenye email hii
customer.service@tanesco.co.tz
Nimeshaitumia kwa njia ya email yenu. Namba ipo hapo piaYapo mazingira yanayaoweza kupelekea mteja abadilishwe kundi la matumizi.tunaomba namba yako ya mita na ya simu tukupatie ufafanuzi zaidi
Asanteee........ Lakin had lini zoez hlo? mana gharama zinaonekana kuwa kubwa kwetuKuna uhakiki wa wateja unaendelea hivyo wateja wote wanawekwa makundi yanayoendana na matumizi yao
Nimelipa kwa jina la FRANK LEONARD KASELE,0762061539 NIMELIPA 11/9/2018Ulilipa kwa jina gani ,namba ya simu na tarehe ngapi tafadhali
Ndani ya siku 10 nitaripoti tena kwa huyo mkuu kama alivyoniomba kufanya hivyo endapo umeme hautounganishwa.Ulilipa kwa jina gani ,namba ya simu na tarehe ngapi tafadhali
Uvumilivu wa ndani ya hizo siku 10 tu na leo ni tar 4/11/2018,zimebaki siku 6 tu.Tunaomba uvumilivu wakati swala k
Lako tunalifanyia kazi.
0789443736Tunaomba namba yako ya simu tafadhali
Tumepokea taarif kwa hatua zaid mpendwa mtejaWilaya
Momba:
EneoTAZARA -TUNDUMA
Namba ya simu:
0684187248
Namba ya mita
24213768203
Tatizo: Umeme unakatika kila siku jioni unakaa kwa saa kadha ndipo urudi. Niko na watu wengine line hii na wengine nguzo moja lakini hawapati
tatizo hili. Nimeshaenda Tanesco mara nyingi maambiwa umeme ni mdogo!! Niliuliza kwanini kwangu tu? Nikajibiwa siyo kwako tu! Sijawahi kuona mtaalamu akija kukagua hata kwenye nguzo yenye mita au labda mita ina shida nk. Nimechoka kukanyaga Tanesco. Naomba msaada.
Eneo hili linapata umeme mdogo (low voltage), wataalam wamekwenda mara kadhaa na kufanikiwa kubaini chanzo cha tatizo. Tupo katika hatua za mwisho kupeleka mradi wa kuboresha hali ya umeme eneo hiloWilaya
Momba:
EneoTAZARA -TUNDUMA
Namba ya simu:
0684187248
Namba ya mita
24213768203
Tatizo: Umeme unakatika kila siku jioni unakaa kwa saa kadha ndipo urudi. Niko na watu wengine line hii na wengine nguzo moja lakini hawapati
tatizo hili. Nimeshaenda Tanesco mara nyingi maambiwa umeme ni mdogo!! Niliuliza kwanini kwangu tu? Nikajibiwa siyo kwako tu! Sijawahi kuona mtaalamu akija kukagua hata kwenye nguzo yenye mita au labda mita ina shida nk. Nimechoka kukanyaga Tanesco. Naomba msaada.
Mnachunguza kwa muda gani maana mifumo yenu najua mwaweza track matumizi ya kila mita husika, tokea nipo tariff 4 matumizi ya hayajawahi fikia unit 60 kwa mwezi. Sasa muda huu mnaangalia unit ama kiasi cha pesa kilichotumika, maana umeme wa chini ya 10000 hautokidhi mahitaji ya mwezi tena inabidi kununua angalau wa 15000 ambayo ni mara mbili ya kiasi kilichokua kinatumika mwanzoni lakini unit zinazopatikana hazifikii 44.Kuna uhakiki wa wateja unaendelea hivyo wateja wote wanawekwa makundi yanayoendana na matumizi yao
Asanteni japo hili lilishindikana nikapiga tena makao makuu nikasaidiwa kwa kupatiwa namba ambazo ziliniwezesha kufanikisha kutatua tatizo langu, nashukuru kwa kijana aliyenihudumia alikua mkarimu sana maana nilikua nafanya movement toka kwangu na kwa jirani kulingana na option mbalimbali alizokua ananiambia tuzijaribu ili kupata utatuzi.*JINSI YA KUONDOA ERROR 77 KWENYE MITA ZINAZOANZA NA NAMBA 2421...*
*ERROR 77*
Hii ni error ambayo inapatikana kwenye mita tengano maarufu kama mita za rimoti au CIU ambazo zinafungwa juu ya nguzo na zinaanza na namba ya mita 2421.....
*NINI KINASABABISHA ERROR 77*
*Error 77* inamaanisha kuwa mita yako ya kwenye nguzo na rimoti yako hazina mawasiliano hivyo umeme hauwezi kuingia. Mara nyingi inatokea unapotaka kuweka umeme baada ya kuisha unit.
*JINSI YA KUTATUA ENDAPO ITATOKEA*
Unatakiwa kuhakikisha kuwa umeme kwenye mtaa wako upo na kama nyumba yako haina umeme yaani unit zimeisha weka betri zenye nguvu kwenye rimoti yako na kisha fata taratibu zifuatazo
[emoji841]Zima switch zote za nyumba yako, *hakikisha zote zimezimwa*
[emoji841]Washa switch moja tu ya ukutani na chomeka hiyo rimoti kisha bonyeza zero(0) ikifuatiwa na mita namba yako alafu tena zero(0) ikifuatiwa na mita namba yako kisha bonyeza ok au enter..
*Mfano mita namba yako ni 241234567 Utafanya ifuatavyo *024212345670241234567ENTER*
[emoji841]Baada ya kubonyeza ok itaakuandikia *GOOD* apo sasa weka umeme wako kama kawaida na utapata umeme.
*ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA ZA TANESCO*
*RUKSA KUSHARE NA NDUGU JAMAA NA MARAFIKI*
Tunashukuru sana mendwa mteja wetuAsanteni japo hili lilishindikana nikapiga tena makao makuu nikasaidiwa kwa kupatiwa namba ambazo ziliniwezesha kufanikisha kutatua tatizo langu, nashukuru kwa kijana aliyenihudumia alikua mkarimu sana maana nilikua nafanya movement toka kwangu na kwa jirani kulingana na option mbalimbali alizokua ananiambia tuzijaribu ili kupata utatuzi.
Majibu na hiyo post ya #5106Tunashukuru sana mendwa mteja wetu
Upo kundi sahihi la matumuzi ya nyumbani endelea kufurahia huduma zetuMnachunguza kwa muda gani maana mifumo yenu najua mwaweza track matumizi ya kila mita husika, tokea nipo tariff 4 matumizi ya hayajawahi fikia unit 60 kwa mwezi. Sasa muda huu mnaangalia unit ama kiasi cha pesa kilichotumika, maana umeme wa chini ya 10000 hautokidhi mahitaji ya mwezi tena inabidi kununua angalau wa 15000 ambayo ni mara mbili ya kiasi kilichokua kinatumika mwanzoni lakini unit zinazopatikana hazifikii 44.