Mradi Wa Umeme vijijini ( REA) Eneo Mkokozi wilaya Mkuranga , tarehe 25/7/2018 niliipia mita 2 kwa majina ya Annastazia Bajagae.
Kwa makosa ninayoamini ni ya kibinadamu nilifungiwa mita 1, nikaelezwa kuwa wao wamepewa mita 1 na Hata hizo risiti 2 nilizonazo hawajui ni IPI iliyopewa mita hivyo wakanishauri nirudi TANESCO Mkuranga kutoa taarifa.
Nilifanya hivyo, na kuahidiwa tatizo langu kushughulikiwa kwa maana ya kufungiwa mita ya 2, nimevumilia nimepewa namba ya Simu lkn kila ukipiga jibu TUNASHUGHULIKIA. ( Kweli)
Hivi hata hili , mpaka nguvu ya ziada ( ziara za viongozi)