TANESCO naombeni maelezo kwenye hili swala la tariffs mfano kuna mtu anatumia umeme mkubwa but still yupo tarrif 4 ila mm nina nyumba ina room 3 situmii fridge wala jiko la umeme but nimejikuta nimehamishwa kweny tarrif 1 ukizingatia kwa mwezi matumiz yangu ya umeme nimadogo mno
 
Kama tanesco mikoa yote watafanya kama wanavyofanya tanesco Tabata kusingelikuwa na malalamiko,tabata wameanzisha group la whatsap angalau taarifa zote hutumwa za malalamiko,na hata za kuwajulisha wananchi kitakachoendelea kwenye mitaa yao kama kukatika kwa umeme n.k
Tabata wapo vizuri sana likitokea tatizo haraka kupitia mawasiliano tunajulishana,kidogo tatizo muhasibu wao anajiskia sana na kuringa kupitiliza na kudhoorotesha mazuri mengi yanayofanywa na uongozi wa pale.
 
tunaomba namba yako ya mita tuangalie manunuzi yako
 
Ndugu mpendwa mteja wetu tunakujulisha kuwa TANESCO ina WhatsApp group za wateja wilaya zote na huduma zinatolewa kwa wateja wetu muda wa masaa 24. Aidha mbali ya WhatsApp Groups tunanjia nyingine zifuatazo:

www.facebook.com/tanescoyetu

www.twitter.com/tanescoyetu

Jamii forum hapa unapochat nasisi

www.tanesco.co.tz

Telegram

Na TANESCO App comming soon


UONGOZI UMEPOKEA PONGEZI ZAKO ZA DHATI.SHUKRANI SANA
 
Tanesco naomba mniunge whatsap group wilaya ya ukonga, 0714495367
 
Mimi matumizi ni chini ya units 20 kila wakati mnasema niweke no ya mitter hapa lakini hamfatilii tokea mwezi wa nane mlinibadilisha tarif mkasema kuna ukaguzi still hamjabadili ,mitter no ni 24210087060 moshi
 
Yanini kusemasema.. Yaani dada yupo kazini tuboreshewe umeme wewe unaleta ukuda.. Ngoja wakunyooshe.. Wakushikishe adabu
 
Mimi nauliza VP mpango wa umeme huku zuzu Dodoma maana no muda mrefu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…