*TAARIFA KWA WATEJA WA WILAYA ZA KITANESCO KIBAMBA NA KIMARA*
TANESCO Mkoa wa Kinondoni Kusini umeendelea kuboresha utoaji wa huduma kwa kufungua ofisi mpya ya *WILAYA YA KIBAMBA* eneo la Kibamba kituo cha *KIBAMBA SHULE* kufuatia hilo baadhi ya wateja waliokuwa wanahudumiwa na Wilaya ya Kimara sasa watahudumia na wilaya hiyo mpya kama ifuatavyo:
*ENEO LA WILAYA YA KIBAMBA*
[emoji841] HONDOGO, KIBAMBA, KIBWEREGE, KING'AZI, KWEMBE, NJIA YA KWENDA MAKABE UPANDE WA KUSHOTO ,NJIA YA KWENDA MARAMBA MAWILI UPANDE WA KUSHOTO , MBEZI KAMA UNAENDA GOBA UPANDE WA KUSHOTO NA MSIGANI MPAKA MSUMI
*ENEO LA WILAYA YA KIMARA*
[emoji841] UBUNGO MSEWE, KIBO KWA GWAJIMA, KIMARA YOTE, BARABARA YA MALAMBA UKITOKEA MBEZI STAND KAMA UNAENDA KIFURU UPANDE WA KUSHOTO KIMARA NA KUTOKA MBEZI STAND KWENDA MSUMI KWA DALADALA UPANDE WA KULIA KIMARA
Hivyo basi hata kwenye group letu la WhatsApp tutagawanyika ambapo wateja wanahudumiwa na wilaya ya Kimara watabaki kwenye group hili la siku zote na wateja
wanaohudumiwa na wilaya ya Kibamba watafata link ifuatayo kujiunga WhatsApp group ya eneo la Kibamba kisha wajitoe kwenye group la Kimara ili kuwapa nafasi wateja wengine
*Gonga hapo kwenye link kujiunga*
TANESCO HUDUMA KIBAMBA
Kwa mawasiliano:
*Wilaya ya Kimara*:0717379696/0788379696
*Wilaya ya Kibamba*
0677111102/0699111103
*Magomeni/Mkoani*
0784271461/0222171759
*Endelea kufurahia huduma zetu*
Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano na huduma kwa wateja
TANESCO Kinondoni Kusini
10/11/2018