kofia ya plastiki
JF-Expert Member
- Jun 9, 2019
- 416
- 405
Nashukuru sana mkuu ubarikiwe na kutumiaSubiri tarehe 27 uende ofisini tanesco ujieleze watakusaidia maana hizi namba ni token wala siyo halisi kama haijaingizwa kwenye luku. Labda mkuu kama hutajali tukupige tafu tu usilale gizani! Nitumie pm namba zako za luku nikushike mkono!
Uwe mwangalifu sasa mkuu usijetuma hizo hizo ulizokosea tutalizwa wrote!
Hapana bossUwe mwangalifu sasa mkuu usijetuma hizo hizo ulizokosea tutalizwa wrote!
Nimekutumia mkuu namba za mitaUwe mwangalifu sasa mkuu usijetuma hizo hizo ulizokosea tutalizwa wrote!
Tayari mkuu iko kwenye PM! Pole sana mkuu, mkesha mwema wa Christmas!
Nimeona mkuu ubarikiwe mara Mia zaidi asante sanaTayari mkuu iko kwenye PM! Pole sana mkuu, mkesha mwema wa Christmas!
Asante mkuu mwenzangu, uwe na mkesha mwema wa Christmas!
Ubarikiwe sana una moyo mzuri sana mkuuAsante mkuu mwenzangu, uwe na mkesha mwema wa Christmas!
Asante mkuu,, ndugu yangu alinigusa sana alivoeleza kwa masikitiko na sijui alikuwa amenunua wa bei gani? Yalishawahi kunitokea nikatuma laki kwa mtu baki, kukimbilia voda wakanipa jibu la kukatisha tamaa, niliugua!Ubarikiwe sana una moyo mzuri sana mkuu
uwe na krisimasi njema
Situation kama hizi watu wasikie tu ila usiombe yakukute mkuu yaan unaona bora ungebet tu au kutoa sadaka kuliko hela kupotea hivyoAsante mkuu,, ndugu yangu alinigusa sana alivoeleza kwa masikitiko na sijui alikuwa amenunua wa bei gani? Yalishawahi kunitokea nikatuma laki kwa mtu baki, kukimbilia voda wakanipa jibu la kukatisha tamaa, niliugua!
Unafungua vipi natumia cm halafu nitarekebisha kesho asubui ila nielekeze hii habari ya kufungua/kufunga pm sijachezea huko
Fanya kama unataka kunitumia sms pmUnafungua vipi natumia cm halafu nitarekebisha kesho asubui ila nielekeze hii habari ya kufungua/kufunga pm sijachezea huko
Sent using Jamii Forums mobile app