Nawapongeza sana TANESCO naomba kujuzwa,hivi ukisha maliza taratibu zote mpaka malipo ya kuonganishiwa umeme,mtu anakaa kwa muda gani ili aunganishiwe umeme?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana mambo ya kizamani.. hawa ndio wanamfelisha mzee baba
 
Kama upo ndani ya mita mita 30 utajengewa ndani ya siku 30 za kazi ukitoa sikukuu na wikiendi na kama ni ndani ya mita 30 hadi 70 utajengewa ndani ya siku 60 za kazi ukitoa sikukuu na wikiendi
Nawapongeza sana TANESCO naomba kujuzwa,hivi ukisha maliza taratibu zote mpaka malipo ya kuonganishiwa umeme,mtu anakaa kwa muda gani ili aunganishiwe umeme?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmekua na tabia ya kukata kata umeme bila utaratibu, leo tu mmeshakata umeme zaidi ya mara tano, mbaya zaidi hamtoi taarifa kwa wateja wenu.

Mmekuwa mkituunguzia baadhi ya vifaa vinavyotumia umeme, hatuna fedha za kununualia vifaa hivyo, kila siku mnatia watu hasara.

Mh Kalemani Waziri mwenye dhamana tunakuomba ufanye ziara ya kushtukiza hapa Pwani ili kuona uwajibikaji wa watendaji wa TANESCO.

Kila siku umeme lazima ukatike hatujui shida ni nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kuwa sasa hamuuzi nguzo ni vema mkaweka gharama za kuunganishiwa umeme kwa municipal, City, wilaya na kwenye miradi ya REA n.k.
 
Bora wewe una umeme unaokatika. Wengine hata kuunganishiwa ni shida hata baada ya kulipa utaambiwa subiri miezi 3 hadi mwaka hawaji. Umeme wa Rea ndo hadithi za alinacha wanapiga sound miaka nenda miaka rudi. Huu mkoa una laana unahitaji maombezi kwa kweli! TANESCO pelekeni umeme wa REA katika kitongoji/kijiji/mtaa wa Makurunge kata ya kiluvya wilaya ya kisarawe! Mbona mnatesa wananchi wakati waziri anasema vijiji vyote vimepelekewa umeme wa Rea?
 
Kwa kweli ni shida, na kurudi kama indicator ya bodaboda jinsi unavyowaka. Ukirudi utanzani nyumba inakata kona, uwake mara uzime
 
Kama upo ndani ya mita mita 30 utajengewa ndani ya siku 30 za kazi ukitoa sikukuu na wikiendi na kama ni ndani ya mita 30 hadi 70 utajengewa ndani ya siku 60 za kazi ukitoa sikukuu na wikiendi

Sent using Jamii Forums mobile app
haya maneno huwa mnayaongea tu kwenye mitandao na utaratibu upo hvyo kihalali..lakini tukija kwenye hali halisi,hakuna hiyo kitu..mm nimeomba kufungiwa umeme kwangu mwezi uliopita tu hapo

1. Nguzo mnasema ni bure(hazilipiwi) lakini mimi inabidi nilipie

2. Hizo siku 60 za kazi sijui 30 zipo kiutaratibu tu...na mtu akitaka kuufata huo utaratibu lazma asubiri sana..zitafika hzo siku 30/60 na asione chochote kile...mm imebd nijiongeze tu baada ya mtu wa TANESCO mwenyewe kunambia THE REAL SITUATION!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu kama hicho ndugu mteja. Je unaweza kutuambia survey yupi amehusika kwa hatua za haraka

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ni kuwa wewe badala ya kuchukua maelezo ya watu juu ya walichokutana nacho, UNARUMBANA NAO..!!! Mayoyasema huko maofisi kwenu si ugalisia wa field.... CHUKUA MAONI UKAYAFANYIE KAZI

BY THE WAY..
1. Huwa mnamonita transformer loading..? Maana under voltage ni issue sana maeneo mengi
2. Huwa mnafanya PREVENTIVE MSINTENANCE YA Transformers, nguzo zenu mitaani?? Maana kuna nyingine huwa mpaka vumbi linanasa kwenye transformer kwa oil leakage.... FUSE SASA... MNAWEKA WAYA KABISA AU LINK KWENYE FUSE CARRIER ZENU...

Kifupi, kama kungekuwa na option kama ilivyo kwenye simu za mkononi, yaani mtu mmoja anakuwa na laini zaidi ya moja, au kwenye umeme, nyumbani una MATANESKO MATATU, wallah mngekuwa kama TTCL yenye 1% Market share...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…