Tafadhali tusaidie namba yako ya simu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiwa na viambatanisho vyako vyote andika barua ya cover letter kwa ajili ya kuomba mkoa huska kupata ridhaa ya kufanya ukandarasi kwa wateja wapya wa TANESCO na utajibiwa
naomba kujua ni jinsi gani naweza kufanya ili kampuni yangu iingizwe kwenye list ya contractors wanaotambuliwa na Tanesco wa kutandaza nyaya kwenye majengo na kuchora ramani ,ili niweze kuhudumia wananchi,
natanguliza shukrani zangu




TANESCO Makao Makuu| 0768985100|customer.service@tanesco.co.tz
 
Pole sana ndugu mteja, tunaomba kujua ni sehemu gani hapo. Mteja wetu anatakiwa kupata umeme wenye ubora na uwakika



TANESCO Makao Makuu| 0768985100|customer.service@tanesco.co.tz
 
Kwema humu ndani?

Nawaza kwa hili joto la sasa wakikata umeme itakuaje

Tanesco tafadhalini msifikirie kukata please tutakwisha haki vile

Kuna siku umeme ulikatika mchana na siku hiyo nilikua zangu getto kwangu ilibidi nikatembee tu maana joto la humo ndani ilikua ni balaa asikwambie mtu

Sahiz hadi feni zimegoma zinapuliza moto tu sahz

Unapambana vipi na joto kwako?Tanesco wasikate maana tutakwisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…