TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,600
- 2,134
- Thread starter
-
- #7,361
Tafadhali tusaidie namba yako ya simuNina mambo mawili
1. Kimara mwisho njia hii ya kwenda bonyokwa kila siku umeme unakatika na sio unakatika kwa muda mfupi no. Unakatika muda mrefu bila matangazo bila samahani bila chochote tunaomba kujua hili tatizo litakwisha linii????Maana imekuwa ni kawaida sio siku moja mbili wala tatu ni almost kila siku umeme lazima ukatike hapa muda huu saa moja na robo usiku umeme umekatika kwa mara ya tatu rupo gizani naomba kujua tatizo hapa ni nini na kama linajulikana nini kinashindikana kulitatua mara moja lisijirudie?nina mashaka sana kama mna wataalamu wanaojua kazi yao maana kama wapo basi ingekuwa tatizo likitatuliwa halijirudii.tuliaminishwa bomba la gesi likikamilika hakuna kukatika kwa umeme sasa nimejiridhisha issue sio umeme kidogo issue ni wataalamu wetu kutatua matatizo yaliyopo
2.naomba kujulishwa uhusiano wa mvua kunyesha na umeme kukatika hapa kimara hakuna siku ya mvua umeme lazima ukatike embu tanesco tuambieni kitaalamu uhusiano uliopo wa mvua na kukatika kwa umeme maana ni aibu kwa nchi hii ya viwanda na janga la umeme,shame on you
Sent using Jamii Forums mobile app