Ok. Asante kwa taarifa. Nitatoa feedbackFika ofisi ya eneo lako kwa kuwa gharama haitegemei nguzo tu
Tunashukuru kwa taarifa mpendwa mteja wetu tunaifanyia kazi
Tafadhali onyeshaTatizo jingine ni urasimu wa huduma zenu, mfano hii meter mlipendekeza ibadilishwe lakini danadana ni nyingi sana, au labda ndo bila kunyoosha mkono hupati huduma? Kingine ni gharama ya marekebisho, majuzi alikuja fundi kuirekebisha ila akasema gharama zake ni shilingi elfu 30 lakini hata wiki haijakaa tatizo limejirudia lilelile, je akija tena kuirekebisha tutoe kiasi hicho tena? Na akirekebisha itakaa muda gani! Mtatufirisi jamani. Tusaidieni
Sent from my Nokia 2.2 using JamiiForums mobile app
Tafadhali onyesha namba ya mita eneo wilaya simuUtaratibu wa mteja mwenye matumizi madogo kumpeleka kwenye tariff zero upoje? Maana tunaambia mpaka fundi apite kila nyumba akague ndiyo upelekwe. Naomba ufafanuzi. Maana kama kuunganishwa nilishaunganishwa toka mwaka 2019 Novemba. Na fomu ya kuomba imejazwa toka mwezi wa nne 2020 lakini bado kimyaaaaaaa kabisa hakuna mrejesho wowote. Ukiuliza hakuna majibu yanayoeleweka.
Namba ya mita 43015518863, eneo Masasi simu 0786832061.Tafadhali onyesha namba ya mita eneo wilaya simu
Namba ya mita: 43001258326Tafadhali onyesha
Eneo
Wilaya
Simu
Tatizo
Namba ya taarifa
Je umelipa kwa jina ganiNarudi tena na nasisitiza; mm ni mtumishi wa umma.
Nimekopa kwenye banks nimejenga nyumba 2 ndogo kwa ajili ya upangaji ili nikidhi kidogo mahitaji yangu.
Tanesco kwangu nawaona mna roho mbaya.
Nimeleta malalamiko hapa , lkn jibu lenu halina matumaini ya kweli .
Nimepiga simu Tanesco Mkuranga jibu ni lenye kuleta matumaini yasiyo ya kweli.
Kwa kumbukumbu zenu;
Nimelipa umeme tarehe 27/3/2020
Mmeleta nguzo kwangu tarehe 09/7/2020 kisha kunipigia simu na kunieleza eti hamtachukua siku nyingi kuniunganishia umeme.
Nijulisheni inachikua muda gani kuweka nguzo na kuunganisha umeme?
Kuna zile submiter ambazo kila mpangaji anafungiwa umeme wake ukiisha inakata bado vipoMita ikishafungwa eneo moja haihamishiki na kuhamisha ni kosa kisheria labda kwa sababu ambazo zipo ndani ya maamuzi ya TANESCO
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawaomba sana sana , kuweni serious kwa kweli, nimeandika humu, mmeniomba hayo mnayoomba mara 2 nimewapa na hii sasa ni mara 3 .Je umelipa kwa jina gani
Namba ya simu tafadhali