Naomba kuuliza:Tafadhali fika ofisi ya eneo lako
Je wewe ulichukua form kwa jina ganiNaomba kuuliza:
Kuna wateja tuliomba kuunganishiwa umeme tukaambiwa nguzo zimeisha tusubiri mwaka mwingine wa fedha ambao tumeisha uanza 2020/2021. Je bajeti hiyo imeisha anza kufanya kazi tuende tena Tanesco kufuatilia ili tuwekewe umeme ama bado?
Natokea wilaya ya chemba mkoa wa Dodoma.
Jina Alphonce Clement Chilimo.Je wewe ulichukua form kwa jina gani
Wilaya gani
Namba ya simu tafadhali
Tupo wateja wawili na tunahitaji nguzo mbili. Mwenzangu akiwekewa nguzo moja nami inahitajika nguzo moja kupatiwa umeme.Je wewe ulichukua form kwa jina gani
Wilaya gani
Namba ya simu tafadhali
TANESCO mita yangu inanyeshewa na mvua sehemu mliyoweka. Je naweza kuhamisha bila kufika ofisini? Inaniletea shoti isije ikaniletea maafa.Je wewe ulichukua form kwa jina gani
Wilaya gani
Namba ya simu tafadhali
Hamjanijibu wakuu au bado mnafatilia???Jina Alphonce Clement Chilimo.
Wilaya ya Chemba (Dodoma)
Simu yangu 0620 639923 / 0683 537644 .
Fomu nilijaza tangu mwezi wa nane 2019.
*SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANZANIA)*TANESCO mbona mmekata umeme Bunju kuna tatizo gani? Mnafanya viwanda vyetu visifanye kazi mnahujumu juhudi za raisi za kumaintain uchumi wa kati.
Tunasikitika kukujulisha kuwa malipo yote ya TANESCO yanalipwa kupitia bank na mteja anapatiwa control number. Kwa malipo yeyote uliyofanya kwa mtu au mtumishi ni kinyume na taratibu zetu.Naomba msaada enyi TANESCO tafadhali.Mimi ni mkazi nipo mkoa wa songwe.IPO hivi mwezi wa july mwaka huu tulijichangachanga fedha ili tupate huduma ya umeme kwani bado kama nguzo mbili kutufikia.tukachanga zikafika lakinne,.miongoni mwetu tukampa ili azilipe.kabla ya kulipa miongoni mwetu akasema ana namba ya ofisa wa tanesco hivyo ni vema wawasiliane ili atueleze utaratibu wa kulipa.walipowasiliana na yule ofisa yule ofisa akasema,kunanguzo zipo za ziada naweza kuwaletea leteni hizo fedha .ni kweli afisa yule akapewa fedha.
Baada ya wiki moja alileta waya pamoja na nguzo.
KIMBEMBE KILIPOANZIA.
Yule afisa akaleta vibarua wakachimba mashimo nakusimika nguzo na kufunga waya.tulimwita mtumishi mmoja anayehusika kupima aligoma kupima,akadai hizo nguzo hazikuja kihalali mazingira hayo,hivyo ili atupimie ni shart tulipie upya hizo nguzo.
Ilitushtua sana habari hiyo kwani hatukutegemea habari kama hizo.tukajua labda anamambo yake.tukampigia mpimaji mwingine naye kaongea vivyohivyo.
Tukaenda kwa ofisa mmoja pale wilayani tukamwelekeza habari yote akatutishia kutwitia security na takukuru.tumejaribu mala kadhaa kumpigia afisa aliyetuletea hizo mwanzoni alionesha kuwajia juu his wapimaji,lkn alipoona wamemkazia naye kaingia mitini na hapokei simu yetu hasa akigundua ni sisi tunampigia
TUNATAKA MSAADA GANI?
Msaada tunaotaka je huyu ofisa tumfanye nini?
Je hili swala ni rushwa?
Je hili swala mwishowe uwe nn?
Tunajiuliza Je tukienda kwa meneja hatatuitiwa security na takukuru?
Kunawakati nilisikia waziri anasema nguzo ni bure mbona wanasema tulipe?
Kama ni bure kwa nn wasitupatie mita ?.tunaomba msaada please