TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Tanesco wilaya ya Kigamboni ni bora mkatoa ratiba ila tujue ni lini tuna umeme na lini hakuna umeme.

Haiwezekani kila siku asubuh umeme unazimika unarudi jioni Sasa kama Kuna mgao ni bora mkasema na mkatupa ratiba ili tujue kabisa.
 
Tanesco wilaya ya Kigamboni ni bora mkatoa ratiba ila tujue ni lini tuna umeme na lini hakuna umeme.

Haiwezekani kila siku asubuh umeme unazimika unarudi jioni Sasa kama Kuna mgao ni bora mkasema na mkatupa ratiba ili tujue kabisa.
Ahsante kwa taarifa tunaifanyia kazi
 
Mpaka sasa sijaona hatua mlizosema mtazichukua ktk kunihumia ili niweze kupata miundo mbinu ya umeme, kwa majina yangu ni OSCAR MKANDYA JOHN, Makazi ni BUCHOSA-SENGEREMA Mawasiliano ni 0768145634 ,Fikeni mahali mtende haki sawa kwa wananchi , nimeomba kupatiwa umeme toka april mwaka huu lakini mambo yapo kienyeji sana nashindwa kuelewa ni wapi naweza kuwasilisha maoni na kero zangu nikapata msaada.
 
Hetu tujulishe kwa kawaida ukishalipia kuunganishiwa umeme inachukia muda gani kupatiwa huduma hiyo?na kama umesubiri muda mrefu ufuate utaratibu gani,yaani wapi tunapeleka malalamiko hasa sisi wateja wa Tanesco ya Tabata Dsm.maana kwa kweli haturidhishi kabisa na ucheleweshwaji wa kuunganishiwa umeme

Kitu cha pili ningeshauri kitengo chenu cha Internal Audit,wangekuwa wanaangalia/wanakagua hili eneo maana ndiyo eneo dhaifu kuliko kawaida na mapato mengi yanachelewa kuingia serikalini sababu wateja hawaunganishiwi umeme kwa wakati
 
Hetu tujulishe kwa kawaida ukishalipia kuunganishiwa umeme inachukia muda gani kupatiwa huduma hiyo?na kama umesubiri muda mrefu ufuate utaratibu gani,yaani wapi tunapeleka malalamiko hasa sisi wateja wa Tanesco ya Tabata Dsm.maana kwa kweli haturidhishi kabisa na ucheleweshwaji wa kuunganishiwa umeme

Kitu cha pili ningeshauri kitengo chenu cha Internal Audit,wangekuwa wanaangalia/wanakagua hili eneo maana ndiyo eneo dhaifu kuliko kawaida na mapato mengi yanachelewa kuingia serikalini sababu wateja hawaunganishiwi umeme kwa wakati
Tafadhali onyesha

Jina

Eneo

Wilaya

Simu

Tatizo

Toka lini

Kwa hatua zaidi
 
Tafadhali onyesha

Jina

Eneo

Wilaya

Simu

Tatizo

Toka lini

Kwa hatua zaidi
Haya natumaini ni majibu yanayotolewa na ROBOTI siyo mtu.

Kwa sababu hatuwezi onyesha majina yetu humu wakati tunatumia ID fake.
hapo ndipo mnapofeli Tanesco.Hii inadhihirisha hamko creative.mimi nilikuwa nataka majibu general.Ambayo yatakuwa msaada kwa wote.
 
Haya natumaini ni majibu yanayotolewa na ROBOTI siyo mtu.

Kwa sababu hatuwezi onyesha majina yetu humu wakati tunatumia ID fake.
hapo ndipo mnapofeli Tanesco.Hii inadhihirisha hamko creative.mimi nilikuwa nataka majibu general.Ambayo yatakuwa msaada kwa wote.
Naungana nawe...kwa swali ulilouliza hakutakiwa kujibu hivyo
 
Haya natumaini ni majibu yanayotolewa na ROBOTI siyo mtu.

Kwa sababu hatuwezi onyesha majina yetu humu wakati tunatumia ID fake.
hapo ndipo mnapofeli Tanesco.Hii inadhihirisha hamko creative.mimi nilikuwa nataka majibu general.Ambayo yatakuwa msaada kwa wote.
Tuma hata inbox kwa kuwa bila taarifa kamili tutuhudumiaje?je unaweza kwenda bank kulalamikia account yako bila kutoa taarifa waliyotaka?Tusaidie kutupatia taarifa kamili kwa huduma bora
 
Huku Kishiri B ni lini mnatufungia umeme.
Waya na nguzo mmeweka wale ambao wako tayari wanasubiria mlete ile nyaya inayopeleka kwenye nyumba na mita ni link iyo kitu mtaileta.
Mana Kishiri Iko Mza mjini ila haina hata umeme jamani ni baadhi tu ya sehemu
 
Back
Top Bottom