NYANYADO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 3,804
- 2,482
Hauwezi kupewa control number mpaka miundombinu ifike eneo lako
Kila kitu kipo, rudi PM uangalie.
Majirani zangu wana umeme
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hauwezi kupewa control number mpaka miundombinu ifike eneo lako
Lengo la kulalamika ni kuhudumiwa na ili uhudumowe tunaomba ushirikiano wako haswa kwa taarifa kamili za wilaya gani,simu na umelipia liniUtakesha mkuu mimi mpaka lei jumapili watu wamefungiwa ila napitwa kisa tu sijtoa rushwa eti ya kumpa fundi apande .. ukileta suala lako hapa badala ya wao wafuatilie wanakuambia uwape namba. Sasa uwape namba kwani hawajui fundi yupi kapangiwa kufunga umeme huku. Wakamuuliza kwann umeme wanafunga kimafungufungu. Mimi namba sitoi wallah na wasifunge ila siku atapita tu waziri kuja kuangalia sijui kuwasha ndipo hapo kero itakapoonesha na sitanyamaza aisee nitaeleza pesa zote tulizotozwa kinyume na 27000/= . Kwanza waziri alikuja akagom kuwasha akasena bado mbona hata kwengine nyaya bado. Tanesco rushwa inatembea aissee. Tena wanaiomba kwa mgongo wa wajumbe. Hiyo control namba bila rushwa ama kiwasumbua sana hutaipata nakuambia
Tumepokea taarifa tayari tunaomba tuzifanyie kazi
Tunashukuru sanaLeo nimepigiwa simu na mdada mmoja Geita.
Na ninashukiru kwa uelewa wake. Kiujumla kanihudumoa vizuri.
Sasa Nasubiria control Nimber.
Asanteni kwa jinsi mlivolipokea suala langu.
Ni wakati sasa Tushirikiane sote kwa pamoja ili tusonge mbele .
Mtoa taarifa asionwe kuwa ni adui
Wakazi wa Tegeta na Bunju tumechoshwa na suala la kukatiwa umeme mara kwa mara, adha ambayo wakazi wa maeneo mengine ya jiji la Dar hawakutani nayo. Mpaka tunajiuliza tumelikosea nini hili shirika lenye dhamana ya kutoa huduma ya nishati ya umeme kwa wananchi!
Wewe ni mwanaCCM ficha ujinga wenu hapa nadhani ofisi za CCM zipo hapo Tegeta nenda kaseme kimaWakazi wa Tegeta na Bunju tumechoshwa na suala la kukatiwa umeme mara kwa mara, adha ambayo wakazi wa maeneo mengine ya jiji la Dar hawakutani nayo...