Pugu eneo gani haswa na namba yako ya simu tafadhaliTANESCO kuna shida gani Pugu? Hii ni wiki ya pili sasa kila siku umeme unakatika bila kutupa taarifa ya kina. Mpaka leo sikukuu muhimu sana Kitaifa na kimataifa mmekata umeme. Mnataka tunywe vinywaji vya moto? Huku joto ndani kukiwa hakukaliki. Kama kuna mgao semeni tujue ili tujioange kwa hili. Psychologically this is a big torture
Kigogo Fresh hapaPugu eneo gani haswa na namba yako ya simu tafadhali
Tanesco wilaya ya Hai mna tatizo gani? Pamoja na agizo la waziri bado mmekata umeme leo. Hadi muda huu hamjaurudishaTumepokea taarifa kwa hatua zaidi
Asante kwa rapid response hiyoTumepokea taarifa kwa hatua zaidi
Upo umbali kitaalamu unapaswa kuachwa kutoka kwenye miundombinu ya umeme
Mabadiliko ni gharama na muda hivyo tunaomba utuelewe kwa sasa ili kupunguza makatizo ya umeme lazima kuprun miti iliyokaribu na miundombinuNahisi wewe ndio mpungufu wa ubunifu, unatafuta njia fupi ya kutatua tatizo badala yakufikiria mbinu mbadala ya kutandaza nyaya za umeme, huko ndio kunakoitwa akili mgando, dunia inakabiliwa na tatizo la mabadiliko ya tabia nchi yanayotokana na vitendo vya watu kama nyie halafu unaleta majibu mgando!!
Mabadiliko ni gharama na muda hivyo tunaomba utuelewe kwa sasa ili kupunguza makatizo ya umeme lazima kuprun miti iliyokaribu na miundombinu
Huku pengine mbona hatuupati...!?Karibu sana
Eneo gani nduguTanesco kwani siku hizi Kuna mgawo wa umeme?
Tanesco makao makuu imulikeni Tanesco Kibaha ( Mkoa wa Pwani) kumejaa rushwa ambayo inaikosesha serikali mapato kwa kuchelewesha kwa makusdi kuwafanyia wateja survey. Muulizeni meneja ni wateja wa ngapi wameunganishiwa umeme kwenye mradi uliokamilika wa nguzo za zege? Na ni kwa nini wateja wengi waliomba kuunganishiwa umeme hawajapatiwa huduma hiyo, isipokuwa wale wachache waliokubali kutoa rushwa ya shilingi laki moja mpaka laki mbili na nusu.TAARIFA YA KUOMBA RADHI KATIZO LA UMEME .
Shirika la umeme TANESCO Mkoa wa Morogoro linaomba radhi kwa katizo lililojitokeza Asubuhi ya leo kama ifuatvyo:
MUDA :11:35 Alfajiri.
Siku :Jumamosi
Tarehe :26/07/2020.
Sababu: ni hitilafu iliyojitokeza katika transfoma kubwa ya T4 katika kituo cha kupokea na kupooza umeme Msamvu.
Maeneo yaliyoathirika ni :Maeneo yote ya Wilaya ya MOROGORO, Mikese, Mvuha, Kisaki, Wilaya yote ya Kilosa, pamaoja na baadhi ya maeneo yanayotumia laini hizo .
JUHUDI zilizofanyika ni pamoja na :team ipo site kuhakikisha huduma inarejea kwa uharaka zaidi.
Tunaomba radhi kwa usumbufu utakao kuwa umejitokeza.
Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO - MAKAO MAKUU
DODOMA
TANESCO Makao Makuu| 0768985100|customer.service@tanesco.co.tz
Asante kwa taarifa ndugu mteja, tutaomba namba yako ya mawasiliano kwa ajili ya ufuatiliaji wa karibuTanesco makao makuu imulikeni Tanesco Kibaha ( Mkoa wa Pwani) kumejaa rushwa ambayo inaikosesha serikali mapato kwa kuchelewesha kwa makusdi kuwafanyia wateja survey. Muulizeni meneja ni wateja wa ngapi wameunganishiwa umeme kwenye mradi uliokamilika wa nguzo za zege? Na ni kwa nini wateja wengi waliomba kuunganishiwa umeme hawajapatiwa huduma hiyo, isipokuwa wale wachache waliokubali kutoa rushwa ya shilingi laki moja mpaka laki mbili na nusu.
Mradi uko kata ya viziwa ziwa unaanzia palijengwa chuo cha Siasa kuelekea eneo linalojulikana kama Shana Town.