TAARIFA YA KUOMBA RADHI KATIZO LA UMEME .
Shirika la umeme TANESCO Mkoa wa Morogoro linaomba radhi kwa katizo lililojitokeza Asubuhi ya leo kama ifuatvyo:
MUDA :11:35 Alfajiri.
Siku :Jumamosi
Tarehe :26/07/2020.
Sababu: ni hitilafu iliyojitokeza katika transfoma kubwa ya T4 katika kituo cha kupokea na kupooza umeme Msamvu.
Maeneo yaliyoathirika ni :Maeneo yote ya Wilaya ya MOROGORO, Mikese, Mvuha, Kisaki, Wilaya yote ya Kilosa, pamaoja na baadhi ya maeneo yanayotumia laini hizo .
JUHUDI zilizofanyika ni pamoja na :team ipo site kuhakikisha huduma inarejea kwa uharaka zaidi.
Tunaomba radhi kwa usumbufu utakao kuwa umejitokeza.
Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO - MAKAO MAKUU
DODOMA
TANESCO Makao Makuu| 0768985100|
customer.service@tanesco.co.tz