Mvua kidogo tu mnapata kisingizio cha kukuta umeme au ndo kunguru wa usiku hao....yaani nyie jamaa nyie,kama mnasave gharama za uendeshaji kiaina si msema tu au mtoe tangazo la mgao wa umeme!?
Yaani na hii mvua ya leo toka jana usiku na nyie mkapata kigezo cha kukata umeme hapo hapo mpaka mida hii najua mtakua mmesave sana gharama huku mkitesa raia....acheni kufanya watanzania mamburula kwa kukatakata umeme kila mvua inaponyesha.
 
Yaani na hii mvua ya leo toka jana usiku na nyie mkapata kigezo cha kukata umeme hapo hapo mpaka mida hii najua mtakua mmesave sana gharama huku mkitesa raia....acheni kufanya watanzania mamburula kwa kukatakata umeme kila mvua inaponyesha.
Tafadhali onyesha

Jina

Eneo

Wilaya

Simu

Tatizo

Toka lini

Kwa hatua zaidi
 

Bila shaka unaishi kitonga mkuu?
 
Habari Tanesco

Mimi naitwa hamis kindamba ninaombi moja kubwa kwenu chondechonde ninaomba mita namba hii 43015453707 irejeshwe kwenye matumizi ya nyumbani means matumizi ya kawaida haiwezekani leo umeme wa shilingi elfu tisa napata unit 26 sijui 28 wakati friji siwashi ninatv [emoji342] pamoja na feni

JINA hamis kindamba

MAHALI DAR ES SALAAM
WILAYA TEMEKE
MBAGALA
CHAMANZI KWA MAPEMBA

METER NO.43015453707
SIMU NO 0783721337
 
Upo.kundi sahihi la matumizi ya nyumbani mwezi uliopita umetumia unit 92
 
Nawasilisha malalamiko nipo Geita,nimetoa taarifa zaidi ya wiki mbili sasa lakini kimya hadi leo,nimeenda ofsini kwao zaidi ya mara tatu,

Kuna mti wa mnazi ambao matawi yake yamedondokea juu ya nyaya za umeme mkubwa,haiwezi kupita siku bila moto mkubwa kuwaka kati ya nyaya na huo mti,na ni nje kidogo tu ya ofisi yao,Naomba msaada maana tatizo hilo sio dogo litakuja leta madhara makubwa kama mtalipuuzia.

Temporary Breakdown number 0026
0715 860702
 
Mbagala Mgeni Nani hakuna umeme toka mchana wa leo 10/01/021 mpaka muda huu kulikoni?
 
Mimi nawapongeza tu kwa kuja kutubadilishia mistimu huku mtaa wa bughudad ..Jana usiku wakati wa mvua ilianguka na usiku huo huo wakaja kuangalia na leo matengenezo yamefanyika na umeme umerudi.
 
Reactions: Lee
Tanesco hongereni kwa kupiga hatua kiutendaji.
Zamani mlikuwa Kama Mungu mtu, japo bado mnahitaji kubadilisha zaidi.
Kuna mtu anateseka na umeme wiki mbili sasa, amepiga simu hadi wamemchoka wakawa hawapokei tena.
Wamekuja mara mbili hapakuwa na mafanikio hadi leo, huyo mtu anafiga ng'ombe wa maziwa wanne, lita 30 kila siku, alikuwa anauza 2,000 yakibaki anatia kwenye friji, Sasa Hana friji anauza 1,000 ili yaishe, wateja wa oda had mchana au alasiri amepoteza.
Hakkna namuonea huruma.
Hata alipo fika ofisini majibu alopewa siyo SAWA YAKE.
Naomba kuiliza, ATOE NINI AU AFANYEJE AEPUKE HII HASARA?


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ahsante kwa taarifa tunaifanyia kazi
 
Tadhali tusaidie wilaya,simu yake kwa hatua zaidi
 
Habari za muda huu na hongereni kwa kazi nzuri, lakini mbona leo ni siku ya pili mfululizo umeme hakuna umeme kuanzia asubuhi had mchana ukiwashwa usiku tu , na wakati hyo mvua yenyewe hakuna, sasa huo uchumi tunaujenga na nini? , maana hata maji hakuna sababu ya umeme hakuna , temeke kwa aziz ali, mtoni, bustan na viunga vyake
 
Tafadhali onyesha

Jina

Eneo

Wilaya

Simu

Tatizo

Toka lini

Kwa hatua zaidi
 
Tafadhali onyesha

Jina

Eneo

Wilaya

Simu

Tatizo

Toka lini

Kwa hatua zaidi
Tatizo limeanza jana asubuhi 11/1/2021
Wilaya temeke
Eneo - mtoni kusini, kwa aziz ali , bustani na viunga vyake
Tatizo - kukatika kwa umeme mchana kutwa kuanzia jana 11/1/2021 ilihali hakuna mvua na ninavyo andika hapa naona jua
Simu 0692495749
Jina majid kipati
Ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…