Je unapiga simu namba ngapi? Tafadhali onyesha namba yako ya simu eneo tatizo kwa hatua zaidi hata inbox
Mkuu.
Napiga namba zilizooredheshwa kwenye ukurasa wenu.
Kama mmetoa wrong number Basi tufahamisheni.
 
Mkuu.
Napiga namba zilizooredheshwa kwenye ukurasa wenu.
Kama mmetoa wrong number Basi tufahamisheni.
Tafadhali jibu tulichoelekeza kwa huduma bora maana hata hapa ni ukurasa wetu tunaweza kukusikiliza na kukuhudumia
 
Mteja halipii nguzo bali alipia gharama halisi ya kuunganishiwa umeme na kama eneo lako linahitahi nguzo unapaswa kusubiri miundombinu ikufikie
Acheni uongo wewe jamaa, jana kabisa kaongea na meneja mkoa akamwambia bei ya nguzo ni laki nne na pesa flan karbia laki tano ambavyo ye amepiga hesab akakuta nguzotu mpaka umeme ufike nyumban inahitajika 4millions,,, hata masaa24 hayajafika ameambiwa! Je upi ukweli? Mbona mnapingana kwenye kampuni?? Au wahitaji tuscreen shoot mesej kama evidence ndo uelewe??
 
Tafadhali tambua nguzo haziuzwi na mteja halipii nguzo bali gharama halisi ya kufungiwa umeme.Kama upo mbali tunakusihi kusubiri
 
Tafadhali tambua nguzo haziuzwi na mteja halipii nguzo bali gharama halisi ya kufungiwa umeme.Kama upo mbali tunakusihi kusubiri
Sawa umeeleweka vema hivyo tutaupinga utapeli kwa nguvu.

Asante kwa maelezo yako.
 
Umeme hauingii kwenye Luku toka jana hapa Morogoro Kilakala bong'ola leo nawapigia Tanesco wananiambia mita hizo ni za kubadili mpk jumanne. Mtanisaidiaje. Nikiingiza token inasoma 9012 kwenye Luku.
 
Umeme hauingii kwenye Luku toka jana hapa Kilakala bong'ola leo nawapigia Tanesco wananiambia miye hizo ni za kubadili mpk jumanne. Mtanisaidiaje. Nikiingiza token inasoma 9012 kwenye Luku.
Je umepewa namba ya taarifa ngapi? Wilaya namba ya simu tafadhali
 
HIVI KILICHO WAFANYA MKATE UMEME LEO 4/04/2021 PASAKA HII NI NINI MBONA MNA MAMBO YA HOVYO HIVYO MNATAKA WOTE TUWE NA HUZUNI KILAZIMA

HII LAINI YA mongola dege /gongolamboto
 
HIVI KILICHO WAFANYA MKATE UMEME LEO 4/04/2021 PASAKA HII NI NINI MBONA MNA MAMBO YA HOVYO HIVYO MNATAKA WOTE TUWE NA HUZUNI KILAZIMA

HII LAINI YA mongola dege /gongolamboto
Huduma itarejea mapema wakandarasi wanaojenga reli walisababisha baada ya moundombinu kuathirika
 
Unge screen shoot hiyo meseji na namba yake ionekane ashuhhulikiwe kikamilifu
 
Tanesco mkoa wa kikanda temeke hizo nqmba za dharula mziondoe hazinq maana ya ttcl wanasema haipo , hizo nyingine hazipokelewi halafu mmetukatia umeme nq sikukuu yote
 
Tanesco mkoa wa kikanda temeke hizo nqmba za dharula mziondoe hazinq maana ya ttcl wanasema haipo , hizo nyingine hazipokelewi halafu mmetukatia umeme nq sikukuu yote
Temeke Emergency
Mobile 022 213 8352
Home 0758 880 155

Tafadhalo onyesha namba yako ya simu na tatizo kwa hatua zaidi
 
Temeke Emergency
Mobile 022 213 8352
Home 0758 880 155

Tafadhalo onyesha namba yako ya simu na tatizo kwa hatua zaidi
Hivi kwa nini mmekata umeme siku ya leo kuanzia asubuhi hususan chang'ombe temeke ?
 
Huduma itarejea mapema wakandarasi wanaojenga reli walisababisha baada ya moundombinu kuathirika
Wilaya ya Mkuranga inabidi Maneja wa Tanesco awe miongoni mwa watakaofurushwa na Waziri mwezi huu. Kila baada dakika 20 umeme unakatika. Ni kitambo sana. Tatizo ni nini?
 
Hilo namba 4 ndio linanikuta kila siku. Wazee wako kijijini na hawawezi kuona hayo matarakimu mengi. Mtihani kweli
 
Reactions: Lee
Temeke Emergency
Mobile 022 213 8352
Home 0758 880 155

Tafadhalo onyesha namba yako ya simu na tatizo kwa hatua zaidi
Kuna namba mmeweka ya ttcl 0737997361 ukipiga haipo, kuna no nyingine 0712052720 pamoja na hiyo ya voda mliyotaja ukipiga simu hazipokelewi umeme wameturudishia saa sita usiku sababu ya kukatiwa haieleweki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…