Kuna likishoka la tanesco limenitapeli sina hamu.Yaani mtu uko kwenye shughuli zako unashangaa unapigiwa simu kwamba uko wapi tumekuja kufunga umeme au kuweka nguzo.
Ni jambo jema mteja kupigiwa simu ili kuelezwa mpango wa kuja.
Tutamkumbuka JPM [emoji24][emoji24][emoji24]Ni takriban siku ya tatu sasa mkoa wa morogoro tupo gizani mara baada ya kituo cha kusambaza umeme kuwaka moto,sijaona tanesco wakija na mbadala wa kuhakikisha tunapata umeme au kutueleza kuwa tutakaa gizan kwa muda gan,mwenye taarfa tafadhal tujuze
Mbona walisema 24hrs utakuwa umerudiNi takriban siku ya tatu sasa mkoa wa morogoro tupo gizani mara baada ya kituo cha kusambaza umeme kuwaka moto,sijaona tanesco wakija na mbadala wa kuhakikisha tunapata umeme au kutueleza kuwa tutakaa gizan kwa muda gan,mwenye taarfa tafadhal tujuze
Tutamkumbuka JPM [emoji24][emoji24][emoji24]
HujaelewekaNduot, kwa lile kundi lake la watu wasiojulikana.
@TANESCO helo tanesco ,nipo nahangaika hapa umeme kwangu umeisha kabisa kuna namba nilipewa ofisin ziko makundi mawili niziweke ili baadae niweke umeme ila cha ajabu namba zote zinaandika no no no tuRejea kichwa habari hapo , Leo ni siku ya nne huku Dakawa , Dumila , Na Maeneo mengi ya wilaya ya mvomero ..., Napenda kuhuliza tatizo ni nini maana umeme ndo maendeleo yetu TANESCO
Inaonekana wapi likizo hata hawajibu