Mamtolo
Senior Member
- Feb 27, 2018
- 186
- 208
Tanesco,
Huku Uyui, Tabora ...Kata ya Goweko na Nsololo umeme umekatika toka juzi 18 saa tatu usiku hadi leo hakuna umeme. Umerudishwa masaa kama matano tu usiku wa kuamkia leo na sasa umekatwa tena.
Mbaya zaidi hakuna taarifa yoyote iliyotolewa kwa wananchi.
Tunaomba msaada
Huku Uyui, Tabora ...Kata ya Goweko na Nsololo umeme umekatika toka juzi 18 saa tatu usiku hadi leo hakuna umeme. Umerudishwa masaa kama matano tu usiku wa kuamkia leo na sasa umekatwa tena.
Mbaya zaidi hakuna taarifa yoyote iliyotolewa kwa wananchi.
Tunaomba msaada