TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Tunapata shida ya kulipia umeme mita mpya ila kuunganisha imekua NI shida sana zaidi ya wiki 3
 
Tunapata shida ya kulipia umeme mita mpya ila kuunganisha imekua NI shida sana zaidi ya wiki 3
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
 
Jacklin Nyigu eneo NI mita za shule ya MSINGI LYAMKO Wilaya NI kilolo . Tatizo NI kutosajiriwa kwa mita mpya kwa muda wa wiki 3 baada ya kuweka sealed hivyo kushindwa kununua umeme toka lini 10/6/2021
 
Jacklin Nyigu eneo NI mita za shule ya MSINGI LYAMKO Wilaya NI kilolo . Tatizo NI kutosajiriwa kwa mita mpya kwa muda wa wiki 3 baada ya kuweka sealed hivyo kushindwa kununua umeme toka lini 10/6/2021
Tafadhali onyesha namba ya mita na namba ya simu kwa hatua zaidi
 
Dotto Abdallah mayaya
Nipo kigogo mkwajuni
Nimetoa Los report Tanesco Emergency
TB No , KST 072021 TB 0893
Dept; EMERGENCY
DATE 8 /7/ 2021
tatizo la metter imexpire tokea tarehe 7/7/2021
Nimepiga sim Tanesco awakuja
Nimeenda ofisi Magomeni zaid ya mara tatu.

Napewa story tu mafundi wanakuja mafundi wanakuja lakini wapi awatokei
Nimeacha kazi zangu zote kila siku Tanesco wakitoa ahadi wanakuja narudi nyumbani kuwasubiri mbaka kiza kinaingia hakuna kitu
Naomba Tanesco makao makuu mnipe ahadi ya kweli ni lini mtakuja kunibadilishia hii meter kwa maana mnanipa usumbufu mkubwa mno wa kulala giza na wa kuja kila leo Tanesco kufatilia huduma.

Tafadharini sana Tanesco makao makuu najua uadilifu wenu na utendaji wenu wa papo kwa papo… aksanteni.
 
Dotto Abdallah mayaya
Nipo kigogo mkwajuni
Nimetoa Los report Tanesco Emergency
TB No , KST 072021 TB 0893
Dept; EMERGENCY
DATE 8 /7/ 2021
tatizo la metter imexpire tokea tarehe 7/7/2021
Nimepiga sim Tanesco awakuja
Nimeenda ofisi Magomeni zaid ya mara tatu
Napewa story tu mafundi wanakuja mafundi wanakuja lakini wapi awatokei
Nimeacha kazi zangu zote kila siku Tanesco wakitoa ahadi wanakuja narudi nyumbani kuwasubiri mbaka kiza kinaingia hakuna kitu
Naomba Tanesco makao makuu mnipe ahadi ya kweli ni lini mtakuja kunibadilishia hii meter kwa maana mnanipa usumbufu mkubwa mno wa kulala giza na wa kuja kila leo Tanesco kufatilia huduma… tafadharini sana Tanesco makao makuu najua uadilifu wenu na utendaji wenu wa papo kwa papo… aksanteni.
Tunafanyia kazi tafadhali mpendwa mteja wetu
 
Dotto Abdallah mayaya
Nipo kigogo mkwajuni
Nimetoa Los report Tanesco Emergency
TB No , KST 072021 TB 0893
Dept; EMERGENCY
DATE 8 /7/ 2021
tatizo la metter imexpire tokea tarehe 7/7/2021
Nimepiga sim Tanesco awakuja
Nimeenda ofisi Magomeni zaid ya mara tatu
Napewa story tu mafundi wanakuja mafundi wanakuja lakini wapi awatokei
Nimeacha kazi zangu zote kila siku Tanesco wakitoa ahadi wanakuja narudi nyumbani kuwasubiri mbaka kiza kinaingia hakuna kitu
Naomba Tanesco makao makuu mnipe ahadi ya kweli ni lini mtakuja kunibadilishia hii meter kwa maana mnanipa usumbufu mkubwa mno wa kulala giza na wa kuja kila leo Tanesco kufatilia huduma… tafadharini sana Tanesco makao makuu najua uadilifu wenu na utendaji wenu wa papo kwa papo… aksanteni.
Dotto Abdallah mayaya
Namba zangu za sim ni 0784 200802
Kigogo Mkwajuni dar es salaam
Wilaya ya Kinondoni
Nyumba yangu ipo kigogo mkwajuni
Karibu na ccm mkwajuni ..
 
Habari za Tanesco.
Nina changamoto ya umeme mwezi wa pili huu naahidiwa kuja kutatuliwa tatizo langu lakini hakuna msaada ninao pata nilifika mpaka ofisini kwenu Mara mbili zote naambiwa mnakuja lakini kimya miezi miwili sasa watu wanalala gizani nasaidiwaje? huenda nikapata msaada hapa Mana ofisini naishia kupewa maneno tu
 
Habari za Tanesco.
Nina changamoto ya umeme mwezi wa pili huu naahidiwa kuja kutatuliwa tatizo langu lakini hakuna msaada ninao pata nilifika mpaka ofisini kwenu Mara mbili zote naambiwa mnakuja lakini kimya miezi miwili sasa watu wanalala gizani nasaidiwaje? huenda nikapata msaada hapa Mana ofisini naishia kupewa maneno tu
Tafadhali onesha ni eneo gani? wilaya gani namba ya simu, tatizo na namba ya taarifa kwa hatua zaidi
 
Tafadhali onesha ni eneo gani? wilaya gani namba ya simu, tatizo na namba ya taarifa kwa hatua zaidi
Mkoa wa dar es salaam, wilaya ya kinondoni eneo la mwenge mlalakua.
namba ya simu ni 0679 676651.
mita haiingizi umeme, namba ya taarifa ni 4087
 
Back
Top Bottom