TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Ahsante kwa taarifa tunaifanyia kazi
Sidhani kama site ya kutoa malalamiko inachagua jinsi ya kuripoti tatizo. Na hii kauli yenu ya tunatatua tatizo nadani ya saa 24 toka mteja katoa huduma ina tija!

Nimetoa taarifa na kupewa namba ya taarifa nimekuja kushangaa napigiwa simu na kutolewa kauli ya kushutumiwa juu ya taarifa niliyota hapa na kupigiwa cm ambayo mimi kama mteja wenu sikuona mantiki na pia ni simu ambayo haina staha kbs. Je huu ukurasa sio rasmi kwenu Tanesco?

Na je ni kosa kuleta malalamiko hapa. Najiandaa kulala giza tena na leo najua fika hamtokuja na sina nia tena ya kukumbushia hili, Ila tu nimesikitishwa na simu ya mfanyakazi wenu ambaye katumia simu namba 0788379696.
 
Sidhani kama site ya kutoa malalamiko inachagua jinsi ya kuripoti tatizo. Na hii kauli yenu ya tunatatua tatizo nadani ya saa 24 toka mteja katoa huduma ina tija! Nimetoa taarifa na kupewa namba ya taarifa nimekuja kushangaa napigiwa simu na kutolewa kauli ya kushutumiwa juu ya taarifa niliyota hapa na kupigiwa cm ambayo mimi kama mteja wenu sikuona mantiki na pia ni simu ambayo haina staha kbs. Je huu ukurasa sio rasmi kwenu Tanesco? Na je ni kosa kuleta malalamiko hapa. Najiandaa kulala giza tena na leo najua fika hamtokuja na sina nia tena ya kukumbushia hili. Ila tu nimesikitishwa na simu ya mfanyakazi wenu ambaye katumia simu namba 0788379696.
Tumepokea taarifa zako kwa hatua zaidi tafadhali
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya mita

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
Nyie hamna nia ya kutatua matatizo. Hapa natumia jina bandia lakini wewe unataka nijiweke wazi. Hapana. Huko kote tunapolalamika kuna matatizo , ofisi zenu zipo, fuatilieni kujua ukweli na kuwachukulia ukweli. Pale TANESCO nyamagana, %kubwa ya wafanyakazi wenu ni wala rushwa.

Kupata control no mpaka mtu atoe rushwa, kupata meter rushwa, yule anayepanda juu ya nguzo rushwa, meter kusajiliwa rushwa. Nenda TANESCO nyamagana, waulizeni kwanini hawasajili meter?

Nadhani wanataka mtu ashindwe kununua token ili aende ofisini kwao, atoe rushwa ndio meter no isajiliwe.
 
Nyie hamna nia ya kutatua matatizo. Hapa natumia jina bandia lakini wewe unataka nijiweke wazi. Hapana. Huko kote tunapolalamika kuna matatizo , ofisi zenu zipo, fuatilieni kujua ukweli na kuwachukulia ukweli. Pale TANESCO nyamagana, %kubwa ya wafanyakazi wenu ni wala rushwa. Kupata control no mpaka mtu atoe rushwa, kupata meter rushwa, yule anayepanda juu ya nguzo rushwa, meter kusajiliwa rushwa. Nenda TANESCO nyamagana, waulizeni kwanini hawasajili meter?. Nadhani wanataka mtu ashindwe kununua token ili aende ofisini kwao, atoe rushwa ndio meter no isajiliwe.
Unaweza kutuma hata inbox kwa kuwa TANESCO tunatumia taarifa za mteja husika na sio ananymous, tafadhali onyesha ushirikiano wako
 
Wakati huu tulionao ni wakati tete sana hasa kuhusiana na ugonjwa wa corona. Tuliaminishwa huko nyuma kuwa ugonjwa huo haukuwa tishio kwa maisha yetu hivyo tuendelee na shuhuri zetu kama kawaida na bila tahadhari; lakini hivi sasa viongozi wetu wamegundua Kuwa corona ni tishio kwa uhai wetu na hivyo wananchi hatuna budi kuchukua tahadhali juu ya maambukizi!!

Ningewaomba viongozi wa TANESCO wawakataze tabia ya mafundi wao kuingia majumbani kwa watu bila sababu za msingi kwa kisingizio cha kufanya ukaguzi usioeleweka yote hiyo ikiwa kuwasumbua wazee wa watu waliostaafu na kupumzika.

Na hawa wazee ndio hasa wanaoathirika na haya maradhi; hivyo tafadahalini wakatazeni mafundi wenu kugonga gonga majumbani mwa watu bila sababu ili hali kwa kuingia majumbani mwa watu wanaweza kuwaambukiza wazee haya maradhi!!!
 
Wakati huu tulionao ni wakati tete sana hasa kuhusiana na ugonjwa wa corona. Tuliaminishwa huko nyuma kuwa ugonjwa huo haukuwa tishio kwa maisha yetu hivyo tuendelee na shuhuri zetu kama kawaida na bila tahadhari; lakini hivi sasa viongozi wetu wamegundua Kuwa corona ni tishio kwa uhai wetu na hivyo wananchi hatuna budi kuchukua tahadhali juu ya maambukizi!!

Ningewaomba viongozi wa TANESCO wawakataze tabia ya mafundi wao kuingia majumbani kwa watu bila sababu za msingi kwa kisingizio cha kufanya ukaguzi usioeleweka yote hiyo ikiwa kuwasumbua wazee wa watu waliostaafu na kupumzika. Na hawa wazee ndio hasa wanaoathirika na haya maradhi; hivyo tafadahalini wakatazeni mafundi wenu kugonga gonga majumbani mwa watu bila sababu ili hali kwa kuingia majumbani mwa watu wanaweza kuwaambukiza wazee haya maradhi!!!
Ndugu mpendwa mteja wetu

Tafadhali tambua ukaguzi unaofanyika ni kwa mujibu wa sheria na wakati mwingine usalama wa wateja wetu.Kwa aina ya kazi za TANESCO kama itahitajika mtaalamu wetu kufika eneo husika inatulazimu kufanya hivyo.Aidha tunapokea ushauri wako kuendelea kuchukua tahadhari ili kujinga na kuwakinga wateja wetu.

TANESCO HUDUMA KWA WATEJA

MAKAO MAKUU
 
Habari TANESCO
Mita ya LUKU ikikiandika P- CUT natakiwa nifanye nini?
Nilienda kuangalia kiremote baada ya umeme kukatika ndio nikaona kimeandika hivyo ( p- cut)
 
Kuna nyumba mbili zipo kijijini nanunua umeme mimi, vitu vya kutumia umeme ni tv na taa kwa nyumba zote mbili, cha ajabu nyumba moja nikiwanunulia umeme wa 10000 napata unit 28, nyingine nikinunua wa 10000 napata unit nyingi zaidi! Msaada wenu tafadhali, tatizo nini au nifanyeje na hii ya unit 28 ipate unit zaidi kama ile nyingine? Mbaya zaidi hii inayopata kidogo anaishi mama, ile inayopata nyingi anaishi baba[emoji3] huu ni unyanyasaji wa kijinsia kwa bi mkubwa(jokes)
 
Ndugu mpendwa mteja wetu

Tafadhali tambua ukaguzi unaofanyika ni kwa mujibu wa sheria na wakati mwingine usalama wa wateja wetu.Kwa aina ya kazi za TANESCO kama itahitajika mtaalamu wetu kufika eneo husika inatulazimu kufanya hivyo.Aidha tunapokea ushauri wako kuendelea kuchukua tahadhari ili kujinga na kuwakinga wateja wetu.

TANESCO HUDUMA KWA WATEJA

MAKAO MAKUU

Hakikisheni mnawaelimisha wafanyakazi wenu kuvaa BARAKOA mara wanapoingia nyumbani mwa wetu na wanapofanya kazi na kupishana na watu wengi !!!
 
Tumelipia umeme baada ya survey kwa control number 991032358153 ,shilingi 27,000 za kitanzania.Tarehe 4 February 2021--Ila hadi leo hawajaja kufunga umeme.
TANESCO ,ina maana bandiko langu hamjaliona au?

Ushahidi huo hapo nje nje! mki-trace hamuoni kuwa malipo yalifanyika na mko nje ya makubaliano?

Mmechukua hatua gani hadi sasa?maana hata hizo namba mmeweka hapo ukipiga unapewa jobcard number--na hawakurudii tena. Kwanini mnakuwa wezi?
 
TANESCO ,ina maana bandiko langu hamjaliona au?
Ushahidi huo hapo nje nje! mki-trace hamuoni kuwa malipo yalifanyika na mko nje ya makubaliano?
Mmechukua hatua gani hadi sasa?maana hata hizo namba mmeweka hapo ukipiga unapewa jobcard number--na hawakurudii tena.
Kwanini mnakuwa wezi?
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
 
Pole na majuku ya kazi wakuu

Kwakweli sisi wananchi wa Sumve , Misungwi mwanza tunapata tabu Sana tangu miezi minne tumefanya mchakato wa umeme

Lakini mpaka leo tunaambiwa hakuna nguzo za kuunganisha umeme majumbani mwetu.

Tunaomba wenye mamlaka na ili jambo watusaidie maana tunaona kama uongozi wa tanesco wilaya wamebweteka tu wakati watanzania kibao Sumve wanahitaji huduma ya umeme
 
Wekeni namba ya waziri tumfahamishe tabu tunazopata...unalipia mwez wa 4.mpk mwez wa 7 unausikia tu umeme....
 
TANESCO
Kwenye kiwanja changu Tandale mashine Kuna nyumba mbili na mita mmoja ,Sasa kwa kuwa nyumba moja ni ya biashara na wamiliki ni tofauti nikaomba mita ya pili Magomeni .Fomu ilipofika kwa surveyor anadai hairuhusiwi kuwa na mita mbili.

Jirani yangu mweye jengo moja ana mita nne, na msipouza umeme mtapata wapi fedha za kulipia uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali?
Naomba msaada
 
Tanesco hiii habari mnayoifanya mda huu wa saa moja hapa kimara king'ongo kwa kocha uwanjani DAR ES SALAAM wilaya ya ubungo kukata kata umeme na kurudisha baada ya dakika 5 mnakata tena haki ya Mungu mkiniunguzia vitu vyangu mtanieleza vizuri TANESCO
 
Samahani TANESCO . Nipo mbali na nyunbani na nyunbani Kuna Bibi pekee hajui kusoma. Tafadhali Naomba mniangalizie idadi ya units zilizobaki ili nifanyie mpango wa kununua kabla hazijaisha kabisaa ili huyo Bibi asilale gizani. Namba ya mita ni 37220559852. Ahsante
 
Samahani TANESCO . Nipo mbali na nyunbani na nyunbani Kuna Bibi pekee hajui kusoma. Tafadhali Naomba mniangalizie idadi ya units zilizobaki ili nifanyie mpango wa kununua kabla hazijaisha kabisaa ili huyo Bibi asilale gizani. Namba ya mita ni 37220559852. Ahsante
Tumeona taarifa yako instagram tunakujibu tafadhali
 
Tumeona taarifa yako instagram tunakujibu tafadhali
Tanesco malipo ya fidia ya mradi wa 400 KVAKINYEREZI MNATULIPA LINI FIDIA ZETU MLIKUJA MKASEMA WEEK YA MWISHO WA MWEZ WA SITA SASA NI MWEZ WA SABA NA UNAENDA KUISHA MMEMWAMBIA MBUNGE NA MWENYEKITI WETU KUWA MTAKUKA TAREHE 17 MWEZ HUU TUNATAKA MALIPO KAMA HAMUWEZ TUAMBIENI TUENDELEZE MAKAZ YETU TUNASHINDWA HATA KUBORESHA NYUMBA ZETU KWA KUWA MMESHAFANYA TATHIMIN TOKA MWAKA 2017 MNA NIA GAN NA SISI

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Tanesco malipo ya fidia ya mradi wa 400 KVAKINYEREZI MNATULIPA LINI FIDIA ZETU MLIKUJA MKASEMA WEEK YA MWISHO WA MWEZ WA SITA SASA NI MWEZ WA SABA NA UNAENDA KUISHA MMEMWAMBIA MBUNGE NA MWENYEKITI WETU KUWA MTAKUKA TAREHE 17 MWEZ HUU TUNATAKA MALIPO KAMA HAMUWEZ TUAMBIENI TUENDELEZE MAKAZ YETU TUNASHINDWA HATA KUBORESHA NYUMBA ZETU KWA KUWA MMESHAFANYA TATHIMIN TOKA MWAKA 2017 MNA NIA GAN NA SISI

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Tafadhali tusaidie namba ya simu na ukaribie ofisini pia kwa kuwa swala la madai lina taratibu zake
 
Tafadhali tusaidie namba ya simu na ukaribie ofisini pia kwa kuwa swala la madai lina taratibu zake
Najua kuna taratibu na zmeshafanyika mmetufanyia tathimin maana yake mtulipe au tulifikishe ngaz za juu maana mnakuja kila siku na story mpya na pesa kutoja hazina za kutulioa mshapewa kwa nn hamtulipi uliza swala kwa wahusika uje na majibu ya msing kama had mbunge wetu mnamuongopea au

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom