Nimelipia Maunganisho Mapya Tarakea Rombo tangu 22/april/2021 mpaka leo sijafungiwa umeme.Why.
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Naomba namna nyingine ya kuwasilisha malalamiko zaidi ya hapa.hapa siwezi kuweka mawasiliano yangu.
 
Inawezekana unakosea kuingiza umeme au umenunua kwa mita ambayo sio yako
Mita ni ya kwangu na sijakosea hata namba moja, na kodi yao ya jengo wameshanikata 4000 nilikuwa sijawahi kulipa, nimerudia zaidi ya mara tano nimechoka.

Solution ni nini? Natumia luku za zamani Econ siyo hizi za remort.

Note, namba ya mita imeandikwa kwenye mita siwezi kujichanganya au kukosea kitu rahisi kama hicho.
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya mita

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Kwanza maliza tatizo la nguzo nililokupa kitambo na TB namba na mpaka leo hakuna utekelezaji halafu ndio uniingize kwenye porojo hii.

Mimi nitakwenda mwenyewe ofisi, najuwa namna ya kudeal na vichwa ngumu.
 
Kwanza maliza tatizo la nguzo nililokupa kitambo na TB namba na mpaka leo hakuna utekelezaji halafu ndio uniingize kwenye porojo hii.

Mimi nitakwenda mwenyewe ofisi, najuwa namna ya kudeal na vichwa ngumu.
Tafadhali onyesha namba ya taaarifa? Wilaya na umetoa taatifa lini kwa hatua zaidi
 
mkuu naomba kujua kama umeshajaza fomu ya maombi ya kuunganishiwa umeme inachukua mda gani surveyor kufika site?

Nimejaza fomu ya kuunganishiwa umeme toka mwezi wa 6 mpaka mwezi huu sijatembelewa na surveyor kila nikienda Tanesco naambiwa surveyor atakuja.
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Jina:Emmanuel Mwaipopo

Eneo:Bonyokwa kisiwani

Wilaya:Ilala

Namba ya simu:0747732569

Tatizo:Toka nimejaza fomu ya kuunganishiwa umeme mwezi wa sita 2021 mpaka leo hiii sijatembelewa na surveyor Kila nikienda Tanesco naambiwa surveyor atakuja

Toka lini:Mwezi wa 6,2021


Ahsante sana
 
Ahsante kwa taarifa tumepokea kwa hatua zaidi
 
Shoti imetokea na waya umekatika mtaa wa Mkuti kati, Masasi, Mtwara leo saa 5 asubuhi tumewapigia sana simu zaidi ya mara 10 na watu tofauti namba ya watoa huduma mpaka tunapokelewa Tanesco Masasi, imekuja gari ya Tanesco imezunguka ikaondoka mpaka muda huu saa 1 usiku hakuna dalili ya marekebisho tatizo nini mbona siku hizi munakua jeuri sana munataka watu wafe ndo muone kuna tatizo?
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Wewe jamaa utakua BOT si bure. Inabidi JF wakuchunguze kama kweli wewe ni binadamu.
 
Ebu tupeni maelekezo mteja anataka kufungua kiwanda kidogo cha matofari anahitaji three phase na nguzo kama 3 nn kifanyike ili apate huduma hii mapema maana nimzunguko husiokuwa na afya
Hii ipo kimala temboni
Nadhani ntapata majibu kupitia hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…