Tafadhali tutumie taarifa zako tena eneo, wilaya na form umerudisha lini na namba ya simu
Jina Japhet Edward Hamaro

Eneo Mabwepande Mji mpya

Wilaya Kinondoni

Namba ya simu 0768 590175

Tatizo nimepeleka maombi ofisini ya kuunganishiwa umeme toka tarehe 13/09/2021 mpaka hata surveyor hajaja.

Toka lini September 13 na form nilirudisha siku hiyo hiyo
 
TANESCO Kibaha kuna nini?tangu jana umeme hamna kuanzia maili moja mpaka kongowe,nini shida?
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Hii kitu ni karibu mwaka wa tatu huu hawa tanesco wilayani same hawachukui hatua yeyote

 
Mimi nimelipia service line tangu mwezi wa 7 mpaka leo sijafungiwa umeme na sehemu haitajii nguzo ni mita na waya kama mita 7 tu
 
Mimi nimelipia service line tangu mwezi wa 7 mpaka leo sijafungiwa umeme na sehemu haitajii nguzo ni mita na waya kama mita 7 tu
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Ebu kuweni seriously na kazi yaani mpaka nitoe rushwa ndio nifungiwe kweli?
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Ndugu Mpendwa mteja wetu

Tafdhali tujulishe

Eneo

Simu

Wilaya

Tatizo

Namba ya taarifa

Toka lini

Unaweza kutuma hata DM na sisi tunakuahidi kuifanyia kazi
Hii iko
kata ya Mtii
Kijiji Mtii
Wilaya Same mkoani Kilimanjaro
 
Kamilisha taarifa mkuu wetu tafadhali
Hii nimetoa taarifa tu maana ni mtaani kwetu wametelekeza hizi nyaya hapa na nyumba yenyewe ilishavunjwa wamebakiza hako kaukuta tu na nimuda mrefu sasa.
 
Hii nimetoa taarifa tu maana ni mtaani kwetu wametelekeza hizi nyaya hapa na nyumba yenyewe ilishavunjwa wamebakiza hako kaukuta tu na nimuda mrefu sasa.
Taarifa muhimu zaidi kwetu ni mawasiliano yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…