Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni kwa changamoto ndugu wateja taarifa yenu tumeipokea mafundi wetu wanaifanyia kazi huduma itarejea mapema iwezekanavyo.Habari yenu Tanesco,
Dar, tabata kisukuru yote haina umeme kuanzia saa 1 asubuhi hadi mda huu na hakuna taarifa yoyote. Ni nini kinaendelea
Ndugu mpendwa Mteja wetuMgao ndio ushaanza? Tangu asubuhi umeme hakuna, namba ta Tanesco ipo busy
Unashauriwa kutoa taarifa ofisi za eneo lako,utapatiwa namba ya taarifa, wataalamu wetu watafika kuiangalia na kuifanyia kazi au kuonadilishaNaomba kuuliza
Nina machine ya kuingizia Token number unasumbua Baadhi ya Namba kuingia je naweza kupata Mashine Mpya badala ya hiyo? Je Utaratibu wa kupata Upoje?
JINA: BAKARI ABDALLAH BAKARI.Ndugu mpendwa Mteja wetu
Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Namba ya taarifa
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja
Nilikwishafika Tanesco kigamboni na watalaam walifika nyimbani na kuniambia natakiwa nipatiwe nyingine ndio nauliza Utaratibu wa kupata nyingine ni UPI au kuna Gharama na ni kiasi gani?Unashauriwa kutoa taarifa ofisi za eneo lako,utapatiwa namba ya taarifa, wataalamu wetu watafika kuiangalia na kuifanyia kazi au kuonadilisha
Nashurukuru baada ya kuleta malalamiko hapa yamefanyiwa kazi na surveyor amefika, nitaendelea kuleta malalamiko hapa pale nitakapoona sipatiwi suluhisho kwa muda.Jina Japhet Edward Hamaro
Eneo Mabwepande Mji mpya
Wilaya Kinondoni
Namba ya simu 0768 590175
Tatizo nimepeleka maombi ofisini ya kuunganishiwa umeme toka tarehe 13/09/2021 mpaka hata surveyor hajaja.
Toka lini September 13 na form nilirudisha siku hiyo hiyo
Tunashukuru kwa taarifa, tumefanikiwa kuona taarifa zako tunaomba tuzifatilie kwa hatua zaidiJINA: BAKARI ABDALLAH BAKARI.
ENEO: SOMBETINI /GREEN VALLEY.
SIMU: 0784485861/0655485861.
TATIZO: KUFUNGIWA UMEME.
TAREHE NILIYOLIPA: 1/7/2021.
CONTROL NUMBER: 991032655378.
Bill NUMBER : 1274.
BILL PAID: 27,000/=
Ndugu mpendwa Mteja wetuTangu jumamosi wiki iliyopita mpaka sasa umeme hakuna hapa eneo la kikwalaza, Mikumi, Morogoro.Tatizo nini?
Tunashukuru sana mpendwa mteja wetu, endelea kufurahia huduma zetuNashurukuru baada ya kuleta malalamiko hapa yamefanyiwa kazi na surveyor amefika, nitaendelea kuleta malalamiko hapa pale nitakapoona sipatiwi suluhisho kwa muda.
Tafadhali tupatie namba ya taarifa au namba ya simu uliyotolea taarifa tuone kazi yakoNilikwishafika Tanesco kigamboni na watalaam walifika nyimbani na kuniambia natakiwa nipatiwe nyingine ndio nauliza Utaratibu wa kupata nyingine ni UPI au kuna Gharama na ni kiasi gani?
Ndugu mpendwa Mteja wetuHii kitu ni karibu mwaka wa tatu huu hawa tanesco wilayani same hawachukui hatua yeyoteView attachment 1988580
View attachment 1988586
Hii mpaka ufanye maombi tufike kujitidhisha kama vigezo na masharti vimetimia, hata hivyo sio rahisi kufunga mita zaidi ya moja kwenye nyumba moja hivyo unashauriwa kufungia vifaa maalumu vya kusoma.matumizi ya kila sehemu kwenye eneo lako ambavyo vinafungwa na fundi wako wa umeme aliyesajiliwaTanesco naombeni kujua utaratibu wa kupata mita yangu binafsi katika nyumba ya kupanga,maana ninaishi kwenye nyumba ina frame nyingi mita moja,kwa kwel umeme unakimbia sana na matumizi yangu ni redio na tv tu tena mara moja moja sana maana sishindi nyumbani ila bili nalipa kubwa kwa mwez sio chini ya 30 elf.
Nmenunua umeme wa Elfu 11,mmenipatia Unit 79 lakini nikiangalia salio nakuta Unit 13Hii mpaka ufanye maombi tufike kujitidhisha kama vigezo na masharti vimetimia, hata hivyo sio rahisi kufunga mita zaidi ya moja kwenye nyumba moja hivyo unashauriwa kufungia vifaa maalumu vya kusoma.matumizi ya kila sehemu kwenye eneo lako ambavyo vinafungwa na fundi wako wa umeme aliyesajiliwa