Tanesco jamani mnakata uneme saana kwa siku hadi mara nne - kwa Kijitonyama Ali maua emergency ukipiga wanachukua namba ya simu namba ya taarifa unapewa, halafu unapigiwa
Kesho yake kweli ??? Unapigiwa wakati umekaa giza masaa 7 unarudi wanapiga simu , halafu wanakata tena anakupigia mwingine kesho yake ! Mchezo huu huu - kweli hili shirika hakuna uwekedi kabisa, najua hata wao wanajijua.
Kesho yake kweli ??? Unapigiwa wakati umekaa giza masaa 7 unarudi wanapiga simu , halafu wanakata tena anakupigia mwingine kesho yake ! Mchezo huu huu - kweli hili shirika hakuna uwekedi kabisa, najua hata wao wanajijua.