Makamba kafeli asubuhi tuTANESCO chini ya January Makamba mmefeli pakubwa sana bora angeachwa Dr. Kalemani kuliko J. Makamba.
Nakuona sukuma gang ukiwa kazini dadeeeekiKuanzia ofisi za Forodha za Tanzania ni mwendo wa generator hadi madukani.
Hivi hii aibu iliyoanza hivi karibuni ni kweli imeshindwa kutatulika?
Nipo na Wamarekani na ndiyo mara yao ya kwanza kufika hapa kwetu na walichoniuliza kwa nini upande wa Tanzania ni kelele za generator, je kuna tatizo gani yaani nimeshindwa nijibu nini?
Ilaaniwe CCM ya sasa hasa Makamba.
Makamba hoyeeeeeTanesco jamani mnakata uneme saana kwa siku hadi mara nne - kwa Kijitonyama Ali maua emergency ukipiga wanachukua namba ya simu namba ya taarifa unapewa, halafu unapigiwa
Kesho yake kweli ??? Unapigiwa wakati umekaa giza masaa 7 unarudi wanapiga simu , halafu wanakata tena anakupigia mwingine kesho yake ! Mchezo huu huu - kweli hili shirika hakuna uwekedi kabisa, najua hata wao wanajijua.
Tonge limemponyoka mwanasgang, Sasa inakuwaje?Nakuona sukuma gang ukiwa kazini dadeeeeki
Dawa ni kuwa na subraaaaaTonge limemponyoka mwanasgang, Sasa inakuwaje?
Wilaya gani Mkuu?Ndugu wilaya nzima hakuna umeme MDA huu hakuna tangazo wala nini ,kama na wewe haupo tufalijiane
Kwetu walikata kuanzia saa moja asubuh, mda huu ndo unarudi, watu wanashangilia utadhani ni msaada tunapewa [emoji3], haya wacha tuchaji chaji viambato vyetu, siku ilikuwa nzito leo.Ndugu wilaya nzima hakuna umeme MDA huu hakuna tangazo wala nini ,kama na wewe haupo tufalijiane
Kale kamchakato ni automatic, wala hakaitaji msaada wa umeme au taa [emoji16][emoji16]Nilipo ulikatika alfajiri umerudi usiku huu...
Giza linatisha sana [emoji23] wale ndugu wanaonya.ndua.na gizani hakii siwaelewi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilipo ulikatika alfajiri umerudi usiku huu...
Giza linatisha sana [emoji23] wale ndugu wanaonya.ndua.na gizani hakii siwaelewi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa Wilaya yako bado tunaendelea kuwafungia waliolipia mbele yako hivyo haupaswi kutoa chochote kwa mtu yeyoye na kama unamtu anayekuambia utoa chochote tupatie taarifa DM tuzifanyie kaziMalalamiko
Malalamiko
Malalamiko
Kila kona,Huyu Kalipia muda mrefu hajaunganishiwa umeme.
Kule,Umeme unakatika Sana na hakuna taarifa za mgao(Vifaa vinaaribika)!
Hapa ameshindwa kupata control number sababu anaitaji nguzo.!
Sehemu kubwa ya hizi keep ni mazingira ya RUSHWA TU.
Binafsi,nimelipia tarehe 27/10/2021 nikaendelea kusubiri kimyaaa nilienda ofisini pale Tabata Liwiti wakanijibu wanashughulikia waliolipia mwezi wa 8,Niendelee kusubiri nitapigiwa simu!!Simu haipigwi ijumaa ya juzi tarehe 13/11/2021 nikampigia saveya akanijibu nitoe LAKI 1(100,000/) hapa nitafungiwa kwa haraka.
SIJATOA NA BADO NALALA GIZANI.
0714 411041.