Dawa ni kuwaletea mgomo wa kibano tu. Wanavyopita na magari yao wanajionaga kama wamepanda usafiri wa kwenda mbinguni, ngoja tu.Kimara mwisho njia ya Bonyokwa hapa, Kwan TANESCO tumewakosea nn ? Kila siku iendayo kwa Maulana mnatukatia Umeme Tena kuanzia asubuh na kuurejesha jioni shida ni Nini ?
TANESCO yaani leo ni zima..washa..zima..washa...huku Kimara,mnatutafuta nini lakini nyie watu?!!😡Mmekata umeme last week jtatu,jnne,jtano,jmosi siku nzima no working!wiki hii jana jtatu mmekata saa moja asubuhi mpaka saa nne usiku eneo kubwa kuanzia Manzese mpaka Kimara,almost wilaya nzima ya Ubungo.Na leo naamka asubuhi hapa Kimara hakuna umeme,umeshakatika.Hebu tuambieni wakuu wa nchi hii tunaishi vipi kwa hali hii?!
Wanawake wenyewe wanakwenda kwa kina Ricky Ross!Tanesco mjitafakari hamuwezi kaxi hata kidogo kila kitu kibayaaa bongo labda wanawake tu ndio wapo wazuri
Tafadhali onesha wilaya,namba ya simu na eneo husika kwa hatua zaidiYani TANESCO kilanhatua ni foleni.
1. Survyeror kaja 4/6, 2021
2. Contror no tar 3/9/2021
3. Nguzo imekuja tar 22/11/2021
4. Umeme ........haijulikani kila asubuhi naamka naiangalia nguzo tu maana tangu nguzo imekuja zishakatika wiki tatu
Hadi leo bilabila mwaka unaenda kuisha bila umemeTafadhali onesha wilaya,namba ya simu na eneo husika kwa hatua zaidi
Hadi leo bilabila mwaka unaenda kuisha bila umeme
Malipo yamepokelewa kwenda TANESCO
Ankara: 991032834983
Kiasi: 27000 TZS
Risiti: 921242065855721
2021-08-30T14:08:46
Kupitia: FB97911630321725
Salumu issa
O713552943
Ilala chanika
Kimwani street
Mabadiliko ya tabia nchi kuwa mvumilivuBaadhi ya maeneo ya ubungo kwa sasa hayana umeme muda huu tayari jamaa washafanya yao........
Kiukweli hawa jamaa hawakujipanga walikurupukaVitu vya bei rahisi shida sana.
Hata ukienda kwenye maduka mfano ya spea za magari ukitafuta spare zipo za bei rahisi ambazo zinasumbua na za bei ya kawaida lakini ni imara sana.
Kwahiyo si tufanyaje!?Baadhi ya maeneo ya ubungo kwa sasa hayana umeme muda huu tayari jamaa washafanya yao........