Tafadhali onesha namba ya simu na namba ya taarifa kwa wepesi wa kufanyia kazi taarifa zak
Nilipopiga simu muhudumu wenu hakutoa namba ya taarifa amesema hilo tatizo limekwisha tolewa taarifa toka jana linafahamika! Jee unanishauri nifanyeje?
 
Nilipopiga simu muhudumu wenu hakutoa namba ya taarifa amesema hilo tatizo limekwisha tolewa taarifa toka jana linafahamika! Jee unanishauri nifanyeje?
Baada ya kujieleza muhudumu kanipa namba ya taarifa ni 8940 na mpaka sasa hatuna umeme leo siku ya 3!
 
Je ni Wilaya gani? Namba ya taarifa umeopata mwezi gani?
Mbagala eneo la Mgeni nani wilaya Temeke mkoa Dar-es-Salaam. Namba ya taarifa ni jana hili tatizo ni toka juzi tarehe 30-12-2021 mpaka leo 1-1-2022!
 
Mbagala eneo la Mgeni nani wilaya Temeke mkoa Dar-es-Salaam. Namba ya taarifa ni jana hili tatizo ni toka juzi tarehe 30-12-2021 mpaka leo 1-1-2022!
Tunaifanyia kazi tafadhali
 
Taarifa hii imepokelea jana saa 12 jioni na imepelekwa idara nyingine kwa hatua zaidi
Huyo mpokea taarifa toka jana tunamueleza eneo la tatizo hataki anatujibu eneo la Mbagala kuu toka juzi wamepokea hizo taarifa na mafundi wanashughulikia hilo tatizo!

Mbagala kuu imepakana na Mgeni nani hatujaona mafundi wala taarifa zao hatuambiwi. Mafundi wanahangaika kwa siku mbili mfululizo wameshindwa kutatua hili tatizo!

Sawa hata kama jana saa 12 ndiyo taarifa imepokelewa mpaka leo muda huu hatujaona mtu wa Tanesco wala Dalili za kupata huduma yenu.
 
Nimelipia umeme tangu mwezi wa 8 mwaka jana hadi sasa sijaunganishiwa umeme, tatizo nini?
 
Wazee mbona hii tabia ta kukata umeme na kurudisha imekithiri..hiv hamuon aibu tanesco...hiv hata mbele za watu kwel unaweza toka kusimama na ukasema unafanya kaz tanesco kwel?
 
Wazee mbona hii tabia ta kukata umeme na kurudisha imekithiri..hiv hamuon aibu tanesco...hiv hata mbele za watu kwel unaweza toka kusimama na ukasema unafanya kaz tanesco kwel?
Uukiukizwa unafanya kaz gan tanesco utajib nn..ni kaz ya kukata umeme na kuridisha kwel...hebu onen aibu..mnatia hasira sana
 
Kimara mwisho,stop over kote hamna umeme now!tangu juzi ikifika usiku wa manane mnakata umeme.
Jana ndio mmekata saa 9 mpaka muda huu saa 6 mchana bado hamjarudisha TANESCO
 
Kimara mwisho,stop over kote hamna umeme now!tangu juzi ikifika usiku wa manane mnakata umeme.
Jana ndio mmekata saa 9 mpaka muda huu saa 6 mchana bado hamjarudisha TANESCO
Huduma imerejea muda huu mara baada ya kukamilisha kazi ya kuunga waya wa laini kubwa uliokuwa umekatika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…