Malipo yamekamilika.54205331363
9001220021908244650
Units 1.5KWH
Token 0558 2578 7050 3856 7033
Cost 409.84
VAT 18% 73.77
EWURA 1% 4.10
REA 3% 12.29
Debt Collected 1,000.00
TOTAL 1,500.00 02/01/22 19:08
Mkuu nahisi hii mita inashida...imefungwa mwezi wa 11..imekatwa 6,000 mwezi wa 12, leo tena imekatwa 1000..
Mteja anakata kiasi cha Tsh 12000 kwa Mwaka wa fedha hivyo ni sawa kabisa kwa kuwa unapaswa kukatwa mpaka ukomo wa Tsh 12000 tu kwa nyumba za makaziView attachment 2066327
Check hii ni tarehe 24 december 2021
Ndugu mpendwa Mteja wetuNmelipia umeme kuanzia mwezi wa saba hadi leo sijaekewa umeme,nyie n bure kabisa muda mwngne
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Nyumba za kawaida, za ghorofa ni Tsh 60000 kwa Mwaka wa fedha sawa na Tsh 5000 kwa mweziMteja anakata kiasi cha Tsh 12000 kwa Mwaka wa fedha hivyo ni sawa kabisa kwa kuwa unapaswa kukatwa mpaka ukomo wa Tsh 12000 tu kwa nyumba za makazi
Malipo yamepokelewa kwenda TANESCONdugu mpendwa Mteja wetu
Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Namba ya taarifa
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja
SIMU : 0748550000
N mwezi wa tisa not wa sabaMalipo yamepokelewa kwenda TANESCO
Ankara: 991032883268
Kiasi: 27000.76 TZS
Risiti: 921257068549688
2021-09-14T13:06:27
Kupitia: FB52891631613987
Wilaya kibamba
Mkoa dar-es-salaam
Nchi TANZANIA ya viwanda
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Yani we acha tu aisee wanatutesa sana sema hawajui tu.......kwa hali ya joto la Dar Bora unikatie umeme mchana ila sio usikuHata wakirudisha unakuwa low voltage
Naomba mlifuatilie hili suala mvua zimeanza kunyesha Dodoma, watoto wanasoma madrasa ni wengi watapiteza uhaiTumepokea kwa hatua zaidi tafadhali
Namba ya nini na pale ni wazi kabisa ni kona ya kuingia ofisi za serikali ya mtaa Mvuleni ,ManzeseTafadhali onesha namba ya simu na namba ya taarifa kwa wepesi wa kufanyia kazi taarifa zak
Majibu marahisi sana haya,n lini??Tutakufikia tafadhali