Duh aisee mm tangia dec mpaka.leo, sina hamu nao hawa jamaa ...tena wana ruka wale wateja wa 27k wana wawekea watu walio omba umeme ata April, kisa wengine wamelipa 27k

Sasa tuwa ulize kwan sie wananchi ndio tulipanga bei iyo ya 27 k ?
Tafadhali onesha namba ya ombi kwa hatua zaidi
 
Tafadhali onesha namba ya ombi kwa hatua zaidi
 
NIKONEKT kwanini msitoe matangazo ya kutosha kwa sasa? Pia kwa sasa bado changamoto ni kubwa kwa Wakandarasi na Mafundi walio sajiliwa na EWURA hapa mkoa wa Kagera ni wachache sana wamefanikiwa kujiunga na mfumo mpya na kesho ndiyo tunaanza kuutumia.
Elimu imetolewa na inaendelea kutewa
 
Elimu imetolewa na inaendelea kutewa
Mmechelewa kujibu. Lakini Kwa Sasa ujumbe umefika Kwa wananchi.


Ninaombi kwenu nahitaji ubao tangazo la Nikoneck. Pia vipeperushi na kama itawezekana nipate na Vipeperushi vya kuiandika vya Nikoneck. Nipo Karagwe ni Mkandarasi.
 
Naomba kuuliza, ukilipia kuunganishiwa umeme, zikazidi siku 90 kama mkataba wenu unavyosema, ninatakiwa kufanya nini??
 
Naomba kuuliza, ukilipia kuunganishiwa umeme siku 90 zikapita bila kuunganishiwa, natakiwa kuchukua hatua gani?
 
Tafadhali onesha namba ya ombi kwa hatua zaidi
Huu sio Utetezi mzuri katika sehemu kama hii,Tunaongea kero za Jamii nzima sio Mtu mmoja mmoja kama mnavyofikiri....Ukiangalia hiyo kero yangu ni sehemu nyingi.
 
Huu sio Utetezi mzuri katika sehemu kama hii,Tunaongea kero za Jamii nzima sio Mtu mmoja mmoja kama mnavyofikiri....Ukiangalia hiyo kero yangu ni sehemu nyingi.
Hakuna kero sehemu nyingi kwa kuwa wateja wanaendelea kupatiwa huduma, tafadhali onesha ushirikiano ili upatiwe huduma
 
Mmechelewa kujibu. Lakini Kwa Sasa ujumbe umefika Kwa wananchi.


Ninaombi kwenu nahitaji ubao tangazo la Nikoneck. Pia vipeperushi na kama itawezekana nipate na Vipeperushi vya kuiandika vya Nikoneck. Nipo Karagwe ni Mkandarasi.
Ukifika ofisi zetu za eneo lako utapata vipeperushi vya Nikonekt, karibu sana
 
Ukifika ofisi zetu za eneo lako utapata vipeperushi vya Nikonekt, karibu sana
Michese dodoma "Muungano B" hawajaweka nyaya nguzo zipo tangu mwaka jana mwezi wa sita

Tushalipa kwa surveyor wenu
 
Uuuwwiii mkuu tanesco angalieni michese dodoma
Tunaishi kwenye giza mkuuu daaah natamani kulia
Tunateseka Sana mkuu tusaidie
 
Tanesco makao makuu tusidie umeme michese dodoma Muungano B tunaumia sana wakuu
 
Je umelipia lini? Namba ya simu au namba ya ombi tafadhali
Nililipa mwezi wa march 2022 namba ya malipo 991033381872
TANESCO MNAKERA mmesha kuwa KERO mnapo shindwa kutoa huduma kwa wakati ni vyema mkamjulisha mteja! Ili kuhondoa nsitofahamu kuwa siku 90 zimeisha na hudumu haitatolewa ;
 
TANESCO Bagamoyo kitengo Cha emergency ukienda kuripot taarifa ya dharula unaambiwa piga simu. Imagine mtu umeenda physically ofisini alfu unapewa namba upige simu. Kwamba ni utaratibu mpya awataki wateja waende ofisini .

Well linaweza kuwa jambo zuri lakini tunaomba ufafanuzi na uelimishwaji Zaidi juu ya jambo hili.Mfano mimi nahishi karibu na ofisi ya Tanesco alfu Sina Salio la kupiga simu sistahili kupata huduma!?

Kwa lazima tupige simu kwenye namba Moja ya call center, Isijekuwa ni dili la mtu ndo kaingia ubia na kampuni ya simu ili apate Cha juu.!!

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…