TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
wewe TANESCO jana tu ulitulia,leo mmekata tena umeme saa tisa usiku na saa hizi saa tisa mchana mmekata tena.Mna shida gani nini nyinyi?!mimi niko Kimara huku bado umeme unasumbua ila inaonekana sio sisi tu maana nimemsoma Habib Hanga kule twitter nae analalamika kuna mgao wa kimya kimya sehemu nyingi.
Hivi kuna nini?si mseme ukweli?!
Ndugu Mteja

Tunashukuru kwa taarifa, Tumezipokea kwa ufatiliaji na hatua zaidi.
 
Nimetuma maombi mapya tangu juni 6 lakini mpaka leo kimya sijajuwa tatizo liko wapi

Namba ya ombi 060622-1164

Namba ya simu 0782121999
Ndugu Mteja

Tunashukuru kwa taarifa, Tumezipokea kwa ufatiliaji na hatua zaidi.
 
TANESCO Hapa Manzese karibu na serikali ya mtaa Mvuleni kuna transformer ambayo mara kwa mara hubutuka na kuwaka moto, hatari ni mbili.

Kwanza wenye mashine za kusaga mahindi wamenunua fire extinguisher na hulimwagia kila linapowaka
Pili chini ya hiyo transformer kuna vibanda viwili vya kuuzia pombe na chakula kuna siku watu watafia hapo kwa nini hamuagizi viondolewe?

Rekebisheni hali hii na hii ni mara ya pili natoa taarifa
 
TANESCO Hapa Manzese karibu na serikali ya mtaa Mvuleni kuna transformer ambayo mara kwa mara hubutuka na kuwaka moto, hatari ni mbili
Kwanza wenye mashine za kusaga mahindi wamenunua fire extinguisher na hulimwagia kila linapowaka
Pili chini ya hiyo transformer kuna vibanda viwili vya kuuzia pombe na chakula kuna siku watu watafia hapo kwa nini hamuagizi viondolewe?
Rekebisheni hali hii na hii ni mara ya pili natoa taarifa
Ndugu Mteja , Tunashukuru kwa taarifa tumeipokea kwa hatua zaidi, tafadhali tusaidie namba yako ya simu kwa mawasiliano zaidi
 
TANESCO mda huu saa moja usiku Kimara mwisho hapa hakuna umeme.Angalia mfululizo wa taarifa zangu uone kiwango cha usumbufu mnaosababishia wananchi.
 
swali langu mimi nipo ilala meter yangu inasumbuwa kuweke luku katika remote nimewapigia offisini emergency wakaja kuniwekea kwa kutoa seald kwenye meter nakuingiza namba yangu ya vocha halafu seald hawakurudisha wanasema ukipata tatizo tena lakuingiza token nipande juu niweke bila kitumia remote swali je tanesco hawawezi kuja nisumbua siku za baadae kuwa hakuna seal kwenye meter nani katoa maana sina ushahidi wa maandishi je nifanye nini?
 
swali langu mimi nipo ilala meter yangu inasumbuwa kuweke luku katika remote nimewapigia offisini emergency wakaja kuniwekea kwa kutoa seald kwenye meter nakuingiza namba yangu ya vocha halafu seald hawakurudisha wanasema ukipata tatizo tena lakuingiza token nipande juu niweke bila kitumia remote swali je tanesco hawawezi kuja nisumbua siku za baadae kuwa hakuna seal kwenye meter nani katoa maana sina ushahidi wa maandishi je nifanye nini?
Ndugu Mteja!

Tunafurahia kukuhudumia, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000
 
Nimejiunnganisha kwenye huduma ya niconect nimefikia hatua hiyo hapo je kinachofuata ni Nini?
Screenshot_20220718-080421.jpg
 
Tafadhali hakikisheni mnapata magari makubwa yakazi maana huku kwetu tmk yombo tanesco walikuwa wanashida sana ya magari mpk kifikia mafundi sometime kutembea kwa miguu mpk wananchi tunawaonea huruma tunawakodia bajaji, mara wakaletewa gari ya green lkn ni kadogo kwa ajili ya meneja tuu hakafai kitu mara tena likaja lingine jeupe nalo ni dogo halifai kitu.

Hebu kuweni serious mnajua shirika ni la kazi mnaleta vigari vidogo seriously?

Waambieni viongozi wenu wawe serious hayo magari mabovu muyauze mnunue pamba mpya, igeni hata kenya.
Wazee wa umeme kiukweli inasikitisha sana kwa sasa umeme unakatika na hakuna taarifa yoyote yaani hapa Arusha imekuwa kama vile swala na simba ,hujui saa ngapi mnakata na lini na kwasababu gani? Dar nako yale yale unakuta usiku mpo giza tuuu nini kinawasibu?
 
Tanesco naona kazi imewashinda kila siku t/foma inakata phase moja tena usiku ht fuse moja huwa inatoa spark nyingi kweli tumechoka kupiga simu kila siku tatizo moja leo tangu asubuhi hakuna umeme hadi muda huu nipo pugu kwa rais t/foma la wallet pub sina haja ya kuwapa namba yangu ya simu tunahudumiwa na tanesco chanika
 
Back
Top Bottom