TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,600
- 2,134
- Thread starter
- #12,721
Ndugu Mtejawewe TANESCO jana tu ulitulia,leo mmekata tena umeme saa tisa usiku na saa hizi saa tisa mchana mmekata tena.Mna shida gani nini nyinyi?!mimi niko Kimara huku bado umeme unasumbua ila inaonekana sio sisi tu maana nimemsoma Habib Hanga kule twitter nae analalamika kuna mgao wa kimya kimya sehemu nyingi.
Hivi kuna nini?si mseme ukweli?!
Tunashukuru kwa taarifa, Tumezipokea kwa ufatiliaji na hatua zaidi.