Optimistic_
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 2,347
- 1,850
Hilo shirika Lina tatizo kubwa sanaNahisi kuna mtu kaunganishiwa badala yako wakati ilikua zamu yako
Hawakusema hiyo majuzi wamekata na kurudisha zaidi ya mara 100 hadi tukaogopa wasije wakatuunguzia vitu vyetu,Hukupokea notification ya ukataji Umeme kwenye mkoa wako Leo?
Imekuaje sasa paka sasaHilo shirika Lina tatizo kubwa sana
Hawajaja na sijajua tatizo niniImekuaje sasa paka sasa
AhsanteNdugu Mteja
Tunashukuru kwa taarifa, Tumezipokea kwa ufatiliaji na hatua zaidi.
TANESCO Huduma kwa Wateja
Makao Makuu
0748550000
Mie wamekujaHawajaja na sijajua tatizo nini
Hongera, maana Tanesco Kama wahuniMie wamekuja
Wamenifungia nawapongeza
Jaribu kuwasiliana nao tena mkuuHongera, maana Tanesco Kama wahuni
POAJaribu kuwasiliana nao tena mkuu
Duu mnajibu leo? Nimeshapata msaada. Ila nadhan hizi remote zenu mpya zina hitilafu mahali ni bora mkazibadili. Jana tulilala giza leo emergency ndo wamekuja kupanda huko juu kwny nguzo na kuingiza umeme huko huko juu.Namba yetu ni 0748550000, je ukiweka umeme unapata ujumbe gani tadhali
Mkuu kwako wamekuja baada yaMie wamekuja
Wamenifungia nawapongeza
@TANESCO Kwan ntakua gizan mpaka Lin Lakin ?? Miez 6 imeisha tangu nmelipia, sasa mpaka Leo umeme cjaunganishiwaTANESCO TANESCO
Kilimanjaro Wilaya ya rombo kuna shida gani mbona
Mnatufanyia hivi wateja wenu
Nmelipia kuunganishiwa umeme tangu tarehe 25 mwez wa Tatu mwaka 2022 Lakin cha ajabu mpaka Leo
Umeme cjaunganishiwa jaman
Mkoa: Kilimanjaro
Wilaya: Rombo office ya tarakea tanesco
Jina : Aristidis S Shirima
Namba +255745140560
Siku ya 6 mkuuMkuu kwako wamekuja baada ya
Mda gani tangu ulipie
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Dhaaaa mkoa wako mko vizur basSiku ya 6 mkuu