TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
naomba kujua gharama za kuunganisha umeme kwa maeneo ya vijijini kwa umbali usiozidi mita 5-15.
Mpendwa mteja,kwa maeneo ya vijijini ambao yamepitiwa na mradi unaofadhiliwa na serikali vijijini (REA) gharama ni TSH 27000 ndani ya mita moja hadi 30, nje ya mradi wa REA gharama zake ni 320,960/=
 
Mimi sijafanya wiring, ila waliotoa 70000 nguzo inasogezwa karibu na nyumba yako. Ni Kijiji cha Mahorosha karibu na mpakani na Kenya. Mimi nilikataa nikaonekana kama ninapinga maendeleo, wananchi hawajui haki yao. Nikimaliza wiring nitaomba na ninajua ni 27000 tu.
 
Mimi sijafanya wiring, ila waliotoa 70000 nguzo inasogezwa karibu na nyumba yako. Ni Kijiji cha Mahorosha karibu na mpakani na Kenya. Mimi nilikataa nikaonekana kama ninapinga maendeleo, wananchi hawajui haki yao. Nikimaliza wiring nitaomba na ninajua ni 27000 tu.
Sawa mpendwa mteja, endelea na taratibu zote, kama utapata changamoto nyingne yoyote tafadhali wasiliana nasi kupitia namba 0748550000 TANESCO MAKAO MAKUU.
 
Binafsi nawapongeza TANESCO MAKAO MAKUU kwa kazi nzuri ya kuhudumia wateja kila napohitaji msaada mnahudumia kwa haraka sana. Pia napongeza TANESCO yenu ya wilaya ya TARIME mkoani MARA nao wapo vizuri wanajitahidi mno

SWALI
Umeme vijijini ni 27,000 kwa upande wa nguzo, mimi nipo kijijini ambako tunalipia 27,000 Service line charge ndani ya mita 30. Nilitaka kupimiwa sababu nahitaji nguzo mbili wakadai nisubiri kwanza huenda kukawa na mabadiliko ya nguzo aidha ibaki hiyohiyo 27,000 kwa nguzo mbili au gharama iongezeke. Leo nimepitia TANESCO Website nakuta gharama ya kujengewa nguzo ndani 90Meters ni 454,654.00 naomba ufafanuzi wa hili tafadhali.
 
Binafsi nawapongeza TANESCO MAKAO MAKUU kwa kazi nzuri ya kuhudumia wateja kila napohitaji msaada mnahudumia kwa haraka sana. Pia napongeza TANESCO yenu ya wilaya ya TARIME mkoani MARA nao wapo vizuri wanajitahidi mno

SWALI
Umeme vijijini ni 27,000 kwa upande wa nguzo, mimi nipo kijijini ambako tunalipia 27,000 Service line charge ndani ya mita 30. Nilitaka kupimiwa sababu nahitaji nguzo mbili wakadai nisubiri kwanza huenda kukawa na mabadiliko ya nguzo aidha ibaki hiyohiyo 27,000 kwa nguzo mbili au gharama iongezeke. Leo nimepitia TANESCO Website nakuta gharama ya kujengewa nguzo ndani 90Meters ni 454,654.00 naomba ufafanuzi wa hili tafadhali.
Ndugu Mteja!



Zifuatazo ni gharama halisi za kuunganishiwa umeme kuanzia tarehe 5/01/2022

  • Gharama za kuunganisha umeme mjini ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia moja kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 320,960/=,
  • Mteja wa njia moja ndani ya mita 70 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 515,618/=,
  • Umbali wa njia moja ndani ya mita 120 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 696,670/=
  • Aidha, gharama za kuunganisha umeme mjini ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia tatu kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 912,014/=,
  • Mteja wa njia tatu ndani ya mita 70 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 1,249,385/=,
  • Umbali wa njia tatu ndani ya mita 120 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 1,639,156/=.
 
Nahitaji ufafanuzi upande wa Rural area kwa hicho kilichopo pichani tafadhali
 

Attachments

  • Screenshot_20230116-093324~2.png
    Screenshot_20230116-093324~2.png
    37.3 KB · Views: 23
Mpendwa mteja,kwa maeneo ya vijijini ambao yamepitiwa na mradi unaofadhiliwa na serikali vijijini (REA) gharama ni TSH 27000 ndani ya mita moja hadi 30, nje ya mradi wa REA gharama zake ni 320,960/=
kama eneo lilipata mradi wa rea kipindi kilichopita nitalipa 27,000/= au nitalipa 320,960/=?
 
Ndugu mteja fanya maombi ya umeme na baada ya vipimo utapata makadilio ya bei sahihi. ^EB
Samahani mtu wa tenesco mimi nipo mkoa wa iringa,wilaya mufindi,mji wa mafinga,kata ya upendo nililipia umeme kwa control number 991033973189 kwa ombi no 131-222-0996 na namba ya ombi 271222-1870 kiasi 515617.52 na recept ikawa 923003150639617 lakin tanesco hapa mafinga mpaka sasa hawajaja na wana longo longo nyingi mpaka kukamilisha malipo naomba msaada nifungiwe umeme maana hali ni mbaya sana
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1. ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2. NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3. KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4. JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5. MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6. KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7. KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
samahani kuna ombi nimelituma kule mwisho wa thread
 
Samahani mtu wa tenesco mimi nipo mkoa wa iringa,wilaya mufindi,mji wa mafinga,kata ya upendo nililipia umeme kwa control number 991033973189 kwa ombi no 131-222-0996 na namba ya ombi 271222-1870 kiasi 515617.52 na recept ikawa 923003150639617 lakin tanesco hapa mafinga mpaka sasa hawajaja na wana longo longo nyingi mpaka kukamilisha malipo naomba msaada nifungiwe umeme maana hali ni mbaya sana
Ndugu Mteja
Tunashukuru na kuthamini taarifa yako tumeipokea kwa ufatiliaji na hatua zaidi.

TANESCO Huduma kwa Wateja
JM
 
Nashukuru kwa jibu lako zuri, namba ninayo, nikipata changamoto nitapiga. Sio Mimi tu nipo tayari kuwasaidia walala hoi wenzako ili wajue haki yao. Hao waliopigwa 70000 kuchangia nguzo wengine waliuza mbuzi au mazao yao.
 
Ndugu Mteja
Tunashukuru na kuthamini taarifa yako tumeipokea kwa ufatiliaji na hatua zaidi.

TANESCO Huduma kwa Wateja
JM
Nashukuru sana Tanesco huduma kwa wateja kweli mpo kazini,Meneja wa wilaya alipiga simu ni mtu mzuri sana na ni kwamba alipambania sana eneo tulilopo kuletewa umeme.
Kumbe shida ilikuwa ni taarifa kwamba mwezi huu wa kumi na mbili vifaa havijafika kwahiyo maombi yote ya mwezi wa kimi na mbili hayajafanyiwa kazi vifaa vikifika tutafungiwa na kasema urasimu wilaya nzima ameuondoa kufungiwa umeme ni ndani ya siku saba baada ya malipo.
Namshukuru sana meneja wilaya na ninamtakia kazi njema mungu ambariki apandishwe cheo na vifaa vikifika tufungiwe umeme,lakin pia taarifa ni muhimu ili kuondoa mikanganyiko.
 
Nashukuru sana Tanesco huduma kwa wateja kweli mpo kazini,Meneja wa wilaya alipiga simu ni mtu mzuri sana na ni kwamba alipambania sana eneo tulilopo kuletewa umeme.
Kumbe shida ilikuwa ni taarifa kwamba mwezi huu wa kumi na mbili vifaa havijafika kwahiyo maombi yote ya mwezi wa kimi na mbili hayajafanyiwa kazi vifaa vikifika tutafungiwa na kasema urasimu wilaya nzima ameuondoa kufungiwa umeme ni ndani ya siku saba baada ya malipo.
Namshukuru sana meneja wilaya na ninamtakia kazi njema mungu ambariki apandishwe cheo na vifaa vikifika tufungiwe umeme,lakin pia taarifa ni muhimu ili kuondoa mikanganyiko.Pia ninaomba radhi kwa meneja wa wilaya kwa kusema kwamba kuna longolongo kwakweli wakati wa upimaji ameondoa kabisa urasimu na rushwa hakuna
 
TANESCO naomba kujua bei ya kuunganishiwa umeme tayari nimemaliza kujenga nyumba nahitaji kupata umeme haraka.
 
TANESCO naomba kujua bei ya kuunganishiwa umeme tayari nimemaliza kujenga nyumba nahitaji kupata umeme haraka.
Zifuatazo ni gharama halisi za kuunganishiwa umeme kuanzia tarehe 5/01/2022

  • Gharama za kuunganisha umeme mjini ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia moja kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 320,960/=,
  • Mteja wa njia moja ndani ya mita 70 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 515,618/=,
  • Umbali wa njia moja ndani ya mita 120 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 696,670/=
  • Aidha, gharama za kuunganisha umeme mjini ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia tatu kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 912,014/=,
  • Mteja wa njia tatu ndani ya mita 70 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 1,249,385/=,
  • Umbali wa njia tatu ndani ya mita 120 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 1,639,156/=.
 
Habari mimi ni mkaazi wa Moshi- Kilimanjaro sina umeme leo siku ya tatu nilisharipoti zaidi ya mara sita bado tatizo langu halijapata ufumbuzi, hata sasa hivi ninavoandika nimetokea Tanesco wamesema watakuja kutengeneza lakini mpaka sasa sioni dalili ya wao kufika hapa. Mita namba yangu ni 24217992080 (report namba yangu ni 4211). Nahitaji umeme nipo gizani siku ya tatu.
 
Habari mimi ni mkaazi wa Moshi- Kilimanjaro sina umeme leo siku ya tatu nilisharipoti zaidi ya mara sita bado tatizo langu halijapata ufumbuzi, hata sasa hivi ninavoandika nimetokea Tanesco wamesema watakuja kutengeneza lakini mpaka sasa sioni dalili ya wao kufika hapa. Mita namba yangu ni 24217992080 (report namba yangu ni 4211). Nahitaji umeme nipo gizani siku ya tatu.
Pole kwa changamoto, Tumepokea taarifa kwa ufuatiliaji zaidi ^SK
 
Back
Top Bottom