infinix2020
Member
- Dec 30, 2020
- 76
- 150
Gharama zipi sasa, tufafanulieni tujueHabari ndugu mteja, ahsante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto hiyo, gharama hiyo ya shilingi 27,000 ni kwa wateja wetu wa vijijini wanao hudumiwa na mradi wa REA, kama eneo lako halipo chini ya mradi huo utalipia gharama za kawaida za kuunganishwa na huduma ya umeme, tunaomba kusisitia kuwa malipo yote ya TANESCO hufanyika kupitia control namba. ^HS
Nimezungumzia tatizo la eneo zima yaani kata nzima ya eneo hilo umeme unakatika yaani kila siku unakatika mpaka mara 4 ma hakuna taarifa naomba sana tuwe tunapata taarifa hapa wilaya ya kahama bulungwa mseki naomba sanaHbari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto hiyo, tafadhali tupatie taarifa zifuatazo kwa msaada zaidi,
Jina
Eneo
Namba ya simu
Tatizo
Mita namba
Kitu maarufu
TANESCO Huduma Kwa Wateja
SIMU: 0748 550000
WhatApp: 0758346869^OK
Ndugu Mteja!Nimekwenda Ofisi za TANESCO Sengerema Mwanza kuuliza taratibu za kuunganishiwa umeme kwa umbali wa nguzo 1,nimeambiwa utaratibu umebadilika, siwezi kulipia hadi hapo utaratibu mpya utakapoanza. Kwa sasa TANESCO Sengerema wanashughulika na wateja waliolipia zamani na ndio nguzo zao zipo. Naomba kupata majibu au ushauri nifanye nini ili nilipie na nifungiwe umeme mapema?
Nimeshafanya online Application na kuprint fomu, na nikapita kwa fundi wiring, nilipopeleka TANESCO waliikataa fomu na kusema kwa sasa hawapokei wateja wapya hadi waishe wa zamani asee! inaboa sanaNdugu Mteja!
Tunashukuru kwa kuwasiliana na TANESCO Huduma kwa Wateja, Tunakujulisha kuwa sasa TANESCO imekurahisishia huduma ya wewe kuweze kufanya maombi ya kuunganishiwa umeme kwa kutumia mfumo bora wa Nikonekt popote ulipo na wakati wowote, Unaweza kufanya maombi kwa njia zifuatazo:
- Nikonekt.tanesco.co.tz
-Nikonekt App (Ipo Play store na Apple store)
- Kubofya *152*00#
-Kwenye ofisi za TANESCO
Kwa Maulizo au msaada wowote tafadhali wasiliana na kituo chetu cha huduma kwa wateja kwa
Simu;0748550000
WhatsApp: 0758346869^EB
acha unafikiNapenda kutoa Shukrani zangu za Dhati na kuipongeza TANESCO. Nimekuwa mteja wenu miaka mingi lkn kwa Hili lililotokea WIKI HII ni kubwa. Jumanne tarehe 11/4/2023 nilijaza taarifa za Kuomba kufungiwa Umeme kwa njia ya Mtandao, mchoro ukawekwa. Tarehe 11/04/2023 hiyo hiyo akaja Saveya kukadiria. Tarehe 12/4/2023 nikatumiwa control namba nikalipa bill kwa 320,900/=. Leo tarehe 14/4/2023 asbh saa 3 nishafungiwa Umeme. Kiukweli nimeshangaa sana Utendajikazi huu wa mwendikasi TANESCO.
Nawashukuru sana Hongereni kwa kazi nzuri TANESCO.
Kiukweli Tansco imewashinda ia kuitoa kuwapa wawekezaji ni dhambi kwao sijui tunakwama wapiLeo tarehe 22/04 saa tano na dakika kumi na tatu baadhi ya maeneo Mbagala hayana umeme tangu jana tarehe 21/04 alasiri, Idd njema Tanesco.
Asante kwa majibu mazuriHabari ndugu mteja, ahsante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto hiyo, gharama hiyo ya shilingi 27,000 ni kwa wateja wetu wa vijijini wanao hudumiwa na mradi wa REA, kama eneo lako halipo chini ya mradi huo utalipia gharama za kawaida za kuunganishwa na huduma ya umeme, tunaomba kusisitia kuwa malipo yote ya TANESCO hufanyika kupitia control namba. ^HS
Ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto, kwa wateja wa maeneo ya vijijini huwa wanapatiwa huduma kwa kiwango cha 27,000 endapo wapo kwenye mradi wa REA kama ni nje ya mradi basi watapaswa kulipia kulingana na viwango vya kupata huduma ya umeme vilivyo weka wa na shirika.^OKHabari. Bei ya kuunganisha umeme pembezoni mwa miji ambako ni sawa na kijijini ni shilingi ngapi? Maana ndugu yangu ameomba umeme hapo Igingilanyi Iringa mpakani na Nduli ambako watu wamehamia baada ya kuhamishwa na upanuzi wa uwanja wa ndege lakini amepewa bill ya malipo ya manispaa. Naomba ufafanuzi maana yeye alijua ni 27,000/= lakini kaletewa bill ya 360,960/= kiasi kwamba amekwama kulipa
Ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto hiyo, mita hii ina deni la kodi ya jengo shilingi 12,000 nunua umeme wa zaidi ya kiasi hicho utapata huduma.^OK37249129745 we tanesco samahani embu angalia hiyo mita ina deni au maana kila nikitia umeme wanasema haitoshi hela niko miono hapa chalinze
Hii Kode ya jengo mbona kama n Ile service charge mmeirudisha kijanja??Ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto hiyo, mita hii ina deni la kodi ya jengo shilingi 12,000 nunua umeme wa zaidi ya kiasi hicho utapata huduma.^OK
Haya,jmosi hii weekend hamjaona mda mwingine kukata umeme zaidi ya weekend,kweli?Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto hiyo, tumepokea taarifa ya hitilafu maeneo hayo, wataalamu wetu wanafanya jitihada ili huduma irejee tunaomba radhi kwa adha zilizo jitokeza.^OK