Pia kama Tanesco mmeshindwa mseme ili wananchi waingilie kati kununua waya mjemfunge tu.
Tumefatilia zaidi ya mara 15
 
Nguzo ambazo zimedumu kwa miaka mitatu sasa bila waya sijui tatizo ni waya au tatizo ni nini hata sijui.
Kijiji cha kwekitui kata ya Mamba wilaya ya Lushoto.
Zitaliwa na mchwa hizo nguzo kisha mtaambiwa mnunue nyingine
 
Nakumbushia ombi langu naona sjapewa jibu
 
Napenda kuwapongeza TANESCO hasa ofisi ya Kimara kwa response ya haraka unapotoa taarifa kupitia emergency call pamoja na ile customer relations.

Nina tatizo moja, kwanini umeme umekuwa ukikatika mara kwa mara hasa ktk mtaa wa Mloganzila?
Hali hii sasa ina zaidi ya wiki, na huwa hakuna taarifa zozote zinazotolewa kuhusu katizo hili.

Tunapenda kujua tatizo ni nini na litaisha lini?
 
 
Tafadhali fika ofisini kwa maelezo zaidi
 
Hizi mita zenu mlizofunga kwenye nguzo ni kero sana Mimi Nina saloon huku Bunda hadi nimechoka kuja kuripoti make ile nikipachika drier tu Umeme unakata sasa sijui tatizo ni nini na hata nikiripoti inachukua siku 2 mpaka 3 kufika ofisini Kwangu kunirekebishia!

Inakuaje hapa tanesco hizo mita zenu au zina matatizo???

Wenu mteja
Bunda
 
Je leo hauna umeme? Kama ndio tunaomba namba yako ya simu na eneo lako
 
Nataka kuuliza je kama umegundua kama kuna ajari ya moto kuunguliwa kwa nyumba na mkajua chanzo ni hitiliafu ya umeme na kampuni yenu ikahusika katika kusababisha tatizo hilo je mtalipa na kama mtalipa kwa kipindi gai na mpo tayri kurekebisha huduma zenu kwa majumbani
 
Je leo hauna umeme? Kama ndio tunaomba namba yako ya simu na eneo lako
Mpaka dakika hii sina Umeme Nina zaidi ya wiki moja nimekata tamaa hata kuripoti
Mita iko nyasura stendi kwa Mzee EMA Jirani na kwa mpyampya.
 
Taratibu unaandika barua huku ukionyesha vitu unavyodai vimeungua kutokana na ubachosema ni umeme kisha timu ya wataalamu itachunguza na kutoa taarifa kuwa nin kimepelekea moto kutokea kisha kama ni sisi utaratibu upo yaani wajibu wa TANESCO kwa mteja
 

Asante vp kuboresha huduma huku mbagala eneo la viwanda
 
Unapoomba umeme kuna masharti kwenye fomu ya maombi sisi tunaita mkataba na mteja wengi wetu hatusomi vile vipengele ikitokea hitilafu vitu vikaungua ndio unakosa haki yako kwa kuwa hukufata mkabata uliosaini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…