TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Wewe Statehouse ni Sehemu muhimu mno mno hatuwezi kuruhusu huo ujinga unaowaza kwanza pana independent source zaidi ya mbili za power power hata tanesco akizima hautaweza even kuona taa ziko off pale, " Ikulu ni mahali patakatifuuu" JK nyerere
 
Kuna usemi kuwa aliyeshiba hamjui mwenye njaa!
Kumekuwa na tatizo la kukatika umeme kwa muda sasa lakini hakuna kauli yoyote toka "juu" angalau ya kututia moyo kwamba tatizo la kukatika kwa umeme "litakuwa historia!"
Inawezekana kabisa kule 'juu" umeme haukatiki, naomba "mkata umeme" ujifanye umekosea basi kaukate hata kwa dakika 10 ili angalau kauli itoke ya kututia moyo! Inakera sana!
Hata wakikata kuna auto generator, hakuna atakaejua kua hakuna umeme.

Hua umeme ukitoka kwenye grid ya taifa hata huko hua wanakosa maana wao pia wako kwenye grid, sema wao wana auto backup ya power.
 
Kuna usemi kuwa aliyeshiba hamjui mwenye njaa!
Kumekuwa na tatizo la kukatika umeme kwa muda sasa lakini hakuna kauli yoyote toka "juu" angalau ya kututia moyo kwamba tatizo la kukatika kwa umeme "litakuwa historia!"
Inawezekana kabisa kule 'juu" umeme haukatiki, naomba "mkata umeme" ujifanye umekosea basi kaukate hata kwa dakika 10 ili angalau kauli itoke ya kututia moyo! Inakera sana!

Umeme ukikatwa huko unaposema wewe wala hawatajua kwa sababu wala generators stand- by za kutosha
 
Halafu wanasema sio mgao ni ubadilishwaj wa nguzo zilizo chakaa. Tanesco mungu anawaona lakini.!
 
Mgao upo jamani, hali ya maji mtera, kidatu, kihansi si nzuri na production imeshuka sana. Private sector ndiyo hivyo tena serikali imeipiga kibuti, hakuna Symbion wala IPTL. Nchi haina reserved power sources, load kila siku inaongezeka na vituo vingi vya thermal (Gasi na mafuta) na kile cha Nyakato-Mwanza vinazalisha chini ya uwezo wake sababu ya ukosefu wa vipuri. Tuna kazi kubwa kweli.
Vipi Arusha hali ikoje uko??
 
Halafu wanasema sio mgao ni ubadilishwaj wa nguzo zilizo chakaa. Tanesco mungu anawaona lakini.!
Hicho ndio kinachokera sana, badala ya kutuambia ukweli wanaficha tatizo! Huyu mkubwa alikuwa anaponda JK akidhani mambo yalikuwa rahisi, sasa hivi utapewa reason nyingine endapo tatizo limetokea!

Hata wakati ndege ya Bombardier imekamatwa tuliambiwa kuwa hiyo ndege haijafika Julai kama ilivyotarajiwa kwa kuwa bado kuna masuala madogo ya kumalizia, ndipo Tundu Lissu alipokuja kutufungua macho!
 
Mgao upo jamani, hali ya maji mtera, kidatu, kihansi si nzuri na production imeshuka sana. Private sector ndiyo hivyo tena serikali imeipiga kibuti, hakuna Symbion wala IPTL. Nchi haina reserved power sources, load kila siku inaongezeka na vituo vingi vya thermal (Gasi na mafuta) na kile cha Nyakato-Mwanza vinazalisha chini ya uwezo wake sababu ya ukosefu wa vipuri. Tuna kazi kubwa kweli.
Vipi Arusha hali ikoje uko??
Ni watu wachache sana humu watakuelewa unachosema lkn huo ndy ukweli .....mkuu

Ova
 
Huduma ya maswala ya dharura ni mbovu kupindukia, kwa mfano mimi nyumba yangu ipo Boko, ilikuwa na tatizo la umeme kwenye nguzo na nimewapigia simu TANESCO Tegeta zaidi ya mara kumi na mara tano kwa Meneja wao ambaye hakudiriki kupokea japo moja ya simu zangu.

Marekebisho yalifanywa siku ya tano baada yamimi kuchukuwa maamuzi magumu. Bado matatizo ni makubwa.
 
Naona mgao wa umeme bado unaendelea kwa wakazi wa mbeya... Umeme kukatika kila siku hasubuhi na kuja usiku... Nadhani si hitilafu huu no mgao.. Ingekua hitilafu basi usiku usingekua unakuja na hasubuhi kukatika....

Mgao upo na leo wamekata tena
 
Huduma ya maswala ya dharura ni mbovu kupindukia, kwa mfano mimi nyumba yangu ipo Boko, ilikuwa na tatizo la umeme kwenye nguzo na nimewapigia simu TANESCO Tegeta zaidi ya mara kumi na mara tano kwa Meneja wao ambaye hakudiriki kupokea japo moja ya simu zangu. Marekebisho yalifanywa siku ya tano baada yamimi kuchukuwa maamuzi magumu. Bado matatizo ni makubwa.
Ndugu mpendwa mteja
Tunakuomba radhi sana pamoja na hayo tunakujulisha kuwa kuna kipindi cha mvua hivyo hitilagu zikiwa nyingi tunahudumia kwa kwanza kutoa taarifa wa kwanza kufanyiwa kazi
 
Mgao bado unaendelea kwa watu wa mbeya kyela unakatika hasubuhi na kurudisha usikumwema kila siku sasa ni mwezi
 
Habari wana Jf.
Umeme umekatika asubuhi hii hivyo nimeamua kutulia ndani maana siwezi kuvaa nguo bila kunyoosha na pasi.

TANESCO mnatakiwa kutumbuliwa sio kuleta usumbufu kama huu,nakosa mambo mengi ambayo ningepata kwenye kikao cha CCM.
 
Back
Top Bottom