TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Tunaomba namba yako ya simu mkuu
Nashukuru Ndugu; Jamni huku JF watu hatupendi kuweka namba za simu; nyie tatue tatizo namba za simu za nini tena kwenye mitandao?

kujengea visa tu na watu; fuatileni kama kuna taarifa zinahitajika tofauti na taarifa zangu binafsi nitatoa; huku tumeripoti hadi tumechoka; tumesaini daftari hadi tumechoka ndiyo maana sina tena hata hamasa ya kwenda tena Tanesco Moshi.
 
Tunaomba namba yako ya simu mkuu
Ndugu mpendwa mteja

upo mradi wa voltage improvement UNAENDELEA wenye CWO no:T058690, kwa sasa transformer imewekwa Tayari na nguzo za LT zimeshasimama ,tunatarajia mradi utakapo kamilika tatizo litatatuliwa.
 
Wakuu rejea Na Shukuru nilikuwa na tatizo ya mita ya luku, militia malalamiko yangu ijumaa, ijumaa hiyo hiyo wakanipigia Simu, jpili wakaja na mita mpya wakabadilisha, asanteni na unit zangu nilizozinunulia mita ya zamani nilizipata.

Kazi njema it WA TANESCO KWA kuapdate matatizo na kero zetu
 
Wakuu rejea Na Shukuru nilikuwa na tatizo ya mita ya luku,,militia malalamiko yangu ijumaa,,ijumaa hiyo hiyo wakanipigia Simu,,jpili wakaja na mita mpya wakabadilisha,,,asanteni na unit zangu nilizozinunulia mita ya zamani nilizipata,,Kazi njema it WA TANESCO KWA kuapdate matatizo na kero zetu
Tunashukuru sana sana mpendwa mteja wetu kwa mrejesho
 
Nina tatizo la Mita ya Luku inagoma keypads za upande wa kulia yaani namba 3,6,9

Nimereport Ijumaa,
Mafundi wakaja Jumapili ila wamesema inasababishwa na Umeme ukiwa mdogo,

Hapo kabla tatizo hili halikuwepo na pia majirani hawana tatizo hili pia,
Naomba kubadilishiwa luku kwa kuwa hadi sasa nashindwa kuingiza Umeme
 
Nina tatizo la Mita ya Luku inagoma keypads za upande wa kulia yaani namba 3,6,9&#
Nimereport Ijumaa,
Mafundi wakaja Jumapili ila wamesema inasababishwa na Umeme ukiwa mdogo,
Hapo kabla tatizo hili halikuwepo na pia majirani hawana tatizo hili pia,
Naomba kubadilishiwa luku kwa kuwa hadi sasa nashindwa kuingiza Umeme
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
Jina: Khalid Athumani
Simu :0713830235
Mkoa😀ar Es salaam
Wilaya : Ubungo
Eneo: Goba
Jinsi ya kufika : Goba center njia inayoelekea Makongo inapoanzia lami
Alama: Kuna Tank la Maji
Tatizo : keypads za Luku ( 3,6,9&#)
Hazifanyi kazi tunashindwa kuingiza Umeme, tunaomba kubadikishiwa luku
Meter number : 24210588356
Taarifa namba : 3637
 
Jina: Khalid Athumani
Simu :0713830235
Mkoa😀ar Es salaam
Wilaya : Ubungo
Eneo: Goba
Jinsi ya kufika : Goba center njia inayoelekea Makongo inapoanzia lami
Alama: Kuna Tank la Maji
Tatizo : keypads za Luku ( 3,6,9&#)
Hazifanyi kazi tunashindwa kuingiza Umeme, tunaomba kubadikishiwa luku
Meter number : 24210588356
Taarifa namba : 3637
Tumeipokea kwa hatua zaidi mkuu
 
Ndugu mpendwa mteja

upo mradi wa voltage improvement UNAENDELEA wenye CWO no:T058690, kwa sasa transformer imewekwa Tayari na nguzo za LT zimeshasimama ,tunatarajia mradi utakapo kamilika tatizo litatatuliwa.
Nashukuru; lakini nguzo hizo zimewekwa na zinamaliza mwaka sasa; mradi umekaa kimya wala hakuna linalofanyika wanaongeza kuvutia wateja wapya hivyo tatizo la umeme kupungua ndo linakuwa kubwa kila siku; dah! tusaidieni jamani; asante.
 
Nashukuru; lakini nguzo hizo zimewekwa na zinamaliza mwaka sasa; mradi umekaa kimya wala hakuna linalofanyika wanaongeza kuvutia wateja wapya hivyo tatizo la umeme kupungua ndo linakuwa kubwa kila siku; dah! tusaidieni jamani; asante.
Kazi inaendelea mkuu na hii inahitaji utaalamu mkuu
 
tanesco
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.
[/QUOTE taneesco toen picha ya huyo dada bwana,kwan wenken hata nguzo tuuu
 
Shukran,
Wamewasiliana nami asubuhi hii pia,
Na wamesema wanalifanyia kazi,
Nitashukuru wakibadilisha hiyo luku ili niondokane na hiyo adha ya kushindwa kuingiza Umeme
Natoa shukran zangu za dhati,
Mafundi wamekuja,
Wamenibadilishia luku,
Na tatizo limeshatatuliwa,
Ahsanteni sana tanesco kwa mwitikio wa haraka,
Niwatakie kazi njema
 
Natoa shukran zangu za dhati,
Mafundi wamekuja,
Wamenibadilishia luku,
Na tatizo limeshatatuliwa,
Ahsanteni sana tanesco kwa mwitikio wa haraka,
Niwatakie kazi njema
Karibu sana mpendwa mteja wetu
 
Tanesco,naomba kuuliza kigamboni kuna shida gani??mana hatuna umeme toka saa moja asbh
 
Bagamoyo umekatika vibaya sana sijui kama haujauunguza vitu.
 
Tanesco,naomba kuuliza kigamboni kuna shida gani??mana hatuna umeme toka saa moja asbh
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Bagamoyo umekatika vibaya sana sijui kama haujauunguza vitu.
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Tanesco acheni zarau basi, Temeke nzima hakuna umeme shida nini?? Mbona mpo kimya hamtangazi??
WILAYA MZIMA YA TEMEKE HAKUNA UMEME, SIJUI PANDE ZINGINE, NAOMBA KUJUA KUNA SHIDA GANI, SIWEZI KULALA GIZANI
 
Back
Top Bottom