Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Kenge nyie mnakata umeme mpaka siku ya kufufuka masia ,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini tatizo na namba yako ya simu mpendwa mtejaKwa maana nyingine TANESCO kwa makusudi, hawataki kutekeleza maagizo yanSerikali wakati uwezekano wa kutekeleza upo. Mheshimiwa Waziri Kalemani unaliona hili. Jinsi TANESCO wanavyokupuuza, kwa kupuuza maagizo yako ?
Tujiandae kisaikolojia kwa Makato ya Ada za kila Muamala kwa sisi tuliozoea kununua umeme wa Buku Buku na Pia kwa wao kuhimili Idadi kubwa ya Miamala na kurejesha Tokens kwa wakati.
Broo wewe ni mtabiri? Haijaanza wewe umeshaona makato
Na kibamba yote iko gizani zaidi ya masaa 3Tanesco Mungu anawaona Mbezi ...Makabe, Kibanda cha Mkaa, Mbezi mwisho, Msuguri, Temboni, Saranga, Malamba Mawili nk. Au mnaona sifa sana kutukatia umeme sikukuu hii ya Pasaka [emoji56]
Tujiandae kisaikolojia kwa Makato ya Ada za kila Muamala kwa sisi tuliozoea kununua umeme wa Buku Buku na Pia kwa wao kuhimili Idadi kubwa ya Miamala na kurejesha Tokens kwa wakati.
zitaendelea kuwepo ila faida kwa wauzaji imeshuka sana......kwa hiyo Maxmalipo tupa kule, private sector Kwisha habari yao
kwa hiyo Maxmalipo tupa kule, private sector Kwisha habari yao
Kwanza ilikuwa 0.3% ikaja 2.5% now imekuwa 0.5% biashara ya kuuza umeme ishakuwa mbovu sana inamaana ukiuza umeme wa laki faida sh 500zitaendelea kuwepo ila faida kwa wauzaji imeshuka sana......
Ndugu mteja, kuanzia trh 02/04/2018 faida kwa mauzo ya LUKU itapungua kutoka 2.5% hadi 0.5% kutokana na punguzo la kamisheni na TANESCO. Asante
Pole sana sasa unaweza kununua umemeTANESCO, sijajua ni upande wenu au benki husika. Nimejaribu kununua umeme kupitia benki ya crdb, kupiyia simu, nimesubiri masaa kadhaa, ikashindikana pesa yangu imerudi na muamala umebatilishwa, nikajaribu simu ya mtu mwingine benki ya NMB, hamna kitu napo. Sijajua mnaposema huduma ya simu kuanzia leo tarehe 2 ndio itakuwa na usumbufu wa dizaini hii au la. Umeme kupitia simu ktk benki ya crdb na nmb nilijaribu jana tarehe 1.
Kununua moja kwa moja ktk simu bila kupitia benki itaendelea maana kuna uzushi kuwa huduma ya simu itaendelea ila kupitia simbanking??
Tu akuomba radhi sana nunua kwa njia nyingine mpendwa mtejahii system yenu mpya mloanzisha ya kununulia umeme seems iko corrupt....nanunua umeme mpesa inanileta maneno sijawahi ht kuwaza ...hebu jipangeni upya.si mlisema tutanunua km kawaida ...sasa mbona imebuma....
vitu km hamna uwezo navyo msifanye....
utadhani tunapewa bure umeme bana