TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
tangu jana usiku saa 3 mpaka sasa sehemu kubwa ya nchi hakuna umeme. hakuna kauli wala maelezo. TANESCO TANESCO.
 
Heri ya pasaka wana-jf. Naomba mnisaidie mawazo ni wapi umeme wa luku unapatikana leo maana kwenye mpesa naona huduma haipo muda huu. Nikilaza watu gizani leo hawatanielewa.
 
Tanesco mna shida gani, mmetulaza gizani, mmetulaza kwenye joto, tumeshindwa kwenda kanisani coz hatujanyoosha nguo... Huwa mna matatizo gani lakini?
 
Tanesco mna shida gani, mmetulaza gizani, mmetulaza kwenye joto, tumeshindwa kwenda kanisani coz hatujanyoosha nguo... Huwa mna matatizo gani lakini?
Pole my dear upo mjini?
 
Tanesco mna shida gani, mmetulaza gizani, mmetulaza kwenye joto, tumeshindwa kwenda kanisani coz hatujanyoosha nguo... Huwa mna matatizo gani lakini?
Umenunua kwa njia gani na ukapata ujumbe gani mpendwa mteja
 
Kwani Kuna nini ebu wekeni uhalisia wa mambo yalivyo ili nami nipate kujua yanayojiri.
 
Heri ya pasaka wana-jf. Naomba mnisaidie mawazo ni wapi umeme wa luku unapatikana leo maana kwenye mpesa naona huduma haipo muda huu. Nikilaza watu gizani leo hawatanielewa.
Huko kwenu kuna umeme, huku nilipo haupo tangu jana saa tatu usiku....
 
Heri ya pasaka wana-jf. Naomba mnisaidie mawazo ni wapi umeme wa luku unapatikana leo maana kwenye mpesa naona huduma haipo muda huu. Nikilaza watu gizani leo hawatanielewa.
Nunua umeme kwa njia ya Airtel money
 
Aisee najaribu kununua umeme lakini haiwezekani nimenunua kwa m pesa nimeshindwa nikaenda selcom napo wameshindwa na maxmalipo pia sijuw nifanyeje
 
Aisee najaribu kununua umeme lakini haiwezekani nimenunua kwa m pesa nimeshindwa nikaenda selcom napo wameshindwa na maxmalipo pia sijuw nifanyeje
Tumia TigoPesa mkuu kuna mabadiliko ya kimfumo hao hawaja update mifumo yao kwenda na mfumo mpya wa serikali.
 
Back
Top Bottom