Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,527
TANESCO, naomba muimlike Mbeya Jiji na Usumbufu na Kutojali kwa Watu wenu!
Sasa hivi ni mwezi wa 3 tangu nafuatilia Kuunganishiwa Umeme ninachokutana nacho ni kama siyo Mtanzania Vile na kama naomba Msaada!
Kwanza Form ya Mkandarasi ilikaa Ofisini kama miezi miwili bila kuja Kupima Watu wa Planning, nilikomaa nao, wakaja baada ya hiyo miezi miwili!
Haya limekuja Swala la Kulipia, hawataki kunitumia Ujumbe kuwa inatakiwa nikalipia kiasi gani, hiyo nimefuatilia zaidi ya mwezi sasa hakuna lolote linaloendelea! Na Ukiangalia eneo langu hata Nguzo haihitajiki!
Sasa Tanesco mnataka nini toka kwa Wananchi wanyonge. Ujinga zaidi hawataki niiingie nikaonane na Meneja wa Mkoa nimueleze shida yangu!
Nini Kimetokea mpaka mnatudharau hivi, mbona kipindi cha Mhongo Utiifu kidogo ulikuwepo?
Nimewapa Wiki hiii tu, Upumbavu huu Ukiendelea najua nitakako kwenda Kureport mwenyewe, this is too much.
Sasa hivi ni mwezi wa 3 tangu nafuatilia Kuunganishiwa Umeme ninachokutana nacho ni kama siyo Mtanzania Vile na kama naomba Msaada!
Kwanza Form ya Mkandarasi ilikaa Ofisini kama miezi miwili bila kuja Kupima Watu wa Planning, nilikomaa nao, wakaja baada ya hiyo miezi miwili!
Haya limekuja Swala la Kulipia, hawataki kunitumia Ujumbe kuwa inatakiwa nikalipia kiasi gani, hiyo nimefuatilia zaidi ya mwezi sasa hakuna lolote linaloendelea! Na Ukiangalia eneo langu hata Nguzo haihitajiki!
Sasa Tanesco mnataka nini toka kwa Wananchi wanyonge. Ujinga zaidi hawataki niiingie nikaonane na Meneja wa Mkoa nimueleze shida yangu!
Nini Kimetokea mpaka mnatudharau hivi, mbona kipindi cha Mhongo Utiifu kidogo ulikuwepo?
Nimewapa Wiki hiii tu, Upumbavu huu Ukiendelea najua nitakako kwenda Kureport mwenyewe, this is too much.